Chelsea yamsajili Radamel Falcao
Chelsea imemsajili mshambuliaji wa klabu ya Monaco Radamel Falcao kwa makubaliano ya mkopo lakini kuna uwezekano wa kuongeza kandarasi hiyo na kuwa ya kudumu.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili08 Dec
10 years ago
BBCSwahili14 Jan
Radamel Falcao ataenda wapi msimu ujao?
Radamel Falcao atachezea moja kati ya timu bora duniani msimu ujao,hata kama haitakuwa Manchester United amesema wakala wake.
9 years ago
BBCSwahili31 Dec
Falcao aumia tena Chelsea
Mshambuliaji wa Chelsea Radamel Falcao ameumia tena na hataweza kucheza hadi katikati mwa Januari.
10 years ago
Africanjam.Com![](http://4.bp.blogspot.com/-AhMNR_2acic/VZQOb_IyxLI/AAAAAAAACXQ/_Yq7SqMk1As/s72-c/Radamel-Falcao-Atletico-Madrid-Primera-Liga_2835116.jpg)
FALCAO ATUA RASMI CHELSEA
![](http://4.bp.blogspot.com/-AhMNR_2acic/VZQOb_IyxLI/AAAAAAAACXQ/_Yq7SqMk1As/s400/Radamel-Falcao-Atletico-Madrid-Primera-Liga_2835116.jpg)
Radamel Falcao amesaini mkataba wa kujiunga na klabu ya Chelsea na ataungana na timu yake mpya kwenye ziara ya kujiandaa na msimu ujao (pre-season) huko bara la America ya Kaskazini hii ni kwa muji wa ripoti.Mjomba pamoja na baba yake Falcao wamethibitisha kwamba, mkataba umeshasainiwa kati ya mshambuliaji huyo na klabu ya Chelsea.
Kwa mujibu wa gazeti la The Guardian, Chelsea wamekubaliana na Monaco kumsajili Falcao kwa mkopo wa mwaka mmoja lakini mkataba huo unakipengele cha kumsajili moja...
10 years ago
Africanjam.Com![](http://2.bp.blogspot.com/-Gkjy662rssE/VXLU8it4McI/AAAAAAAAB7M/lOh3cthwy6w/s72-c/falcao_pa.jpg)
FALCAO MBIONI KUTIMKIA CHELSEA
![](http://2.bp.blogspot.com/-Gkjy662rssE/VXLU8it4McI/AAAAAAAAB7M/lOh3cthwy6w/s400/falcao_pa.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YTFvh9JoYPEJEtMnuh8okF-zZi*181Q-2CCEO9RqiPW9ABgVptAxlDgt1ShvGrlqs7GY7NLqa0jES4b4uX56EjAi9mUkeKu3/2A333E3B000005783148483imagea15_1435928898885.jpg)
FALCAO ATUA CHELSEA KWA MKOPO
Mshambuliaji wa timu ya Taifa ya Colombia aliyetua Chelsea, Radamel Falcao. Falcao akiwa Klabu ya Manchester United. MSHAMBULIAJI wa timu ya Taifa ya Colombia, Radamel Falcao ametua rasmi katika Klabu ya Chelsea kwa mkopo wa ada ya pauni…
10 years ago
Africanjam.Com![](http://1.bp.blogspot.com/-Ge0zF-HCHvU/VZQR90RRB9I/AAAAAAAACXc/gOCIUvTdnQ0/s72-c/radamel-falcao.jpg)
CHELSEA TO COMPLETE LOAN DEAL FOR RAMADEL FALCAO
![](http://1.bp.blogspot.com/-Ge0zF-HCHvU/VZQR90RRB9I/AAAAAAAACXc/gOCIUvTdnQ0/s400/radamel-falcao.jpg)
Chelsea are to complete a loan deal for Radamel Falcao from Monaco very soon before allowing the striker to take an extended break ahead of a return to pre-season training.That’s according to Tom Dutton of the London Evening Standard, who wrote that the deal will be completed “imminently.” It’s also noted in the piece that Colombian TV channel Caracol claim the 29-year-old will then join up with the Blues on July 19 after a three-week break.
![](http://img.bleacherreport.net/img/article/media_slots/photos/002/135/238/hi-res-c29365eafef4fbdc87d0217a6047396c_crop_exact.jpg?w=650&h=433&q=85)
Mourinho clearly feels there is more to come from...
9 years ago
BBCSwahili17 Aug
Chelsea yamsajili Baba Rahman
Klabu ya soka ya Chelsea imemsajili beki Abdul Rahman Baba kutoka klabu ya FC Augsburg ya Ujerumani
11 years ago
BBCSwahili24 Jan
Chelsea yamsajili Mohamed Salah
Chelsea imemsajili mcheza kiungo wa timu ya taifa ya Misri Mohamed Salah kutoka kwa Basel ya Uswisi kwa kitita cha pauni 11
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania