Simba kujadili mkataba wa Singano
Uongozi wa klabu ya Simba umeagizwa kuanza mazungumzo mapya na mchezaji Ramadhani Singano baada ya mvutano wa mkataba wake.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tei6Zvghx23W0In6GfSMswb8-r7dsZvrgsTkS6vlBNMQWSLfVlz8iY0-zXmWisFsaWCUT4Cq9d-13iI3PuMu4QAMSDIEy1Q7/1.gif?width=650)
Mkataba wa Simba, Singano
Kiungo wa Simba, Ramadhani Singano ‘Messi’. Na Mwandishi Wetu
SAKATA kubwa linaloutikisa mpira wa Tanzania sasa ni ule mkataba kati ya kiungo Ramadhani Singano ‘Messi’ na klabu yake ya Simba.Messi anasema mkataba wake unaisha 2015, lakini Simba inasisitiza mkataba wao na Messi unaisha mwaka 2016, jambo ambalo linazua tafrani kubwa. Championi Jumatatu lina kopi ya mikataba yote miwili, ule wa Simba...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
MKATABA WA SIMBA NA SINGANO WAVUNJWA NA TFF
Mshambuliaji wa Simba, Ramadhan Singano 'Messi'. LEO sakata la kiungo mshambuliaji wa Simba, Ramadhan Singano 'Messi' lilikuwa linasikilizwa kwenye ofisi za TFF ambapo pandehizo mbili zilikutana chini ya TFF. Baada ya kikao kirefu muafaka uliofikiwa chini ya TFF kuvunjwa kwa mikataba yote miwili ambayo inatofautiana. Kikao kimeamua mkataba alionao Messi uvunjwe na mkataba walionao Simba uvunjwe waingie makubaliano...
10 years ago
Mwananchi09 Jul
MAONI : Mkataba wa Simba, Singano tuambiwe ukweli
Tanzania, siku zote imekuwa ni nchi inayoendeshwa kwa kuzingatia kanuni, sheria na taratibu zinazosimamia sekta mbalimbali, ikiwamo michezo ambako kwa siku za karibuni imeshuhudia mabadiliko makubwa.
10 years ago
Mwananchi10 Jun
MKATABA:TFF yajikanyaga kesi ya Singano
Huku ikionekana dhahiri kuwa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limemlazimisha mshambuliaji Ramadhani Singano ‘Messi’ kubaki Simba, mchezaji huyo alibubujikwa machozi hadharani huku akisema analiacha jambo hilo mbele ya Mungu.
10 years ago
Mwananchi31 May
Mzozo Simba SC , Singano kuinufaisha Azam
Dar es Salaam. ‘Vita ya panzi furaha ya kunguru’, ndivyo unavyoweza kufananisha msemo huo na malumbano yanayoendelea baina ya Ramadhani Singano ‘Messi’ na klabu yake, Simba.
10 years ago
Vijimambo07 Jul
NDOA YA SIMBA NA SINGANO YAPALAGANYISHWA NA TFF
![](http://api.ning.com/files/o1QX7UF1Vt6xhLvFzlBbqGHcKiSqKGZnsrpAlwCDwbHf6cAflKjtrshgXKGK06K6oZBVqdbRZm0Zbzc83VdZft*CVhxF5d7a/11013069_415704225288903_416818412053294542_n.jpg?width=650)
Chini ya Mwenyekiti wake, Richard Sinamtwa, Kamati hiyo imejiridhisha Messi hakuwahi kupewa...
10 years ago
Vijimambo10 Jul
Singano asaini Azam, Simba yamtibulia
![](http://api.ning.com/files/2Za8s5sYvAIcL1x*QUEA-ZrTMfVzCck*9ZybZwT6dmb1Syoswb*CVAHbON*B6DUpaFAo1NUuJrbnSsiebH6sueYkMp9UyrpD/11737180_920557287983039_2068690925_n.jpg?width=650)
Kiungo mshambuliaji Ramadhani Singano ‘Messi’ akisaini mkataba.
KIUNGO mshambuliaji Ramadhani Singano ‘Messi’, amesaini mkataba wa miaka miwili kuitumikia Azam FC, ikiwa ni siku moja baada ya kutamkwa kuwa ni mchezaji huru aliyemalizana na Simba.Singano alisaini mkataba huo jana lakini nyuma ya pazia imebainika kuwa kumbe Simba nayo iliamua kutibua dili lililokuwa likinukia kwa mchezaji huyo kutakiwa kwenda nchini Austria kucheza soka la kulipwa.Akizungumza na Championi Ijumaa, Ofisa Habari...
10 years ago
Vijimambo09 Jun
NDOA YA SINGANO 'MESSI' WA SIMBA YA FUNYWA RASMI NA TFF.
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/06/SINGAN.jpg)
Mshambuliaji wa Simba, Ramadhan Singano 'Messi'.
LEO sakata la kiungo mshambuliaji wa Simba, Ramadhan Singano 'Messi' lilikuwa linasikilizwa kwenye ofisi za TFF ambapo pandehizo mbili zilikutana chini ya TFF.Baada ya kikao kirefu muafaka uliofikiwa chini ya TFF kuvunjwa kwa mikataba yote miwili ambayo inatofautiana.
Kikao kimeamua mkataba alionao Messi uvunjwe na mkataba walionao Simba uvunjwe waingie makubaliano mapya.
Upande wa Singano haujakubaliana na maamuzi hayo kwa sababu unamtaka...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania