Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


USAJILI: Yanga, Simba zawatuliza Bossou, Majabvi

Wakongwe wa soka nchini, Yanga na Simba wamewatuliza nyota wao wa kimataifa beki wa Togo, Vicent Bossou na kiungo Mzimbabwe Justice Majabvi kwa kuwaahidi kuwasajili muda wowote wiki hii.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

MillardAyo

TOP 5 Stories: Samatta kapata timu Ulaya, Majabvi kamalizana na Simba, anayefifisha nyota ya Niyonzima Yanga …

Mtu wangu wa nguvu najua unashauku ya kutaka kufahamu leo December 23 kuna stori gani katika headlines za soka la Bongo. Huenda ukawa hukupata bahati ya kusoma stori za michezo za magazeti ya leo December 23. Mtu wangu wa nguvu naomba nikusogezee headlines 5 za stori za magazeti ya michezo ya Tanzania. 5- Majabvi amalizana […]

The post TOP 5 Stories: Samatta kapata timu Ulaya, Majabvi kamalizana na Simba, anayefifisha nyota ya Niyonzima Yanga … appeared first on TZA_MillardAyo.

 

10 years ago

Mwananchi

USAJILI: Yanga, Simba yametimia

>Yanga imeshinda vita ya nje ya Uwanja baada ya kuipata saini ya kiungo Deus Kaseke aliyekuwa akiwaniwa na watani wao, Simba kwa muda mrefu.

 

10 years ago

Mwananchi

Usajili wa Okwi: Yanga 4, Simba 3

Kama mtindo wa kupiga kura utatumiwa na Kamati ya Sheria, Maadili na Hadhi za Wachezaji ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kuamua hatima ya mshambuliaji Emmanuel Okwi, basi Yanga ina uhakika wa kupata kura nne na Simba kura tatu.

 

11 years ago

GPL

Nyota Simba waomba usajili Yanga

Mwenyekiti wa Yanga, Yusuf Manji akihojiwa na wanahabari. Na Wilbert Molandi
KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida, baadhi ya wachezaji wa Simba wamepiga hodi kwenye Klabu ya Yanga na kuomba kusajiliwa na timu hiyo. Usajili wa ligi kuu unatarajiwa kufunguliwa Juni 16 na kumalizika mapema Agosti, mwaka huu.
Kwa mujibu wa chanzo cha habari kutoka ndani ya uongozi wa Yanga, wengi wa… ...

 

10 years ago

Mwananchi

Yanga waibeza Simba SC sakata la usajili wa Msuva

Uongozi wa Yanga umeibeza Simba juu ya kauli waliyoitoa hivi karibuni ya kudai kuwa wanaiandikia Yanga barua ya kutaka kumsajili winga wao Simon Msuva.

 

10 years ago

Mwananchi

USAJILI: ‘Simba, Yanga zinajengea nyumba nyota’

>Winga wa zamani wa Simba, Ulimboka Mwakingwe amesema sasa ndiyo wakati wa Yanga na Simba kuwajengea nyumba wachezaji.

 

10 years ago

Mwananchi

MAANDALIZI:Simba, Yanga zachelewesha usajili wa timu ndogo

Usajili wa nguvu unaoendelea kufanywa na Yanga, Simba umechangia kwa kiasi kikubwa kuchelewesha usajili wa timu zingine zitakazoshiriki Ligi Kuu msimu ujao.

 

9 years ago

Mtanzania

Majabvi aiangukia Simba

Justice-MajabviNA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM

MCHEZAJI wa kimataifa wa Simba, Justice Majabvi, ameuomba uongozi wa klabu hiyo kumpa nafasi nyingine ya  kuendelea kuichezea timu hiyo katika mechi zijazo za Ligi Kuu Tanzania Bara.

Majabvi ambaye ni raia wa Zimbabwe alitishia kuondoka katika timu hiyo kwa madai kuwa uongozi umeshindwa kumtimizia mahitaji yake ya msingi.

Habari za kuaminika kutoka ndani ya klabu hiyo zililipasha MTANZANIA jana kuwa, Majabvi aliwapigia simu viongozi wa timu hiyo kuomba...

 

9 years ago

Habarileo

Uongozi Yanga wanawa kwa Bossou, Coutinho

UONGOZI wa Yanga umesema kwamba beki Vincent Bossou na kiungo Andrey Coutinho, wamesajiliwa kwa mapendekezo ya kocha wao mkuu, Hans van der Pluijm.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani