Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Puyol avunja mkataba Barca

Nahodha wa klabu ya Barcelona, Carles Puyol amesema atavunja mkataba wake wa kuendelea kuitumikia klabu hiyo mwishoni mwa msimu huu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Luis Enrique aongeza mkataba Barca

Mkufunzi wa timu ya soka ya Barcelona Luis Enrique ameongeza mkataba mpaka mwaka 2017

 

10 years ago

GPL

LADY JAYDEE AVUNJA MKATABA NA GARDNER

Stori: Musa Mateja
HABARI mpya kutoka kwa mastaa wanaodaiwa kuvunjika kwa ndoa yao, Judith Wambura Mbibo ‘Lady Jaydee’ na Gardner G. Habash ‘Kaptaini’, inasemekana wamevunja mkataba wa kuendesha Mgahawa wa Nyumbani Lounge uliopo Ada Estate, Kinondoni jijini Dar. Mbongo Fleva, Judith Wambura Mbibo ‘Lady Jaydee’.
Kwa mujibu wa mtoa habari wetu, wawili hao walidaiwa kufikia uamuzi wa...

 

11 years ago

GPL

Beki avunja mkataba, atua Yanga

Na Martha Mboma
BEKI wa Coastal Union, Abdi Banda, amefunguka  na kusema yupo katika hatua nzuri ya kuweza kumalizana na Yanga, huku akiwa anavunja mkataba wake. Beki wa Coastal Union, Abdi Banda. Kabla ya msimu uliopita Yanga ilikuwa ikimhitaji beki huyo ambaye alipandishwa kutoka timu ya vijana ya Coastal…

 

11 years ago

GPL

Straika aliyeiua Yanga avunja mkataba Simba

Mshambuliaji aliyetokea kukonga mioyo ya mashabiki wa Simba kwa kufumania nyavu, Betram Mwombeki(kushoto). Na Hans Mloli
STRAIKA wa Simba, Betram Mwombeki, amesema kwamba yupo tayari kuvunja mkataba na klabu hiyo endapo ataendelea kusota benchi na kukosa amani kwenye kikosi hicho msimu ujao.
Mwombeki aliyesajiliwa na Simba iliyokuwa chini ya Abdallah Kibadeni msimu uliopita, alikuwa shujaa wa timu hiyo kwenye mechi kadhaa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Carles Puyol kuhama Barcelona

Nahodha wa Barcelona Carles Puyol ametangaza atawahama mabingwa hao wa Hispania

 

11 years ago

Zitto Kabwe, MB

Mkataba wa Gesi umevuja: #Tanzania kupoteza shs 1.6 trilioni kwa mwaka — #Norway kujirudishia misaada yake yote nchini kupitia mkataba huu

Mkataba wa Gesi umevuja: Tanzania kupoteza shs 1.6 trilioni kwa mwaka

-       Norway kujirudishia misaada yake yote nchini kupitia mkataba huu

 Zitto Kabwe, Mb

Mkataba wa mgawanyo wa mapato yanayotokana na uzalishaji wa Gesi Asilia (PSA) kati ya Shirika la Mafuta na Gesi Tanzania na Kampuni ya Mafuta ya Norway umevujishwa (https://onedrive.live.com/view.aspx?cid=0EC42B180C06D0B8&resid=EC42B180C06D0B8%21107&app=WordPdf). Toka Mkataba huo uvuje na kuanza mijadala kwenye mitandao ya kijamii,...

 

9 years ago

BBCSwahili

Barca, Bayern zapeta

Barca, Bayern zapeta Arsenal, Chelsea chali

 

10 years ago

Mwananchi

Barca mabingwa wa Ulaya

Barcelona wametwaa ubingwa wa Ligi ya Mabingwa Ulaya kwa mara ya tano baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 3-1, katika mchezo wa fainali uliofanyika jana mjini Berlin, Ujerumani.

 

11 years ago

BBC

From bare feet to Barca and beyond

From playing in bare feet to Barca and beyond

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani