FALCAO ATUA CHELSEA KWA MKOPO

Mshambuliaji wa timu ya Taifa ya Colombia aliyetua Chelsea, Radamel Falcao. Falcao akiwa Klabu ya Manchester United. MSHAMBULIAJI wa timu ya Taifa ya Colombia, Radamel Falcao ametua rasmi katika Klabu ya Chelsea kwa mkopo wa ada ya pauni…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Africanjam.Com
FALCAO ATUA RASMI CHELSEA

Radamel Falcao amesaini mkataba wa kujiunga na klabu ya Chelsea na ataungana na timu yake mpya kwenye ziara ya kujiandaa na msimu ujao (pre-season) huko bara la America ya Kaskazini hii ni kwa muji wa ripoti.Mjomba pamoja na baba yake Falcao wamethibitisha kwamba, mkataba umeshasainiwa kati ya mshambuliaji huyo na klabu ya Chelsea.
Kwa mujibu wa gazeti la The Guardian, Chelsea wamekubaliana na Monaco kumsajili Falcao kwa mkopo wa mwaka mmoja lakini mkataba huo unakipengele cha kumsajili moja...
10 years ago
Habarileo18 Aug
Charles atua JKT Ruvu kwa mkopo
MCHEZAJI wa mabingwa wa soka Tanzania Bara yanga, Edward Charles ametua kwa mkopo katika kikosi cha Ruvu JKT kilichopiga kambi mjini Morogoro kuendelea na mazoezi kwenye uwanja wa shule ya sekondari Morogoro.
11 years ago
GPL
FALCAO ATUA MAN UTD
11 years ago
Mwananchi02 Sep
Falcao sasa atua rasmi Manchester United
9 years ago
BBCSwahili31 Dec
Falcao aumia tena Chelsea
10 years ago
Africanjam.Com
FALCAO MBIONI KUTIMKIA CHELSEA

10 years ago
BBCSwahili04 Jul
Chelsea yamsajili Radamel Falcao
10 years ago
Africanjam.Com
CHELSEA TO COMPLETE LOAN DEAL FOR RAMADEL FALCAO

Chelsea are to complete a loan deal for Radamel Falcao from Monaco very soon before allowing the striker to take an extended break ahead of a return to pre-season training.That’s according to Tom Dutton of the London Evening Standard, who wrote that the deal will be completed “imminently.” It’s also noted in the piece that Colombian TV channel Caracol claim the 29-year-old will then join up with the Blues on July 19 after a three-week break.

Mourinho clearly feels there is more to come from...
11 years ago
GPL
FABREGAS ATUA CHELSEA KWA PAUNI MILIONI 30