Straika atua Simba kwa ndege

Kikosi cha timu ya Mbeya City. Martha Mboma na Nicodemus Jonas KUONYESHA kuwa inajipanga kwa ajili ya kufanya kweli msimu ujao, Simba imeanza michakato ya usajili kwa nguvu zote ambapo imeamua kulipa nauli ya ndege kwa mshambuliaji wa Mbeya City, Saady Kipanga ikiwa ni sehemu ya kumshawishi atue klabuni hapo. Kipanga ambaye alionyesha kiwango kizuri msimu uliomalizika hivi karibuni kwenye kikosi cha Mbeya City, amekuwa...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mtanzania27 Jul
Straika wa Chelsea atua Yanga

Mshambuliaji wa zamani wa Chelsea, Seleman Abdallah Mbaruku, akiwa katika mazoezi ya timu ya Yanga jana kwenye uwanja wa Shule ya Sekondari ya Loyola, Dar es Salaam. Picha na John Dande
Na Abducado Emmanuel, Dar es Salaam
MSHAMBULIAJI wa zamani wa timu ya Chelsea ya England, Seleman Abdallah Mbaruku, ametua jana ndani ya kikosi cha Yanga kufanya majaribio ili kusajiliwa na timu hiyo.
Mbaruku amewahi kuichezea timu ya watoto ya Chelsea alipokuwa na umri wa miaka saba na nane, kabla ya kuhamia...
11 years ago
GPL
Straika wa England atua Yanga, aanza mazoezi
11 years ago
GPL
TP Mazembe yaipa Simba straika
10 years ago
GPL
Simba yafuata straika Senegal
11 years ago
GPL
Milioni 42 zakamilisha usajili wa straika Simba
11 years ago
GPL
Mkenya mchana nyavu atua Simba atua
11 years ago
GPL
Straika aliyeiua Yanga avunja mkataba Simba
11 years ago
GPL
Simba yamzuia straika ligi kuu kusaini mkataba
10 years ago
Habarileo27 Aug
Mshambuliaji mwingine atua Simba kwa majaribio
MSHAMBULIAJI Makan Dembele kutoka Mali amewasili nchini kwa majaribio ya kujiunga na Simba SC. Mchezaji huyo aliwasili juzi jioni na kuungana na Abdoulaye N’daw wa Senegal katika majaribio hayo.