Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


FABREGAS ATUA CHELSEA KWA PAUNI MILIONI 30

KIUNGO wa Barcelona na Hispania, Cesc Fabregas amejiunga na Klabu ya Chelsea kwa pauni milioni 30 kwa mkataba wa miaka mitano. Fabregas atavaa jezi namba nne kama aliyokuwa akivaa Arsenal na Barcelona. Kiungo huyo ameishukuru Barcelona ambapo amekaa miaka mitatu kwa furaha. "Ilikuwa timu yangu ya utotoni na nitajivunia kila mara kupata nafasi ya kuchezea timu hiyo kubwa" "Nahisi bado sijamaliza kazi katika Premier League na kwa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Bongo5

Hatimaye Luis Suarez atua Barcelona kwa pauni milioni 75

Klabu ya soka ya Liverpool imekubali kumuuza mshambulizi wake Luis Suarez kwa Barcelona kwa pauni milioni 75. Mchezaji huyo wa Uruguay ,ambaye amepigwa marufuku ya kutocheza mpira miezi miinne baada ya kukutwa na hatia ya kumng’ata begani mchezaji mwenzake wa Italy, Giorgio Chiellini wakati wa mechi yao katika kombe la dunia anatarajia kusafiri kwenda Barcelona […]

 

11 years ago

GPL

SANCHEZ ATUA ARSENAL, KULAMBA PAUNI 140,000 KWA WIKI

Nyota mpya wa Arsenal, Alexis Sanchez akiwa ndani ya 'uzi' mpya. MSHAMBULIAJI mahiri wa Chile na Barcelona, Alexis Sanchez, amejiunga na Klabu ya Arsenal kwa pauni milioni 30 na mkataba wa miaka miaka minne. Alexis Sanchez atakuwa Arsenal kwa miaka minne. Akiwa klabuni hapo, nyota huyo atalipwa pauni 140,000 kwa wiki sawa na Mesut Ozil aliyekuwa analipwa kiasi hicho kikubwa kuliko wote ndani ya… ...

 

10 years ago

GPL

MANCHESTER UNITED WATENGA PAUNI MILIONI 100 KWA DI MARIA

Angel Di Maria. KLABU ya Manchester United imetenga kitita cha pauni milioni 100 kwa ajili ya usajili na mshahara wa winga wa Real Madrid na timu ya Taifa ya Argentina, Angel Di Maria. Daley Blind. Pauni milioni 50 zinatarajiwa kutumika kumsajili staa huyo wa Real Madrid huku mshahara wake kwa wiki ukitarajiwa kuwa pauni 200,000. Kocha wa United, Louis van Gaal amemtaka Mtendaji Mkuu wa timu hiyo, Ed Woodward… ...

 

10 years ago

GPL

FALCAO ATUA CHELSEA KWA MKOPO

Mshambuliaji wa timu ya Taifa ya Colombia aliyetua Chelsea, Radamel Falcao. Falcao akiwa Klabu ya Manchester United. MSHAMBULIAJI wa timu ya Taifa ya Colombia, Radamel Falcao ametua rasmi katika Klabu ya Chelsea kwa mkopo wa ada ya pauni…

 

9 years ago

BBCSwahili

Fabregas afoka kuhusu matokeo ya Chelsea

Kiungo wa Chelsea ya Uingereza Cesc Fabregas ameelezea hasira kutokana na matokeo duni ya klabu ya Chelsea msimu huu

 

10 years ago

BBCSwahili

Ronaldo ana thamani ya pauni milioni 300

Imeelezwa kuwa Ronaldo ana thamani ya Pauni 300 iwapo ataamua kuihama Real Madrid

 

10 years ago

BBCSwahili

Mancity kutumia pauni milioni 100 msimu huu

Manchester City wanatarajiwa kutumia pauni milioni 100 ili kuwasajli wachezaji wapya msimu huu baada ya vikwazo walivyowekewa kuhusu ununuzi wa wachezaji kuondolewa na UEFA.

 

5 years ago

Football.London

Cesc Fabregas on Arsenal snub and why he joined Chelsea over Manchester United

Cesc Fabregas on Arsenal snub and why he joined Chelsea over Manchester United  Football.LondonWhy Cesc Fabregas left Arsenal for Barcelona in 2011  Sky Sports‘I’m going back to Arsenal’: £110k-a-week star opens up on failed Emirates return  HITC - Football, Gaming, Movies, TV, Music‘Alonso begged for Arsenal move over Real Madrid’ – Fabregas frustrated Gunners did no deal with Liverpool  Goal.comFabregas on why he chose Chelsea over Man United and City as Arsenal rejected chance to re-sign...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani