Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Simba yaingia mkataba na Majabvi

KLABU ya Simba imemsainisha kiungo mkabaji wa kimataifa kutoka Zimbabwe, Justice Majabvi, mkataba wa miaka miwili wa kuichezea timu hiyo inayojiandaa kushiriki msimu ujao wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

SIMBA YAINGIA MKATABA NA EAG

Aveva akizungumza jambo katika hoteli ya Southern Sand kuhusu mkataba na EAG Group. Rais wa Simba, Evans Aveva (wa pili kushoto), Mkurugenzi wa Kampuni ya EAG Group, Iman Kajula (katikati) na Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya Simba, Jasmine Badar Soud wakati wa hafla ya kutangaza mkataba.  Aveva na Kajula.…

 

9 years ago

Mtanzania

Majabvi aiangukia Simba

Justice-MajabviNA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM

MCHEZAJI wa kimataifa wa Simba, Justice Majabvi, ameuomba uongozi wa klabu hiyo kumpa nafasi nyingine ya  kuendelea kuichezea timu hiyo katika mechi zijazo za Ligi Kuu Tanzania Bara.

Majabvi ambaye ni raia wa Zimbabwe alitishia kuondoka katika timu hiyo kwa madai kuwa uongozi umeshindwa kumtimizia mahitaji yake ya msingi.

Habari za kuaminika kutoka ndani ya klabu hiyo zililipasha MTANZANIA jana kuwa, Majabvi aliwapigia simu viongozi wa timu hiyo kuomba...

 

9 years ago

Global Publishers

Simba wamshtukia Majabvi, wamkata mshahara

majadviKiungo wake mkabaji Mzimbabwe, Justice Majabvi.

Wilbert Molandi, Dar es Salaam

KUTISHIA kumtimua haikutosha, uongozi wa Simba umeamua kumkata mshahara wa mwezi huu kiungo wake mkabaji Mzimbabwe, Justice Majabvi.

Hiyo ni siku chache tangu kiungo huyo alipoujia juu uongozi wa timu hiyo akilalamikia kutotimiziwa mahitaji yake kwa mujibu wa mkataba tangu ajiunge na Simba, hasa suala la malazi.

Uongozi wa Simba ulikasirishwa na kitendo hicho na kuchukua uamuzi wa kumtimua nyota huyo mwenye...

 

10 years ago

Mwananchi

Nyota Nibomana, Majabvi wamkuna kocha wa Simba

Kocha wa Simba, Dylan Kerr ameonyesha kukunwa na uwezo wa nyota wake wapya wakiwamo beki Mrundi Emiry Nibomana ‘Kadogoo’ na kiungo Mzimbabwe, Justice Majabvi.

 

10 years ago

Mwananchi

USAJILI: Yanga, Simba zawatuliza Bossou, Majabvi

Wakongwe wa soka nchini, Yanga na Simba wamewatuliza nyota wao wa kimataifa beki wa Togo, Vicent Bossou na kiungo Mzimbabwe Justice Majabvi kwa kuwaahidi kuwasajili muda wowote wiki hii.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Katomu Solar yaingia mkataba na Jumuiya ya Ulaya

KAMPUNI ya umeme wa jua (solar) nchini ya Katomu Investment Ltd, imeingia mkataba na nchi mbalimbali zinazounda Jumuiya ya Ulaya (EU) ili kuachana na masoko ya bidhaa feki yaliyotapakaa mahali...

 

10 years ago

Michuzi

BOA YAINGIA MKATABA NA KAMPUNI YA UENDELEZAJI ARDHI YA AVIC

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Bank of Africa (BOA), Masia Mushi, akisisitiza jambo kwa waandishi wa habari ofisini kwake jijini Dar es Salaam leo, wakati wa hafla ya kusaini mkataba wa pamoja na Kampuni ya Kimataifa ya Uendelezaji wa Ardhi ya AVIC, kuhusu mradi mkubwa wa mikopo nafuu ya nyumba zilizojengwa na kampuni hiyo, zilizopo eneo la Somangira, Kigamboni jijini Dar es Salaam, ambao utawanufaisha watanzania hususani wateja wa benki ya BOA, ambao ulisainiwa rasmi jana. Katikati ni Naibu...

 

10 years ago

Vijimambo

AIRTEL YAINGIA MKATABA NA FINCA WA KUTOA HUDUMA ZA KIFEDHA

 Meneja Mahusiano wa Kampuni ya simu ya Airtel, Jackson Mmbando (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, kuhusu ushirikiano wa Airtel na Finca kutoa huduma za kifedha. Kutoka kulia ni , Vivian Temi na Meneja wa Huduma ya Airtel Money, Stephen Kimea.
 Meneja wa Huduma ya Airtel Money, Stephen Kimea (wa pili kushoto), akizungumza katika mkutano huo kuhusu huduma hiyo. Kulia ni Msimamizi Kitengo cha Huduma kwa Wateja wa Benki ya Finca Microfinance, Vivian...

 

9 years ago

StarTV

Gerefa yaingia mkataba wa mwaka mmoja na kocha Suleiman Matola.

 

Hatimaye Chama Cha Mpira Mkoa wa Geita Gerefa kimeingia mkataba na Suleiman Matola kuwa kocha Mkuu wa Timu hiyo kwa lengo la kuhakikisha anainoa ipasavyo kwa lengo la kuhakikisha inapanda daraja ambapo kwa sasa timu ya Geita Gold Sports ipo katika ligi  daraja la Kwanza Tanzania Bara.

Mwenyekiti wa Chamacha Gerefa Salum Kulunge amesema kocha Matola kwa uwezo alionao wa ufundishaji na mafanikia aliyonayo katika kuinua mchezo wa soka huku akiwaana leseni kubwa ya ufundishaji wa soka hapa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani