Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SIRI NZITO USAJILI WA OKWI YAANIKWA

Mshambuliaji wa Yanga, Emmanuel Okwi. Na Hans Mloli
SAKATA lililoshika hatamu katika kipindi kifupi cha nyuma ni kuhusu mshambuliaji wa Yanga, Emmanuel Okwi aliyedaiwa kuwa na usajili wa utata na kusababisha Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kumsimamisha mpaka lipate ufafanuzi kutoka Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa). Mchezaji huyo raia wa Uganda, alisajiliwa na Etoile du Sahel ya Tunisia akitokea Simba Januari, 2013 kwa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Raia Mwema

Siri ya Kikwete TRA yaanikwa

RAIS wa Awamu ya Nne, Jakaya Kikwete, ndiye chanzo cha mwendelezo wa ufisadi wa kutisha katika Ma

Mwandishi Wetu

 

10 years ago

Tanzania Daima

Siri nzito

SIKU moja baada ya marais wawili wa Tanzania kukabidhiwa Katiba inayopendekezwa, viongozi wa dini za Kikristo na Kiislam wamehitimisha kikao chao wakiwa na siri nzito kuhusu mustakabali wa taifa. Baadhi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

JK siri nzito

RAIS Jakaya Kikwete ana siri nzito moyoni ya kile anachotaka kuwaambia Watanzania wakati atakapolihutubia Bunge Maalumu la Katiba leo mjini Dodoma. Hotuba hiyo inayoashiria uzinduzi rasmi wa Bunge hilo la...

 

9 years ago

GPL

SIRI NZITO ZAFICHUKA!

Stori: Na Erick Evarist NYUMA ya wimbi kubwa la mastaa waliokuwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kuhamia Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuna siri nzito zilizojificha na Amani limechimbua kutoka kwa wahusika. Mastaa wakiwa kwenye vazi lakijani. Hivi karibuni, mastaa mbalimbali akiwemo mwigizaji Aunt Ezekiel na Vincent Kigosi ‘Ray’ waliokuwa wakishabikia Chadema kinachoungwa mkono na vyama vinavyounda Umoja wa Katiba...

 

10 years ago

GPL

DIAMOND, JK SIRI NZITO!

Na Musa Mateja/Amani
NYUMA ya ukaribu wa Rais wa Wasafi Classic Baby (WCB), Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete ‘JK’, kuna siri nzito kufuatia mambo mbalimbali yanayojitokeza kati yao kila kukicha, Amani lina cha kukujuza. Rais wa Wasafi Classic Baby (WCB), Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ akiwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano...

 

10 years ago

Mtanzania

Ugaidi Tanga Siri nzito

OSCAR ASSENGA, TANGA
WAKATI nchi ikiwa bado kwenye taharuki ya mashambulio yanayodaiwa kufanana na ya kigaidi yaliyotokea katika Kijiji cha Mleni nje kidogo ya Jiji la Tanga, kumezuka madai mapya yanayowashutumu viongozi wa Jeshi la Polisi kwa kushindwa kutoa uamuzi wa haraka kudhibiti wahalifu hao.
Uzembe huo unadaiwa kufanywa na uongozi wa polisi makao makuu Dar es Salaam pamoja na Tanga na hivyo kutoa fursa kwa wahalifu kufanya mashambulio na baadaye kutoroka.
Chanzo cha kuaminika kutoka...

 

11 years ago

Mwananchi

Siri nzito bidhaa za machinga

Katika eneo la mnada wa kuuza vitu vya machinga vilivyokamatwa lililopo katika Soko la Kibasila Gerezani, kulikuwa na makundi ya watu wa aina mbili

 

10 years ago

Mwananchi

Siri nzito CCM 2015

Vikao vya Kamati Kuu ya CCM na Kamati Maalumu ya NEC Zanzibar vinaonekana kuwa huenda vikaiweka hadharani siri nzito za urais wa Jamhuri ya Muungano.

 

10 years ago

Mwananchi

Usajili wa Okwi: Yanga 4, Simba 3

Kama mtindo wa kupiga kura utatumiwa na Kamati ya Sheria, Maadili na Hadhi za Wachezaji ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kuamua hatima ya mshambuliaji Emmanuel Okwi, basi Yanga ina uhakika wa kupata kura nne na Simba kura tatu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani