Rais Kikwete aaga rasmi Mahakama leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-iHFCgvXPAIM/VcMaLRSmuPI/AAAAAAAHueY/qrhYG-gKWzk/s72-c/ArSkdPCR_VD2enKGankGAlit1BGV1qoUUZlQfioxmQTU.jpg)
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete (alieketi katikati mstari wa juu) akifatilia hotuba ya Jaji Mkuu wa Tanzania, Mh. Jaji Mohamed Othman Chande (aliesimama) wakati alipokwenda kuaga Mahakama. Hafla hiyo inafanyika hivi sasa ndani ya Ukumbi wa Mahakama Kuu Jijini Dar es salaam. Wengine pichani ni baadhi ya majaji pamoja Waziri wa Katiba na Sheria, Mh. Dkt. Asha-Rose Migiro.
Sehemu ya Majaji wa Mahakama Kuu wakifatilia hotuba ya Jaji Mkuu wa Tanzania, Mh. Jaji Mohamed Othman Chande, wakati Rais...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-oIc1FkhhKqM/VcNDkx4qvDI/AAAAAAAHuho/q9QQ46Vs_E0/s640/m1.jpg)
RAIS KIKWETE AAGA RASMI IDARA YA MAHAKAMA, YAMPA TUZO
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-oIc1FkhhKqM/VcNDkx4qvDI/AAAAAAAHuho/q9QQ46Vs_E0/s72-c/m1.jpg)
RAIS KIKWETE AAGA RASMI IDARA YA MAHAKAMA, YAMPA TUZO KWA MAKUBWA ALIYOFANYA KATIKA MIAKA 10
![](http://3.bp.blogspot.com/-oIc1FkhhKqM/VcNDkx4qvDI/AAAAAAAHuho/q9QQ46Vs_E0/s640/m1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-whQZtXyJguA/VcNIz0KoQnI/AAAAAAAHujY/t_ly0NsKyjw/s640/m2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/TOtRZUFB3JA/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/_Ri1iAhT19c/default.jpg)
RAIS KIKWETE AAGA RASMI UMOJA WA AFRIKA, ATUMIA KISWAHILI KATIKA HOTUBA YAKE YA MWISHO
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amesema kuwa siasa ya nchi za nje na misingi mikuu ya kuongoza mahusiano ya Tanzania na nchi za kigeni hayatabadilika hata baada ya yeye kuondoka madarakani mwanzoni mwa Novemba, mwaka huu, 2015.
Aidha, Rais Kikwete amewahakikishia viongozi wa nchi wanachama wa Umoja wa Afrika (AU) kuwa yeye anaondoka madarakani lakini Tanzania waliyoizoea na kuijua itabakia pale pale na...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Ca958q181vk/VYCGYtHB8oI/AAAAAAAHgJI/V1Nf1p_PmbQ/s72-c/Untitled1.png)
RAIS KIKWETE AWAAPISHA RASMI MAJAJI WATEULE WAWILI WA MAHAKAMA YA RUFANI TANZANIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-Ca958q181vk/VYCGYtHB8oI/AAAAAAAHgJI/V1Nf1p_PmbQ/s640/Untitled1.png)
![](http://4.bp.blogspot.com/-kigIZMdolpQ/VYCGYp76AgI/AAAAAAAHgJM/hmXEpD-RSoU/s640/Untitled2.png)
![](http://1.bp.blogspot.com/-2oSX-yM_w2U/VYCGZEdUdsI/AAAAAAAHgJQ/3PB170Cz6YQ/s640/Untitled3.png)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-miM9JbgdOUY/VEbYYuEMmTI/AAAAAAADKSQ/EYQ4M7ljgqE/s72-c/c1.jpg)
Rais Kikwete aanza ziara rasmi ya China leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-miM9JbgdOUY/VEbYYuEMmTI/AAAAAAADKSQ/EYQ4M7ljgqE/s1600/c1.jpg)
Watu wa China kwa mwaliko wa Rais Xi Jinping.
![](http://4.bp.blogspot.com/-TdaSiorOD5Y/VEbYYlqGs1I/AAAAAAADKSM/344VVu0lar8/s1600/c2.jpg)
10 years ago
Dewji Blog02 Sep
Rais Kikwete afungua rasmi nyumba za makazi za Medeli leo
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akitembelea mradi wa nyumba za makazi za Medeli zilizopo Mjini Dodoma wenye nyumba 150, kushoto kwake ni Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu, Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Dk Rehema Nchimbi (wa kwanza kushoto) Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa NHC, Zakhia Meghji na Naibu Waziri wa Ardhi , Nyumba na Maendeleo ya Makazi, George Simbachawene. Waziri wa Maji, Profesa Jumanne Maghembe na Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma,...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-2Kr38cTIu6E/U-4C6dgLZ2I/AAAAAAAF_1E/RmEWLnqmino/s72-c/j21.jpg)
RAIS KIKWETE AWAAPISHA MAJAJI WA MAHAKAMA KUU YA TANZANIA WAPYA 20 IKULU JIJINI DAR ES SALAAM LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-2Kr38cTIu6E/U-4C6dgLZ2I/AAAAAAAF_1E/RmEWLnqmino/s1600/j21.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-HpmOYLptCOM/U-4C6o0_NMI/AAAAAAAF_1I/-cxbbN0rloA/s1600/j22.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/kEfXE4PeXkM/default.jpg)
RAIS KIKWETE AAGA UMOJA WA MATAIFA (UN)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete jana jumanne amelihutubia kwa mara ya mwisho Baraza Kuu la 70 la Umoja wa Mtaifa akiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Hotuba ya Mhe. Rais na ambayo iligusia mambo mengi ya kisiasa, kiuchumi, na maendeleo akitumia pia fursa hiyo kuwaanga viongozi wenzie na kuwashukuru kwa ushirikiano waliompatia katika kipindi cha miaka kumi ya uongozi wake, iliwasisimua wajumbe wa mkutano huo kiasi cha kukatishwa mara...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10