EPL:Meneja wa WBA ahofia hatma yake
Kocha wa West Bromwich Albion Alan Irvine anahofia hatma yake katika kilabu hiyo baada ya kichapo cha mabao 3-1
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili29 Nov
Kocha wa Liverpool ahofia hatma yake
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-e-5vKoe8xhM/VjNYm5sJhzI/AAAAAAAAn9c/BPfrE3lefsw/s72-c/1.jpg)
AUDIO : LEMBELI AELEZA HATMA YAKE BAADA YA KUUKOSA UBUNGE, AJIBU TETESI JUU YAKE IKIWEMO YA KUUZA REDIO YAKE
![](http://1.bp.blogspot.com/-e-5vKoe8xhM/VjNYm5sJhzI/AAAAAAAAn9c/BPfrE3lefsw/s640/1.jpg)
Aliyekuwa mgombea ubunge wa jimbo la Kahama Mjini, James Lembeli ameelezea kinachoendelea katika maisha yake ya kisiasa hasa baada ya kushindwa katika uchaguzi wa mwaka huu akiwa ndani ya chama chake kipya cha Chadema.
Akiongea katika taarifa rasmi kwa wananchi wa jimbo hilo, Lembeli amesema kuwa hivi sasa atajikita zaidi katika shughuli za chama chake pamoja na shughuli alizokuwa akizifanya kabla ya kuwa mbunge wa jimbo hilo.
Alisema kuwa ataendelea kufanya kazi zake na mashirika ya kimataifa...
10 years ago
BBCSwahili11 Sep
Oscar Pistorius kujua hatma yake
10 years ago
BBCSwahili07 Jun
Kocha wa Barcelona hajui hatma yake
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NDILiAzzLEXJ2AszLGF*W4T00MELXOYP8jKsAMxgtQw*2X4Ht1ecX-7hzPda6*smccgafozLtshnDit9jVXY87ATDtrM8GZk/151429671__583769c.jpg?width=650)
PISTORIUS KUJUA HATMA YAKE LEO
11 years ago
BBCSwahili10 Jul
Scolari kuamua hatma yake baada ya kombe
10 years ago
Habarileo28 Sep
'Wabunge ifikirieni nchi yenu na hatma yake'
MJADALA wa wazi wa Bunge Maalumu la Katiba kuhusu Rasimu ya Katiba inayopendekezwa, umehitimishwa jana kwa Makamu Mwenyekiti wa Bunge, Samia Suluhu, kuruhusu wajumbe wazee watoe neno la maridhiano.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-FPiZVG_Wxq8/VJsftirF2_I/AAAAAAAG5p8/NxzqJWn1eU4/s72-c/images%2B(1).jpg)
Wakili Damas Ndumbaro asema hatma yake TFF kujulikana kwenye mkutano mkuu wa Shirikisho hilo mwakani
![](http://1.bp.blogspot.com/-FPiZVG_Wxq8/VJsftirF2_I/AAAAAAAG5p8/NxzqJWn1eU4/s1600/images%2B(1).jpg)
9 years ago
Dewji Blog17 Dec
Bodi ya Chelsea yakutana kujadili hatma ya Mourinho, baadhi ya makocha watajwa kuchukua mikoba yake, listi ipo hapa
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Bodi ya Chelsea ikiongozwa na mmiliki wa klabu hiyo, Roman Abramovich imekutana jana jumatano kujadili kuhusu hatma ya kocha wa timu hiyo, Jose Mourinho (pichani) baada ya klabu hiyo kuendelea kupata matokeo mabaya ambayo hayawaridhishi viongozi na mashabiki wa timu hiyo.
Taarifa zinasema kuwa bodi hiyo ilikutana katika kikao kilichofanyika kwa masaa tisa kujadili hatma ya kocha wa timu yao licha ya mmiliki klabu kuonyesha hali ya kutamani kuendelea kufanya kazi na...