Straika aliyeiua Yanga avunja mkataba Simba
![](http://api.ning.com:80/files/LoK3NXOIwpFWqgx6ogGYLtswgl*DWrRWjcCPX0RD9lNfFNcWA5qndKH3Rp*iUgfEUqkoKF*j8beSsXC4HutkTmMDMJiG4zJR/STRAIKA.gif?width=650)
Mshambuliaji aliyetokea kukonga mioyo ya mashabiki wa Simba kwa kufumania nyavu, Betram Mwombeki(kushoto). Na Hans Mloli STRAIKA wa Simba, Betram Mwombeki, amesema kwamba yupo tayari kuvunja mkataba na klabu hiyo endapo ataendelea kusota benchi na kukosa amani kwenye kikosi hicho msimu ujao. Mwombeki aliyesajiliwa na Simba iliyokuwa chini ya Abdallah Kibadeni msimu uliopita, alikuwa shujaa wa timu hiyo kwenye mechi kadhaa...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NOzw*b8EyMrdSGT5fDZWw9MBE8Gq2nTv04Lpm2bMieHpYiiqAr6ISi--S6jta4Pl4fID8Feqpxd21cmWnQCtlourIvG97Soi/sima.gif?width=650)
Simba yamzuia straika ligi kuu kusaini mkataba
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*tHd*uipNJB-kCgU5ue-P05VxQK1JRGfCshUT5qXtWwnoO4KyT-UBbxRkKom*wbjHAOE6kl2AcTLMOO5W8ArJeNkafEoBKhO/11.gif?width=650)
Beki avunja mkataba, atua Yanga
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6vIMLmuhUcoKolNreH1RLmST5btDchIn3qkveKpbkvyxdelXULavVoNhuhRkp8IPhhT34Th1rsQHqUbXa7CUzO4N8N2YSAAD/logasian.gif?width=650)
Logarusic avunja mazoezi Simba, aifuata Yanga Taifa
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cGEsfZahF3s522seVcCy7kz-uebBhLmUicSJaEqjeM6W6tsONtu2qpjBD8nnHccLofpmpVkc*a6E5wjF6FuXA8eHKsGxI-jx/1.jpg?width=650)
Bahanuzi ajipeleka Simba, aukataa mkataba wa Yanga
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Tkccsb*3vm6cZNaczGRjPeG2SmMZ3ufoT6mEHz*w8PiAq4n6TiR4VhUwTVpgBvTNDcLBmTmEl3DwTPWz44AQPfIhf4TwMYvo/tp.jpg?width=650)
TP Mazembe yaipa Simba straika
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EWMw8iXl*iXqS0X6JJkD8ucfmURbbh4qaPFROvXHAC5Iy*uZuQsdG6zPGD9ChxwjtrNy8qJIefsqQ-UFroy10p-L-YC2VMcI/MBELE.jpg)
Simba yafuata straika Senegal
11 years ago
Mwananchi06 Mar
Puyol avunja mkataba Barca
11 years ago
Mtanzania27 Jul
Straika wa Chelsea atua Yanga
![Mshambuliaji wa zamani wa Chelsea, Seleman Abdallah Mbaruku, akiwa katika mazoezi ya timu ya Yanga jana kwenye uwanja wa Shule ya Sekondari ya Loyola, Dar es Salaam. Picha na John Dande](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Mbaruku.jpg)
Mshambuliaji wa zamani wa Chelsea, Seleman Abdallah Mbaruku, akiwa katika mazoezi ya timu ya Yanga jana kwenye uwanja wa Shule ya Sekondari ya Loyola, Dar es Salaam. Picha na John Dande
Na Abducado Emmanuel, Dar es Salaam
MSHAMBULIAJI wa zamani wa timu ya Chelsea ya England, Seleman Abdallah Mbaruku, ametua jana ndani ya kikosi cha Yanga kufanya majaribio ili kusajiliwa na timu hiyo.
Mbaruku amewahi kuichezea timu ya watoto ya Chelsea alipokuwa na umri wa miaka saba na nane, kabla ya kuhamia...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6LjPLZ8wv3eUd0Hv6*csyKMabZqMAeFCnGSEdfz-sE-1Qmcz9epno8opUwT2Ifb28P1oHGQ3ysBMhEBadhAFIixKgPz0XSO9/22.gif?width=650)
Milioni 42 zakamilisha usajili wa straika Simba