Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


EPL:Meneja wa WBA ahofia hatma yake

Kocha wa West Bromwich Albion Alan Irvine anahofia hatma yake katika kilabu hiyo baada ya kichapo cha mabao 3-1

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Kocha wa Liverpool ahofia hatma yake

Mkufunzi wa timu ya liverpool Brendan Rodgers amesema kuwa anakabiliwa na tishio la kufutwa kutokana na msururu wa matokeo mabaya.

 

9 years ago

Vijimambo

AUDIO : LEMBELI AELEZA HATMA YAKE BAADA YA KUUKOSA UBUNGE, AJIBU TETESI JUU YAKE IKIWEMO YA KUUZA REDIO YAKE


Aliyekuwa mgombea ubunge wa jimbo la Kahama Mjini, James Lembeli ameelezea kinachoendelea katika maisha yake ya kisiasa hasa baada ya kushindwa katika uchaguzi wa mwaka huu akiwa ndani ya chama chake kipya cha Chadema.
Akiongea katika taarifa rasmi kwa wananchi wa jimbo hilo, Lembeli amesema kuwa hivi sasa atajikita zaidi katika shughuli za chama chake pamoja na shughuli alizokuwa akizifanya kabla ya kuwa mbunge wa jimbo hilo.
Alisema kuwa ataendelea kufanya kazi zake na mashirika ya kimataifa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Oscar Pistorius kujua hatma yake

Mahakama nchini Afrika Kusini leo itatoa uamuzi katika kesi ya mauaji inayomkabili mwanariadha mlemavu wa Oscar Pistorius

 

10 years ago

BBCSwahili

Kocha wa Barcelona hajui hatma yake

Kocha wa Barcelona Luis Enrique amekataa kuzungumzia kuhusu hatma yake ama kuthibitisha iwapo atasalia katika timu hiyo msimu ujao licha ya yeye kushinda mataji matatu na klabu hiyo.

 

10 years ago

GPL

PISTORIUS KUJUA HATMA YAKE LEO

Mwanariadha wa Afrika Kusini Oscar Pistorius yuko mahakamani mjini Pretoria ambako jaji anatoa hukumu dhidi yake leo. Mwanariadha wa Afrika Kusini Oscar Pistorius yuko mahakamani mjini Pretoria ambako jaji anatoa hukumu dhidi yake . Hii ni baada ya mwanariadha huyo mlemavu kupatikana na hatia ya kumuua mpenziwe Reeva Steenkamp mwaka uliopita. Mwanariadha wa Afrika Kusini… ...

 

11 years ago

BBCSwahili

Scolari kuamua hatma yake baada ya kombe

Mkufunzi wa Brazil Luiz Felipe Scolari amesema ataamua mustakabali wake baada ya fainali ya kombe

 

10 years ago

Habarileo

'Wabunge ifikirieni nchi yenu na hatma yake'

MJADALA wa wazi wa Bunge Maalumu la Katiba kuhusu Rasimu ya Katiba inayopendekezwa, umehitimishwa jana kwa Makamu Mwenyekiti wa Bunge, Samia Suluhu, kuruhusu wajumbe wazee watoe neno la maridhiano.

 

10 years ago

Michuzi

Wakili Damas Ndumbaro asema hatma yake TFF kujulikana kwenye mkutano mkuu wa Shirikisho hilo mwakani

Mwenyekiti wa Kamati ya uchaguzi ya Simba na mjumbe wa Bodi ya Ligi Kuu, Wakili Damas Ndumbaro (pichani) amesema hatma yake ya kujihusisha na masuala ya soka itajulikana kwenye mkutano mkuu wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF).  Mkutano huo umepangwa kufanyika mapema mwezi Machi mwakani ambapo ajenda ya mkutano huo ni Kufungua kikao, kuthibitishwa kwa wajumbe wa Mkutano Mkuu, kusoma nakuthibitisha ajenda, hotuba ya Rais, kupokea taarifa za utekelezaji za wanachama, kupitisha taarifa za...

 

9 years ago

Dewji Blog

Bodi ya Chelsea yakutana kujadili hatma ya Mourinho, baadhi ya makocha watajwa kuchukua mikoba yake, listi ipo hapa

Chelsea_manager_Jose_Mourinho_has_been_under_pressure_lately_aft-a-46_1445718274698 (1)

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Bodi ya Chelsea ikiongozwa na mmiliki wa klabu hiyo, Roman Abramovich imekutana jana jumatano kujadili kuhusu hatma ya kocha wa timu hiyo, Jose Mourinho (pichani) baada ya klabu hiyo kuendelea kupata matokeo mabaya ambayo hayawaridhishi viongozi na mashabiki wa timu hiyo.

Taarifa zinasema kuwa bodi hiyo ilikutana katika kikao kilichofanyika kwa masaa tisa kujadili hatma ya kocha wa timu yao licha ya mmiliki klabu kuonyesha hali ya kutamani kuendelea kufanya kazi na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani