Usajili wa Okwi: Yanga 4, Simba 3
Kama mtindo wa kupiga kura utatumiwa na Kamati ya Sheria, Maadili na Hadhi za Wachezaji ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kuamua hatima ya mshambuliaji Emmanuel Okwi, basi Yanga ina uhakika wa kupata kura nne na Simba kura tatu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZNt8FIknlRPDiKmkEeVARn6qDXBIGepcMeEpBMKZd6DWUj4jEP*ukbvz3il2wuWg16fjcU0uiCRQbVrqrR8YR0kkpZecawhT/1.gif)
usajili wa Okwi waivuruga simba
Emmanuel Okwi. Waandishi Wetu,Dar es Salaam
HATIMAYE kigogo wa Simba, Zacharia Hans Poppe, ameamua kuzima utata uliokuwa ukienea katika ishu ya usajili wa mshambuliaji wao, Mganda, Emmanuel Okwi na kufafanua kuwa ameuzwa na si kwa majaribio kama taarifa zilizoenea hapo awali. Awali, kulikuwa na mkanganyiko wa taarifa mbili tofauti, ambapo nyingine zilisema Okwi ameuzwa huku nyingine zikikanusha kwamba anakwenda kufanya...
11 years ago
BBCSwahili22 Jan
Usajili wa Okwi wazuiwa Yanga
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limesimamisha usajili wa mshambuliaji Emmanuel Okwi kutoka Uganda
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jF4-qtz-5Qc51HeT8zJFn3ZlIoNJvdxNK4gM*TNzyGcAcxGYoLaSpqGFXBZGsem0sJ4TstqT5ug*UMxLgyKTS6sBWntlf4Uq/OKWI5.jpg)
USAJILI WA OKWI YANGA WAZUIWA
Mshambuliaji Emmanuel Okwi. Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limesimamisha usajili wa mshambuliaji Emmanuel Okwi kutoka Uganda katika timu ya Yanga wakati likisubiri ufafanuzi kutoka Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA). Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji ya TFF iliyokutana leo (Januari 22 mwaka huu) kupitia masuala mbalimbali, imesimamisha usajili huo baada ya kubaini kuwa Okwi aliruhusiwa kuichezea...
10 years ago
Mwananchi08 Jun
USAJILI: Mavugo, Okwi, Mgosi utaipenda Simba tu
>Mshambuliaji mpya wa Simba, Mrundi Laudit Mavugo amesema kuwa hakuna cha kumnyima kung’ara ikiwa atacheza pamoja na Emmanuel Okwi na Mussa Hassan ‘Mgosi’.
10 years ago
Mwananchi25 May
USAJILI: Yanga, Simba yametimia
>Yanga imeshinda vita ya nje ya Uwanja baada ya kuipata saini ya kiungo Deus Kaseke aliyekuwa akiwaniwa na watani wao, Simba kwa muda mrefu.
10 years ago
TheCitizen30 Aug
SOCCER: Yanga, Simba in another tussle over Okwi
>A legal battle is brewing over Simba Sports Club’s new signing Emmanuel Okwi.Young Africans have reported the Ugandan striker to the Tanzania Football Federation (TFF) allegedly for penning a deal with their traditional foes without their consent
10 years ago
Mwananchi28 Jan
Simba kama Yanga sakata la Okwi
Siku chache baada ya watani zao Yanga kutaka ripoti ya mwamuzi ionyeshwe hadharani, uongozi wa Simba nao umefuata nyao hizo kwa kutaka mwamuzi Kennedy Mapunda achukuliwe hatua kali za kinidhamu.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SRbpV0Al75pecdqB77AWyxEtfnTUfYXxEFIZe7bRJqIa1ih4MCrOTSrE*dRUNJ5aqZnYWvVef0TzWVEjLhjJv9JMWKa4Tvee/NYOTA.jpg?width=650)
Nyota Simba waomba usajili Yanga
Mwenyekiti wa Yanga, Yusuf Manji akihojiwa na wanahabari. Na Wilbert Molandi
KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida, baadhi ya wachezaji wa Simba wamepiga hodi kwenye Klabu ya Yanga na kuomba kusajiliwa na timu hiyo. Usajili wa ligi kuu unatarajiwa kufunguliwa Juni 16 na kumalizika mapema Agosti, mwaka huu.
Kwa mujibu wa chanzo cha habari kutoka ndani ya uongozi wa Yanga, wengi wa… ...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/czF6wJsbSj3lmUatU1Qfhk87s3o*8OUdmLfZiPSBw7ezGWgGLwQxG*7gvk78t-RlmgWW*UzYAbM731CQwiAHnUSmMLIbfuP2/OKWI.jpg?width=650)
Sakata la kususa Yanga, Okwi aitaja Simba
Mshambuliaji Emmanuel Okwi.
Na Shakoor Jongo
FILAMU ya Emmanuel Okwi na timu yake ya Yanga inaendelea, sasa ni ukurasa mpya baada ya mchezaji huyo raia wa Uganda kutoa kauli. Okwi ambaye inadaiwa kuwa amesusa kuichezea timu hiyo kwa kile kilichoelezwa kuwa hajamaliziwa malipo ya fedha zake za usajili, amesema kuwa hawezi kufunguka zaidi kuhusu kinachoendelea.
Lakini amedai kuwa atafanya hivyo mara baada ya timu yake kuivaa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania