Kocha wa Barcelona hajui hatma yake
Kocha wa Barcelona Luis Enrique amekataa kuzungumzia kuhusu hatma yake ama kuthibitisha iwapo atasalia katika timu hiyo msimu ujao licha ya yeye kushinda mataji matatu na klabu hiyo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili29 Nov
Kocha wa Liverpool ahofia hatma yake
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-e-5vKoe8xhM/VjNYm5sJhzI/AAAAAAAAn9c/BPfrE3lefsw/s72-c/1.jpg)
AUDIO : LEMBELI AELEZA HATMA YAKE BAADA YA KUUKOSA UBUNGE, AJIBU TETESI JUU YAKE IKIWEMO YA KUUZA REDIO YAKE
![](http://1.bp.blogspot.com/-e-5vKoe8xhM/VjNYm5sJhzI/AAAAAAAAn9c/BPfrE3lefsw/s640/1.jpg)
Aliyekuwa mgombea ubunge wa jimbo la Kahama Mjini, James Lembeli ameelezea kinachoendelea katika maisha yake ya kisiasa hasa baada ya kushindwa katika uchaguzi wa mwaka huu akiwa ndani ya chama chake kipya cha Chadema.
Akiongea katika taarifa rasmi kwa wananchi wa jimbo hilo, Lembeli amesema kuwa hivi sasa atajikita zaidi katika shughuli za chama chake pamoja na shughuli alizokuwa akizifanya kabla ya kuwa mbunge wa jimbo hilo.
Alisema kuwa ataendelea kufanya kazi zake na mashirika ya kimataifa...
10 years ago
Tanzania Daima12 Nov
Phiri hajui kesho yake Simba
KOCHA Mkuu wa timu ya Simba, Patrick Phiri amesema tiketi ya kubaki katika kibarua hicho au kuondoka kurejea kwao Zambia, imeshikiliwa na Kamati ya Utendaji chini ya Rais wake Evance...
9 years ago
Bongo517 Nov
Fabregas hajui nini tatizo katika klabu yake Chelsea kuhusu matokeo mabaya
![Fabregas](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Fabregas-300x194.jpg)
Kiungo Cesc Fabregas wa Chelsea na timu ya taifa ya Hispania ameelezea hasira kutokana na matokeo duni ya klabu ya Chelsea msimu huu kwao umekua mbaya sana na kwamba hajui nini kinaenda vibaya katika kikosi hicho cha kocha Jose Mourinho.
Akiongea kwa uchungu sana na Gazeti la kihispania Marca., Cesc ameonesha kukasirishwa sana na jinsi msimu unavyoenda huku akisema matokeo hayawatendei haki kwani wanacheza vizuri kuliko matokeo wanayopata uwanjani.
”Kwa hakika sifahamu ninikimetusibu msimu...
10 years ago
BBCSwahili11 Sep
Oscar Pistorius kujua hatma yake
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NDILiAzzLEXJ2AszLGF*W4T00MELXOYP8jKsAMxgtQw*2X4Ht1ecX-7hzPda6*smccgafozLtshnDit9jVXY87ATDtrM8GZk/151429671__583769c.jpg?width=650)
PISTORIUS KUJUA HATMA YAKE LEO
10 years ago
Habarileo28 Sep
'Wabunge ifikirieni nchi yenu na hatma yake'
MJADALA wa wazi wa Bunge Maalumu la Katiba kuhusu Rasimu ya Katiba inayopendekezwa, umehitimishwa jana kwa Makamu Mwenyekiti wa Bunge, Samia Suluhu, kuruhusu wajumbe wazee watoe neno la maridhiano.
10 years ago
BBCSwahili27 Dec
EPL:Meneja wa WBA ahofia hatma yake
11 years ago
BBCSwahili10 Jul
Scolari kuamua hatma yake baada ya kombe