USAJILI: Yanga, Simba zawatuliza Bossou, Majabvi
Wakongwe wa soka nchini, Yanga na Simba wamewatuliza nyota wao wa kimataifa beki wa Togo, Vicent Bossou na kiungo Mzimbabwe Justice Majabvi kwa kuwaahidi kuwasajili muda wowote wiki hii.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo23 Dec
TOP 5 Stories: Samatta kapata timu Ulaya, Majabvi kamalizana na Simba, anayefifisha nyota ya Niyonzima Yanga …
Mtu wangu wa nguvu najua unashauku ya kutaka kufahamu leo December 23 kuna stori gani katika headlines za soka la Bongo. Huenda ukawa hukupata bahati ya kusoma stori za michezo za magazeti ya leo December 23. Mtu wangu wa nguvu naomba nikusogezee headlines 5 za stori za magazeti ya michezo ya Tanzania. 5- Majabvi amalizana […]
The post TOP 5 Stories: Samatta kapata timu Ulaya, Majabvi kamalizana na Simba, anayefifisha nyota ya Niyonzima Yanga … appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
Mwananchi25 May
USAJILI: Yanga, Simba yametimia
10 years ago
Mwananchi04 Sep
Usajili wa Okwi: Yanga 4, Simba 3
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SRbpV0Al75pecdqB77AWyxEtfnTUfYXxEFIZe7bRJqIa1ih4MCrOTSrE*dRUNJ5aqZnYWvVef0TzWVEjLhjJv9JMWKa4Tvee/NYOTA.jpg?width=650)
Nyota Simba waomba usajili Yanga
10 years ago
Mwananchi15 Nov
Yanga waibeza Simba SC sakata la usajili wa Msuva
10 years ago
Mwananchi26 May
USAJILI: ‘Simba, Yanga zinajengea nyumba nyota’
10 years ago
Mwananchi03 Jun
MAANDALIZI:Simba, Yanga zachelewesha usajili wa timu ndogo
9 years ago
Mtanzania22 Dec
Majabvi aiangukia Simba
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
MCHEZAJI wa kimataifa wa Simba, Justice Majabvi, ameuomba uongozi wa klabu hiyo kumpa nafasi nyingine ya kuendelea kuichezea timu hiyo katika mechi zijazo za Ligi Kuu Tanzania Bara.
Majabvi ambaye ni raia wa Zimbabwe alitishia kuondoka katika timu hiyo kwa madai kuwa uongozi umeshindwa kumtimizia mahitaji yake ya msingi.
Habari za kuaminika kutoka ndani ya klabu hiyo zililipasha MTANZANIA jana kuwa, Majabvi aliwapigia simu viongozi wa timu hiyo kuomba...
9 years ago
Habarileo11 Oct
Uongozi Yanga wanawa kwa Bossou, Coutinho
UONGOZI wa Yanga umesema kwamba beki Vincent Bossou na kiungo Andrey Coutinho, wamesajiliwa kwa mapendekezo ya kocha wao mkuu, Hans van der Pluijm.