Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TRA yampongeza Kikwete kuhusu EFDs

Rais Jakaya Kikwete akipewa maelezo na Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Rished Bade (kulia) kuhusu shughuli zinazofanywa na mamlaka hiyo wakati Rais alipotembelea banda la TRA lililopo kwenye viwanja vya Mwalimu Nyerere, katika Maonesho ya Biashara ya Kimataifa ya 38 yanayoendelea kwenye viwanja hivyo, Dar es Salaam jana. (Picha na Yusuf Badi).MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imemshukuru Rais Jakaya Kikwete kwa kuwasaidia kuhamasisha matumizi ya mashine za risiti za kielektroniki (EFDs) za mamlaka hiyo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

TRA yakanusha kusitishwa kwa mashine za EFDs

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imesema uvumi wa kusitishwa kwa matumizi ya mashine za kielektroniki za kodi (EFD) hayana ukweli wowote. Hayo yalisemwa jana na Kaimu Mkurugenzi wa Elimu TRA, Julius Mjenga wakati akizungumza na waandishi wa habari.

 

10 years ago

TheCitizen

Rent out EFDs to ‘ease’ TRA-traders relations

The simmering controversy on the compulsory use of electronic fiscal devices (EFDs) by traders in Tanzania especially small-scale traders has been going on for far too long.

 

11 years ago

Michuzi

TRA YAWATAKA WAFANYABIASHARA KUFUNGUA MADUKA YAO NA KUACHA KUENDELEA KUGOMEA MASHINE ZA EFDS

DSCF2699Kaimu kamishna Mkuu wa wa Mamlaka ya mapato Tanzania Rished Bade akizungumza na vyombo vya habari jijini Arusha kuhusu mgomo wa wafanyabiashara hapa Nchini DSCF2695Waandishi wa habari wakiwa kazini DSCF2697Mkurugenzi wa huduma na elimu kwa walipa kodi Richard Kayombo DSCF2713Mr.Jangala ambaye ni Ajenti wa usafirishaji wa magari ya mikoani akilalamikia hali ya wafanyabiashara kugoma ambapo anadai kuwa imemuathiri kwa kiasi kikubwa kukosa abiria wanaokuja kununua bidhaa za jumla DSCF2700 DSCF2706Shughuli mbalimbali zilidorora hata...

 

10 years ago

Habarileo

Mahakama yampongeza Kikwete

JAJI Mkuu wa Tanzania, Mohammed Othman Chande amesema kitendo cha Rais Jakaya Kikwete kufanya uteuzi wa mara kwa mara wa majaji nchini, kimeongezea kwa kiasi kikubwa utendaji wa Idara ya Mahakama na hadi sasa kuna Majaji takribani 100, jambo ambalo halijawahi kutokea miaka ya nyuma.

 

11 years ago

Michuzi

UWT YAMPONGEZA RAIS KIKWETE KWA UTEUZI WA WAJUMBE WA BUNGE LA KATIBA

Na Anna Nkinda – Maelezo
Umoja wa Wanawake wa Tanzania (UWT)  umempongeza Mhe. Rais Dk. Jakaya Mrisho Kikwete kwa uteuzi wa wajumbe wa Bunge la Katiba linalotarajia kuanza leo Mjini Dodoma.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo jijini Dar es Salaam kwa vyombo vya habari na kusainiwa na Naibu Katibu Mkuu wa Umoja huo Eva Mwingizi ilisema uteuzi wa Rais umezingatia umri, weledi, uzoefu na uwakilishi wa makundi mbalimbali ya kijamii.
Mwingizi alisema uteuzi huo umeangalia asilimia 50 ya...

 

11 years ago

GPL

TAARIFA YA MAMLAKA YA MAPATO TANZANIA (TRA) KUHUSU MGOMO WA WAFANYABIASHARA

Mamalaka ya Mapato Tanzania inapenda kuufahamisha umma wa Watanzania na wafanyabiashara kwa ujumla Kuwa inasikitishwa na mgomo wa wafanyabishara kwa kufunga maduka maeneo mbali mbali nchini. Ifahamike kuwa Matumizi ya mashine ya EFD ni jambo la kisheria na lilipitishwa na bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mwaka 2011. Pamoja na sheria kupitishwa, viongozi wakuu wa nchi walikwisha litolea tamko kwa nyakati tofauti kwa...

 

10 years ago

Michuzi

TRA yawapa somo wachina kuhusu sheria za ukusanyaji kodi nchini

Mkurugenzi wa JITENG Consultant Company Bw. Andrew Huwang akiongea jumuiya ya wafanyabiashara kutoka China waishio Tanzania kuhusu ushiriki wao katika masuala ya ukusanyaji kodi na kuendelea kuongeza ushirikiano kwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, wakati wa Semina iliyoandaliwa na Jumuiya ya wachina waishio Tanzania na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) iliyolenga kuwaeleimisha kuhusu ukusanyaji na sheria mbalimbali za Kodi Nchini leo Jijini Dar es Salaam, kushoto ni...

 

9 years ago

Raia Mwema

Siri ya Kikwete TRA yaanikwa

RAIS wa Awamu ya Nne, Jakaya Kikwete, ndiye chanzo cha mwendelezo wa ufisadi wa kutisha katika Ma

Mwandishi Wetu

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani