RAIS KIKWETE AAGANA NA WAFANYAKAZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na Rais Wa Mahakama ya Afrika ya Haki za binadamu Jaji Agustino Ramadhani wakizindua kitabu cha taarifa za msingi kuhusu mahakama hiyo kwenye Ukumbi wa Kibo kwenye majengo ya Mahakama hiyo mjini Arusha leo.Rais Kikwete alitumia fursa hiyo kuagana na viongozi na wafanyakazi wa mahakama hiyo.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwahutubia wafanyakazi na viongozi wa Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu mjini Arusha leo.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-6biNI8Aghps/VBLmdv3zg9I/AAAAAAAGjPA/htkKIPRxQJA/s72-c/D92A0120.jpg)
Rais Kikwete aagana na Balozi wa Ufaransa,amuaga pia Jaji wa Mahakama ya Afrika
![](http://1.bp.blogspot.com/-6biNI8Aghps/VBLmdv3zg9I/AAAAAAAGjPA/htkKIPRxQJA/s1600/D92A0120.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-dWSwZTAUa2o/VBLmgOw_3gI/AAAAAAAGjPM/mW1boaS0aX0/s1600/D92A0133.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2mSmjxCzc5E/VBLmfnIRKHI/AAAAAAAGjPI/y8-DL3PXjVg/s1600/D92A0175.jpg)
9 years ago
VijimamboJK AAGANA NA WAFANYAKAZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA, ATUNUKIWA TUZO NYINGINE YA UONGOZI WENYEMAFANIKIO, IJULIKANAYO KAMA "AFRICA ACHIEVING'S AWARD"
9 years ago
MichuziRAIS KIKWETE AAGANA NA WATUMISHI WA UMMA
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-G82B274R8mc/VPVw8p2dC5I/AAAAAAAHHTM/FUMbPPO6QjI/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
RAIS KIKWETE AAGANA NA BALOZI WA JAPAN
![](http://1.bp.blogspot.com/-G82B274R8mc/VPVw8p2dC5I/AAAAAAAHHTM/FUMbPPO6QjI/s1600/unnamed%2B(1).jpg)
9 years ago
Dewji Blog12 Sep
Kikwete amezitaka nchi za Afrika kuipa nguvu Mahakama ya Afrika ili iweze kusikiliza kesi za jinai
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwahutubia wafanyakazi na viongozi wa Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu mjini Arusha.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na Rais wa Mahakama ya Afrika ya Haki za binadamu Jaji Agustino Ramadhani wakizindua kitabu cha taarifa za msingi kuhusu mahakama hiyo kwenye Ukumbi wa Kibo kwenye majengo ya Mahakama hiyo mjini Arusha.Rais Kikwete alitumia fursa hiyo kuagana na viongozi na wafanyakazi wa mahakama hiyo.
Na Mahmoud Ahmad, Arusha
Rais Jakaya Kikwete...
9 years ago
MichuziRAIS KIKWETE AAGANA NA WATUMISHI WA WIZARA YA MAMBO YA NJE
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Y01L3OHtlxA/VbMv4Kx0SsI/AAAAAAAHrk8/u9s2GfgkZsQ/s72-c/unnamed.jpg)
Rais Kikwete aagana na Mwakilishi Mkazi wa Benki ya Dunia
![](http://3.bp.blogspot.com/-Y01L3OHtlxA/VbMv4Kx0SsI/AAAAAAAHrk8/u9s2GfgkZsQ/s640/unnamed.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-_YUr4ktnuQM/VbMv4bCJ7VI/AAAAAAAHrlA/f7N3q-gGmd8/s1600/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
10 years ago
Dewji Blog11 Dec
Rais Kikwete ateua wasajili wapya Bi. Katarina Revocati Mahakama ya Rufani na Rugalema Kahyoza Mahakama kuu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Bi. Katarina Tengia Revocati kuwa Msajili wa Mahakama ya Rufani kuanzia tarehe 5 Desemba, 2014. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo Desemba 11, 2014 na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Y. Sefue, imesema kabla ya uteuzi huo, Bi. Revocati alikuwa Msajili wa Mahakama Kuu, Divisheni ya Biashara.
Vilevile katika Taarifa hiyo, Rais Kikwete pia amemteua Bwana Rugalema J. Kahyoza kuwa Msajili wa Mahakama...