USAJILI WA OKWI YANGA WAZUIWA

Mshambuliaji Emmanuel Okwi. Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limesimamisha usajili wa mshambuliaji Emmanuel Okwi kutoka Uganda katika timu ya Yanga wakati likisubiri ufafanuzi kutoka Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA). Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji ya TFF iliyokutana leo (Januari 22 mwaka huu) kupitia masuala mbalimbali, imesimamisha usajili huo baada ya kubaini kuwa Okwi aliruhusiwa kuichezea...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili22 Jan
Usajili wa Okwi wazuiwa Yanga
11 years ago
Mwananchi04 Sep
Usajili wa Okwi: Yanga 4, Simba 3
10 years ago
GPL
usajili wa Okwi waivuruga simba
11 years ago
Mwananchi07 Sep
USAJILI: Hukumu ya Okwi leo
11 years ago
GPL
SIRI NZITO USAJILI WA OKWI YAANIKWA
10 years ago
Mwananchi08 Jun
USAJILI: Mavugo, Okwi, Mgosi utaipenda Simba tu
11 years ago
GPL
HUU NDO UKWELI KUHUSU USAJILI WA OKWI
11 years ago
GPL
Okwi asaini Yanga SC
11 years ago
GPL
OKWI ATUA YANGA SC