Fabregas hajui nini tatizo katika klabu yake Chelsea kuhusu matokeo mabaya
Kiungo Cesc Fabregas wa Chelsea na timu ya taifa ya Hispania ameelezea hasira kutokana na matokeo duni ya klabu ya Chelsea msimu huu kwao umekua mbaya sana na kwamba hajui nini kinaenda vibaya katika kikosi hicho cha kocha Jose Mourinho.
Akiongea kwa uchungu sana na Gazeti la kihispania Marca., Cesc ameonesha kukasirishwa sana na jinsi msimu unavyoenda huku akisema matokeo hayawatendei haki kwani wanacheza vizuri kuliko matokeo wanayopata uwanjani.
”Kwa hakika sifahamu ninikimetusibu msimu...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili16 Nov
Fabregas afoka kuhusu matokeo ya Chelsea
9 years ago
MillardAyo17 Dec
Fabregas kaongea haya kuhusu wachezaji wenzake wa Chelsea wanaolipwa mishahara mikubwa …
Klabu ya Chelsea ya Uingereza ni miongoni mwa vilabu vinavyolipa mishahara mikubwa wachezaji wake, klabu hiyo ambayo inamilikiwa na bilionea wa kirusi Roman Abromavich imekumbana na wakati mgumu msimu huu, baada ya kupokea jumla ya vipigo 9 katika mechi 16 ilizocheza. Kocha wa klabu hiyo Jose Mourinho alinukuliwa siku moja nyuma akilaumu wachezaji wake wanamsaliti, ila […]
The post Fabregas kaongea haya kuhusu wachezaji wenzake wa Chelsea wanaolipwa mishahara mikubwa … appeared first on...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/agg6MtdmQC2goLWOp4k-BeBZnQKIiAOr3qNlUSkN2FE15XHXASZYx-O5xt7nGsfcI-rvTsaIb2-vKdyUQBLrkRYEEUCr8UHj/fab5.jpg?width=650)
FABREGAS ATUA CHELSEA KWA PAUNI MILIONI 30
5 years ago
Football.London25 Mar
Cesc Fabregas on Arsenal snub and why he joined Chelsea over Manchester United
9 years ago
TheCitizen19 Dec
‘We’ll miss you,’ Fabregas tells sacked Chelsea boss Mourinho
9 years ago
MillardAyo21 Dec
Baada ya Fabregas kuzomewa na mashabiki wa Chelsea, Pedro kaamua kuongea haya ….
December 19 Ligi Kuu Uingereza iliendelea na moja ya mechi zilizochezwa ni ile ya Chelsea dhidi ya Sunderland, mchezo uliomalizika kwa Chelsea kuibuka na ushindi wa goli 3-1. Katika mchezo huo, mashabiki wa Chelsea walionekana kumzomea Fabregas kwa kauli yake aliyoitoa juu ya Diego Costa kuwa anachangia kupata matokeo mabovu kwa timu hiyo. Mshambuliaji Pedro Rodriguez […]
The post Baada ya Fabregas kuzomewa na mashabiki wa Chelsea, Pedro kaamua kuongea haya …. appeared first on...
10 years ago
Dewji Blog03 Aug
Taarifa kuhusu tatizo la umeme katika uwanja wa ndege wa Mwanza
Kufuatia tatizo la kiufundi la umeme katika uwanja wa Ndege wa Mwanza ambalo lilisababisha ndege za kampuni ya Fastjet kukatisha safari zake zote za usiku kuepuka kuhatarisha maisha ya abiria na wafanyakazi, tunapenda kuwashukuru wateja wetu wote kwa ushirikiano wao na uvumilivu waliotuonyesha na tunawaomba wawasiliane nasi ili kupata maelezo zaidi juu ya safari zao.
Wakati mamlaka ya viwanja vya ndege Tanzania ikiendelea kufanya juhudi za kutatua tatizo hili, safari zetu za usiku za...
10 years ago
Tanzania Daima12 Nov
Phiri hajui kesho yake Simba
KOCHA Mkuu wa timu ya Simba, Patrick Phiri amesema tiketi ya kubaki katika kibarua hicho au kuondoka kurejea kwao Zambia, imeshikiliwa na Kamati ya Utendaji chini ya Rais wake Evance...