Bahanuzi ajipeleka Simba, aukataa mkataba wa Yanga
![](http://api.ning.com:80/files/cGEsfZahF3s522seVcCy7kz-uebBhLmUicSJaEqjeM6W6tsONtu2qpjBD8nnHccLofpmpVkc*a6E5wjF6FuXA8eHKsGxI-jx/1.jpg?width=650)
Straika wa Polisi Moro, Said Bahanuzi. Saphyna Mlawa, Dar es Salaam STRAIKA wa Polisi Moro, Said Bahanuzi ambaye yupo kwenye kiwango kizuri, amefunguka rasmi kuwa, yupo tayari kuichezea Simba ikiwa klabu hiyo itamfuata na kufikia makubaliano naye.Bahanuzi ambaye anaichezea Polisi kwa mkopo akitokea Yanga, amesema kuwa mkataba wake unaelekea mwishoni na kama Simba au klabu nyingine yoyote itakuwa inamhitaji, yupo tayari kufanya...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LoK3NXOIwpFWqgx6ogGYLtswgl*DWrRWjcCPX0RD9lNfFNcWA5qndKH3Rp*iUgfEUqkoKF*j8beSsXC4HutkTmMDMJiG4zJR/STRAIKA.gif?width=650)
Straika aliyeiua Yanga avunja mkataba Simba
10 years ago
Bongo Movies13 Dec
Hiki ndicho Walichohaidiana JB na Ray Kigosi leo kabla ya mechi ya Simba na Yanga. JB ni SIMBA, Ray ni YANGA.
Huku tukisubiria kwa hamu sana ile mechi ya NANI MTANI JEMBE kati ya YANGA na SIMBA, Jacob Steven – JB mshabiki namba moya wa SIMBA SPORTS CLUB na VICENT KIGOSI – Ray, shabiki namba moja wa YANGA wamekubaliana haya yafuatayo.
Endapo timu moja SIMBA itafungwa, basi JB atavaa jezi ya YANGA na kumpa RAY pesa za kitanzania TSHS. MILLIONI MOJA (1) CASH na ikiwa YANGA itafungwa, basi RAY atavaa jezi ya SIMBA na kumpa JB pesa hiyo hiyo MILLIONI MOJA (1) CASH.
Unahisi nani ataibuka kidedea...
10 years ago
Vijimambo09 Mar
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tei6Zvghx23W0In6GfSMswb8-r7dsZvrgsTkS6vlBNMQWSLfVlz8iY0-zXmWisFsaWCUT4Cq9d-13iI3PuMu4QAMSDIEy1Q7/1.gif?width=650)
Mkataba wa Simba, Singano
10 years ago
Habarileo14 Aug
Simba yaingia mkataba na Majabvi
KLABU ya Simba imemsainisha kiungo mkabaji wa kimataifa kutoka Zimbabwe, Justice Majabvi, mkataba wa miaka miwili wa kuichezea timu hiyo inayojiandaa kushiriki msimu ujao wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara.
10 years ago
GPLSIMBA YAINGIA MKATABA NA EAG
10 years ago
BBCSwahili09 Jun
Simba kujadili mkataba wa Singano
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DmWKX8GKoMmy6Hct5ROtVNZ*7jTS0V3QEeLkOsjoM4dOtkZgUlQXRBJUhv4W*QfLN*o8UuAaycGKWtFsMFXoQ25LM*44n5xM/loga.jpg?width=600)
Logarusic apewa mkataba feki Simba
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
MKATABA WA SIMBA NA SINGANO WAVUNJWA NA TFF