TAARIFA YA MAMLAKA YA MAPATO TANZANIA (TRA) KUHUSU MGOMO WA WAFANYABIASHARA
![](http://api.ning.com:80/files/P2Q6K2rcr9HWrwnsRNf7SlSQgpxYIYbKU-26uAKVsPdS6Axspy4F8uKQuNLhzWL2o4*Q5JVK1a8ZaOIiOdHoeZZ5m8O01Jo2/tra.jpg)
Mamalaka ya Mapato Tanzania inapenda kuufahamisha umma wa Watanzania na wafanyabiashara kwa ujumla Kuwa inasikitishwa na mgomo wa wafanyabishara kwa kufunga maduka maeneo mbali mbali nchini. Ifahamike kuwa Matumizi ya mashine ya EFD ni jambo la kisheria na lilipitishwa na bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mwaka 2011. Pamoja na sheria kupitishwa, viongozi wakuu wa nchi walikwisha litolea tamko kwa nyakati tofauti kwa...
GPL
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-1VxgB72NO4E/XpwDwCNWToI/AAAAAAALnYc/k4UOjVcoXZwvr7mLQkFqzbUBF1HgMp5yQCLcBGAsYHQ/s72-c/a093f786-8957-4946-95d9-9e07d317e7c5.jpg)
11 years ago
Michuzi12 Feb
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-QhGXNrqWiBA/VnP_nxRthXI/AAAAAAADclE/VI-WBsLyEec/s72-c/721.jpg)
Naibu Waziri wa Fedha na Mipango Dr. Ashatu Kijaji atembelea Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)
![](http://4.bp.blogspot.com/-QhGXNrqWiBA/VnP_nxRthXI/AAAAAAADclE/VI-WBsLyEec/s640/721.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-t7z6Paqip3Q/VnP_nx6fEKI/AAAAAAADclI/dV_mW9jiwPg/s640/731.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ZydSXQraSrE/VnP__-6cs-I/AAAAAAADclU/JWNSBDoIl4E/s1600/index.jpeg)
11 years ago
MichuziRais Kikwete amteua Bwana Rished BADE kuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)
Kulingana na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue, uteulzi huu umaanza tarehe 06 Mei, 2014. Bwana BADE anachukua nafasi iliyoachwa wazi na Bwana Harry KITILYA ambaye alistaafu tarehe 14 Desemba,2013.
Kabla ya uteuzi huo, Bwana BADE alikuwa Naibu Kamishna wa Mamlaka ya Mapato Tanzania tangu Septemba,2012 na baadaye kukaimu...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/90isWmmoBF0/default.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima11 Feb
Mgomo wa wafanyabiashara watikisa
WAFANYABIASHARA wa maduka kwenye mikoa mbalimbali nchini wamegoma kufungua maduka yao kwa madai kuwa serikali imeshindwa kusikiliza kilio chao cha kutaka mashine za kielektroniki (EFD) zishushwe bei. Mashine hizo zinatolewa...
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://4.bp.blogspot.com/-_S5sGTcbJPU/VAbkK_zC-kI/AAAAAAAABmk/ooEHYkaCJy0/s72-c/prima.jpg)
Wafanyabiashara wasitisha mgomo
NA WAANDISHI WETU
BIASHARA katika Jiji la Dar es Salaam, zimeanza kurejea kwenye hali yake ya kawaida baada ya juzi baadhi ya wafanyabiashara wa maduka kugoma na kuyafunga, wakipinga matumizi ya mashine za risiti za kielektroniki (EFD).
![](http://4.bp.blogspot.com/-_S5sGTcbJPU/VAbkK_zC-kI/AAAAAAAABmk/ooEHYkaCJy0/s1600/prima.jpg)
Hata hivyo, wafanyabiashara hao walisitisha mgomo huo baada ya kufikiwa kwa maazimio...
11 years ago
Tanzania Daima10 Apr
Wafanyabiashara Songea waendelea na mgomo
WAFANYABIASHARA ya maduka katika Halmashauri ya Manispaa ya Songea, mkoani Ruvuma, wameingia katika siku ya tatu ya mgomo usiokuwa na kikomo, hali ambayo imesababisha adha kubwa kwa wakazi wa manispaa...