Mahakama yampongeza Kikwete
JAJI Mkuu wa Tanzania, Mohammed Othman Chande amesema kitendo cha Rais Jakaya Kikwete kufanya uteuzi wa mara kwa mara wa majaji nchini, kimeongezea kwa kiasi kikubwa utendaji wa Idara ya Mahakama na hadi sasa kuna Majaji takribani 100, jambo ambalo halijawahi kutokea miaka ya nyuma.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo07 Jul
TRA yampongeza Kikwete kuhusu EFDs
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imemshukuru Rais Jakaya Kikwete kwa kuwasaidia kuhamasisha matumizi ya mashine za risiti za kielektroniki (EFDs) za mamlaka hiyo.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-kd73LQSybdo/UwNVKi9BisI/AAAAAAAFNyQ/emfkmYBa4os/s72-c/534807487.jpg)
UWT YAMPONGEZA RAIS KIKWETE KWA UTEUZI WA WAJUMBE WA BUNGE LA KATIBA
![](http://3.bp.blogspot.com/-kd73LQSybdo/UwNVKi9BisI/AAAAAAAFNyQ/emfkmYBa4os/s1600/534807487.jpg)
Umoja wa Wanawake wa Tanzania (UWT) umempongeza Mhe. Rais Dk. Jakaya Mrisho Kikwete kwa uteuzi wa wajumbe wa Bunge la Katiba linalotarajia kuanza leo Mjini Dodoma.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo jijini Dar es Salaam kwa vyombo vya habari na kusainiwa na Naibu Katibu Mkuu wa Umoja huo Eva Mwingizi ilisema uteuzi wa Rais umezingatia umri, weledi, uzoefu na uwakilishi wa makundi mbalimbali ya kijamii.
Mwingizi alisema uteuzi huo umeangalia asilimia 50 ya...
10 years ago
Dewji Blog11 Dec
Rais Kikwete ateua wasajili wapya Bi. Katarina Revocati Mahakama ya Rufani na Rugalema Kahyoza Mahakama kuu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Bi. Katarina Tengia Revocati kuwa Msajili wa Mahakama ya Rufani kuanzia tarehe 5 Desemba, 2014. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo Desemba 11, 2014 na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Y. Sefue, imesema kabla ya uteuzi huo, Bi. Revocati alikuwa Msajili wa Mahakama Kuu, Divisheni ya Biashara.
Vilevile katika Taarifa hiyo, Rais Kikwete pia amemteua Bwana Rugalema J. Kahyoza kuwa Msajili wa Mahakama...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-EkxufIMWNX4/VijBs3iGt0I/AAAAAAAIBqo/-ihlVx9E3vE/s72-c/Jaji%2B01.jpg)
RAIS KIKWETE AWAAPISHA MSAJILI WA MAHAKAMA YA RUFAA NA MSAJILI WA MAHAKAMA KUU YA TANZANIA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-EkxufIMWNX4/VijBs3iGt0I/AAAAAAAIBqo/-ihlVx9E3vE/s640/Jaji%2B01.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-hp5y7Ax4H2M/VijBsx0Uw9I/AAAAAAAIBqs/quvXx-_wz_k/s640/Jaji%2B02.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8UuQ1zi50rQ/VijBuAVR5LI/AAAAAAAIBq8/wGIIg9LOEC0/s640/Jaji%2B05.jpg)
10 years ago
Habarileo07 Aug
Mahakama yatoa tuzo kwa Kikwete
IDARA ya Mahakama imetoa tuzo kwa Rais Jakaya Kikwete kwa kutambua mchango wake wa kukuza Demokrasia nchini, kuheshimu na kulinda Katiba na kuimarisha utawala bora na kuliongezea kasi gurudumu la utendaji haki.
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-82WxwneCgwg/ViVNLEM5EGI/AAAAAAAIA-g/ivm6JYEqvjk/s72-c/New%2BPicture.png)
RAIS KIKWETE AFANYA UTEUZI KATIKA MAHAKAMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-82WxwneCgwg/ViVNLEM5EGI/AAAAAAAIA-g/ivm6JYEqvjk/s1600/New%2BPicture.png)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt Jakaya Mrisho Kikwete amefanya uteuzi katika Mahakama kama ifuatavyo;Rais amemteua Bi. Katarina Revocati kuwa Msajili Mkuu wa Mahakama ya Tanzania (Chief Registrar). Kabla ya uteuzi huu, Bi. Revocati alikuwa Msajili wa Mahakama ya Rufani.
Rais pia amemteua Ndugu John Rugalema Kahyoza kuwa Msajili wa Mahakama ya Rufani na kabla ya...
9 years ago
MichuziRAIS KIKWETE AAGANA NA WAFANYAKAZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-mdwNdA7BDs0/VK5-HWuiFmI/AAAAAAAG7_g/N4IM6TjIpi8/s72-c/unnamed%2B(22).jpg)
Rais Kikwete amwapisha Msajili wa Mahakama ya Rufaa
![](http://2.bp.blogspot.com/-mdwNdA7BDs0/VK5-HWuiFmI/AAAAAAAG7_g/N4IM6TjIpi8/s1600/unnamed%2B(22).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-fM-bXwiwN0c/VK5-HKXM0aI/AAAAAAAG7_c/hrSKVSdoq7Y/s1600/unnamed%2B(23).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-iHFCgvXPAIM/VcMaLRSmuPI/AAAAAAAHueY/qrhYG-gKWzk/s72-c/ArSkdPCR_VD2enKGankGAlit1BGV1qoUUZlQfioxmQTU.jpg)
Rais Kikwete aaga rasmi Mahakama leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-iHFCgvXPAIM/VcMaLRSmuPI/AAAAAAAHueY/qrhYG-gKWzk/s640/ArSkdPCR_VD2enKGankGAlit1BGV1qoUUZlQfioxmQTU.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-AL9ohm2rtX8/VcMaLreclxI/AAAAAAAHueI/qn2gcGJw03A/s640/AtiukIqacVV0uf-SoLiKan86jonXedjvSPlzVDp4VudJ.jpg)