Falcao aumia tena Chelsea
Mshambuliaji wa Chelsea Radamel Falcao ameumia tena na hataweza kucheza hadi katikati mwa Januari.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo527 Nov
Daniel Sturridge aumia tena mazoezini

Mshambuliaji wa kimataifa wa Uingereza anayeichezea klabu ya Liverpool, Daniel Sturridge, ameumia tena.
Sturridge ambaye hadi hivi sasa ameichezea Liverpool mechi tatu tangu kuanza kwa msimu huu, aliumia katika mazoezi ya kujianda na mechi dhidi ya na Bordeux ya Ufaransa na haijajulikana itachukua muda gani.
Kocha Jurgen Klopp amesema hajui nini kinaendelea kwa nyota wake huyo aliyeifungia Liverpool magoli 42 katika michezo 70 aliyoichezea klabu hiyo.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!!...
10 years ago
BBCSwahili04 Jul
Chelsea yamsajili Radamel Falcao
10 years ago
Africanjam.Com
FALCAO MBIONI KUTIMKIA CHELSEA

10 years ago
Africanjam.Com
FALCAO ATUA RASMI CHELSEA

Radamel Falcao amesaini mkataba wa kujiunga na klabu ya Chelsea na ataungana na timu yake mpya kwenye ziara ya kujiandaa na msimu ujao (pre-season) huko bara la America ya Kaskazini hii ni kwa muji wa ripoti.Mjomba pamoja na baba yake Falcao wamethibitisha kwamba, mkataba umeshasainiwa kati ya mshambuliaji huyo na klabu ya Chelsea.
Kwa mujibu wa gazeti la The Guardian, Chelsea wamekubaliana na Monaco kumsajili Falcao kwa mkopo wa mwaka mmoja lakini mkataba huo unakipengele cha kumsajili moja...
10 years ago
GPL
FALCAO ATUA CHELSEA KWA MKOPO
10 years ago
Africanjam.Com
CHELSEA TO COMPLETE LOAN DEAL FOR RAMADEL FALCAO

Chelsea are to complete a loan deal for Radamel Falcao from Monaco very soon before allowing the striker to take an extended break ahead of a return to pre-season training.That’s according to Tom Dutton of the London Evening Standard, who wrote that the deal will be completed “imminently.” It’s also noted in the piece that Colombian TV channel Caracol claim the 29-year-old will then join up with the Blues on July 19 after a three-week break.

Mourinho clearly feels there is more to come from...
11 years ago
Mwananchi06 Oct
Chelsea wababe tena kwa Arsenal
11 years ago
Michuzi.jpg)
NEW YORK YAMJADILI TENA TEMBO, CHELSEA CLINTON AONGOZA MAJADILIANO, TANZANIA YASHIRIKI
.jpg)
.jpg)
.jpg)