FALCAO ATUA RASMI CHELSEA
![](http://4.bp.blogspot.com/-AhMNR_2acic/VZQOb_IyxLI/AAAAAAAACXQ/_Yq7SqMk1As/s72-c/Radamel-Falcao-Atletico-Madrid-Primera-Liga_2835116.jpg)
Radamel Falcao amesaini mkataba wa kujiunga na klabu ya Chelsea na ataungana na timu yake mpya kwenye ziara ya kujiandaa na msimu ujao (pre-season) huko bara la America ya Kaskazini hii ni kwa muji wa ripoti.Mjomba pamoja na baba yake Falcao wamethibitisha kwamba, mkataba umeshasainiwa kati ya mshambuliaji huyo na klabu ya Chelsea.
Kwa mujibu wa gazeti la The Guardian, Chelsea wamekubaliana na Monaco kumsajili Falcao kwa mkopo wa mwaka mmoja lakini mkataba huo unakipengele cha kumsajili moja...
africanjam.com
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YTFvh9JoYPEJEtMnuh8okF-zZi*181Q-2CCEO9RqiPW9ABgVptAxlDgt1ShvGrlqs7GY7NLqa0jES4b4uX56EjAi9mUkeKu3/2A333E3B000005783148483imagea15_1435928898885.jpg)
FALCAO ATUA CHELSEA KWA MKOPO
10 years ago
Mwananchi02 Sep
Falcao sasa atua rasmi Manchester United
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vD-hYj2mu0T*wkgpaMzDJlXZUAmPtOo-ZVXMOajzTwPP-YjpfT9Op6C6Ah83x1Kiv-*K0QpQsW3t2FoOWLUT6*wHacZwH9mh/960.jpg?width=750)
FALCAO ATUA MAN UTD
10 years ago
BBCSwahili04 Jul
Chelsea yamsajili Radamel Falcao
10 years ago
Africanjam.Com![](http://2.bp.blogspot.com/-Gkjy662rssE/VXLU8it4McI/AAAAAAAAB7M/lOh3cthwy6w/s72-c/falcao_pa.jpg)
FALCAO MBIONI KUTIMKIA CHELSEA
![](http://2.bp.blogspot.com/-Gkjy662rssE/VXLU8it4McI/AAAAAAAAB7M/lOh3cthwy6w/s400/falcao_pa.jpg)
9 years ago
BBCSwahili31 Dec
Falcao aumia tena Chelsea
10 years ago
Africanjam.Com![](http://1.bp.blogspot.com/-Ge0zF-HCHvU/VZQR90RRB9I/AAAAAAAACXc/gOCIUvTdnQ0/s72-c/radamel-falcao.jpg)
CHELSEA TO COMPLETE LOAN DEAL FOR RAMADEL FALCAO
![](http://1.bp.blogspot.com/-Ge0zF-HCHvU/VZQR90RRB9I/AAAAAAAACXc/gOCIUvTdnQ0/s400/radamel-falcao.jpg)
Chelsea are to complete a loan deal for Radamel Falcao from Monaco very soon before allowing the striker to take an extended break ahead of a return to pre-season training.That’s according to Tom Dutton of the London Evening Standard, who wrote that the deal will be completed “imminently.” It’s also noted in the piece that Colombian TV channel Caracol claim the 29-year-old will then join up with the Blues on July 19 after a three-week break.
![](http://img.bleacherreport.net/img/article/media_slots/photos/002/135/238/hi-res-c29365eafef4fbdc87d0217a6047396c_crop_exact.jpg?w=650&h=433&q=85)
Mourinho clearly feels there is more to come from...
10 years ago
BBCSwahili03 Feb
11 years ago
Mtanzania27 Jul
Straika wa Chelsea atua Yanga
![Mshambuliaji wa zamani wa Chelsea, Seleman Abdallah Mbaruku, akiwa katika mazoezi ya timu ya Yanga jana kwenye uwanja wa Shule ya Sekondari ya Loyola, Dar es Salaam. Picha na John Dande](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Mbaruku.jpg)
Mshambuliaji wa zamani wa Chelsea, Seleman Abdallah Mbaruku, akiwa katika mazoezi ya timu ya Yanga jana kwenye uwanja wa Shule ya Sekondari ya Loyola, Dar es Salaam. Picha na John Dande
Na Abducado Emmanuel, Dar es Salaam
MSHAMBULIAJI wa zamani wa timu ya Chelsea ya England, Seleman Abdallah Mbaruku, ametua jana ndani ya kikosi cha Yanga kufanya majaribio ili kusajiliwa na timu hiyo.
Mbaruku amewahi kuichezea timu ya watoto ya Chelsea alipokuwa na umri wa miaka saba na nane, kabla ya kuhamia...