Siri ya Kikwete TRA yaanikwa
RAIS wa Awamu ya Nne, Jakaya Kikwete, ndiye chanzo cha mwendelezo wa ufisadi wa kutisha katika Ma
Mwandishi Wetu
Raia Mwema
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/aq07GQXjwH0EhPSKTFjZkPAVWypJCDgDXOMo*W5oNvvZWnUgVMaTOZtTAFJVPUCiZaLeKwltoo621HBnxOQf8LSQgvQbu3L9/OKWI.jpg?width=600)
SIRI NZITO USAJILI WA OKWI YAANIKWA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/c2nk1pk6akSnbqKjB60FKKet*3NAayXJ6IPzgCI82tFjYpM5O8emY0vVpU07EV5kfRfNvyxwMMfVbGOrpmBmjnyG2C8gQVUy/majina.jpg)
MAJINA 403 YA WAUZA UNGA YAANIKWA
11 years ago
Habarileo07 Jul
TRA yampongeza Kikwete kuhusu EFDs
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imemshukuru Rais Jakaya Kikwete kwa kuwasaidia kuhamasisha matumizi ya mashine za risiti za kielektroniki (EFDs) za mamlaka hiyo.
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-DbmI-nR_Yt4/U1aNc_c3LQI/AAAAAAAFcU8/1BAz4Ib9wxg/s72-c/D92A6774.jpg)
Rais Kikwete afungua ofisi ya TRA KARATU
![](http://2.bp.blogspot.com/-DbmI-nR_Yt4/U1aNc_c3LQI/AAAAAAAFcU8/1BAz4Ib9wxg/s1600/D92A6774.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-U7YyUfSOQGI/U1aNnSiKfQI/AAAAAAAFcVE/bMARJjJq0q0/s1600/D92A6757.jpg)
10 years ago
Mtanzania05 Sep
Kikwete adokeza siri Katiba Mpya
![Rais Jakaya Kikwete](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Jakaya-Kikwete1.jpg)
Rais Jakaya Kikwete
NA WAANDISHI WETU, DAR ES SALAAM, DODOMA
HATIMAYE siri nzito kwenye mazungumzo kati ya Rais Jakaya Kikwete na viongozi wa vyama vya siasa walio chini ya Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD), imeanza kujulikana baada ya Rais Jakaya Kikwete jana kutoa taarifa rasmi ya awali kuwa mazungumzo kati yao yanakwenda vizuri na mwafaka wa mchakato wa Bunge la Katiba utapatikana kuanzia Jumatatu ijayo.
Kwa maneno yake, Rais Kikwete wakati akihutubia taifa kupitia kwa wazee wa Dodoma...
11 years ago
GPLRAIS KIKWETE AMTEUA RISHED BADE KUWA KAMISHNA MKUU WA TRA
11 years ago
Mwananchi26 Dec
Rais Kikwete awasili leo na siri nzito
11 years ago
Mwananchi16 Dec
Rais Kikwete afichua siri kuhusu Mandela
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-aYHsJ24DzWY/VReNU0J4bpI/AAAAAAAAq7U/hb0sTQdOMcg/s72-c/Jk-vs-Lowassa-3-620x309.jpg)
Siri Imefichuka:Rais Kikwete “Abariki” Mbio za Urais wa Lowassa
![](http://3.bp.blogspot.com/-aYHsJ24DzWY/VReNU0J4bpI/AAAAAAAAq7U/hb0sTQdOMcg/s1600/Jk-vs-Lowassa-3-620x309.jpg)
SIRI imefichuka. Mbio za Edward Lowassa, kusaka urais kwa udi na uvumba, zimebarikiwa kwa asilimia 100 na Rais Jakaya Kikwete.Lowassa amekutana na Kikwete mara kadhaa na kufunga makubaliano ya siri yanayolenga kumsaidia yeye kuwa mgombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).
“Yote yanayofanywa na Edward (Lowassa), yamebarikiwa na Kikwete. Bila hivyo, Lowassa asingekuwa na ubavu wa kufanya anachokitenda,” ameeleza kiongozi mmoja mwandamizi ndani ya serikali.Kikwete ndiye Mwenyekiti wa Taifa...