Straika wa Chelsea atua Yanga
Mshambuliaji wa zamani wa Chelsea, Seleman Abdallah Mbaruku, akiwa katika mazoezi ya timu ya Yanga jana kwenye uwanja wa Shule ya Sekondari ya Loyola, Dar es Salaam. Picha na John Dande
Na Abducado Emmanuel, Dar es Salaam
MSHAMBULIAJI wa zamani wa timu ya Chelsea ya England, Seleman Abdallah Mbaruku, ametua jana ndani ya kikosi cha Yanga kufanya majaribio ili kusajiliwa na timu hiyo.
Mbaruku amewahi kuichezea timu ya watoto ya Chelsea alipokuwa na umri wa miaka saba na nane, kabla ya kuhamia...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL
Straika wa England atua Yanga, aanza mazoezi
11 years ago
GPL
Straika atua Simba kwa ndege
11 years ago
Mwananchi28 Dec
Okwi amwondoa straika msomi Yanga
10 years ago
GPL
Straika Yanga atangaza kwenda Stand
11 years ago
GPL
Straika aliyeiua Yanga avunja mkataba Simba
10 years ago
BBCSwahili03 Feb
10 years ago
Africanjam.Com
FALCAO ATUA RASMI CHELSEA

Radamel Falcao amesaini mkataba wa kujiunga na klabu ya Chelsea na ataungana na timu yake mpya kwenye ziara ya kujiandaa na msimu ujao (pre-season) huko bara la America ya Kaskazini hii ni kwa muji wa ripoti.Mjomba pamoja na baba yake Falcao wamethibitisha kwamba, mkataba umeshasainiwa kati ya mshambuliaji huyo na klabu ya Chelsea.
Kwa mujibu wa gazeti la The Guardian, Chelsea wamekubaliana na Monaco kumsajili Falcao kwa mkopo wa mwaka mmoja lakini mkataba huo unakipengele cha kumsajili moja...
11 years ago
Mwananchi25 Jan
Salah atua Chelsea, Wenger awaka
10 years ago
GPL
FALCAO ATUA CHELSEA KWA MKOPO