RAIS KIKWETE AAGA RASMI UMOJA WA AFRIKA, ATUMIA KISWAHILI KATIKA HOTUBA YAKE YA MWISHO
![](http://img.youtube.com/vi/_Ri1iAhT19c/default.jpg)
Rais Kikwete: Sera ya Nje itabakia ile ile
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amesema kuwa siasa ya nchi za nje na misingi mikuu ya kuongoza mahusiano ya Tanzania na nchi za kigeni hayatabadilika hata baada ya yeye kuondoka madarakani mwanzoni mwa Novemba, mwaka huu, 2015.
Aidha, Rais Kikwete amewahakikishia viongozi wa nchi wanachama wa Umoja wa Afrika (AU) kuwa yeye anaondoka madarakani lakini Tanzania waliyoizoea na kuijua itabakia pale pale na...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/TOtRZUFB3JA/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-oIc1FkhhKqM/VcNDkx4qvDI/AAAAAAAHuho/q9QQ46Vs_E0/s72-c/m1.jpg)
RAIS KIKWETE AAGA RASMI IDARA YA MAHAKAMA, YAMPA TUZO KWA MAKUBWA ALIYOFANYA KATIKA MIAKA 10
![](http://3.bp.blogspot.com/-oIc1FkhhKqM/VcNDkx4qvDI/AAAAAAAHuho/q9QQ46Vs_E0/s640/m1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-whQZtXyJguA/VcNIz0KoQnI/AAAAAAAHujY/t_ly0NsKyjw/s640/m2.jpg)
9 years ago
Michuzi30 Sep
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/kEfXE4PeXkM/default.jpg)
RAIS KIKWETE AAGA UMOJA WA MATAIFA (UN)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete jana jumanne amelihutubia kwa mara ya mwisho Baraza Kuu la 70 la Umoja wa Mtaifa akiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Hotuba ya Mhe. Rais na ambayo iligusia mambo mengi ya kisiasa, kiuchumi, na maendeleo akitumia pia fursa hiyo kuwaanga viongozi wenzie na kuwashukuru kwa ushirikiano waliompatia katika kipindi cha miaka kumi ya uongozi wake, iliwasisimua wajumbe wa mkutano huo kiasi cha kukatishwa mara...
10 years ago
Dewji Blog15 Jun
Rais Kikwete katika mkutano wa 25 wa kawaida wa Umoja wa Afrika Jijini Johannesburg leo
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na viongozi wengine wa Umoja wa Afrika wakiimba wimbo wa umoja huo katika ukumbi wa Sandton Convention Centre Jijini Johannesburg, Afrika Kusini, wakati wa ufunguzi wa mkutano wao wa 25 wa kawaida leo June 14, 2015.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Ikulu na Utawala Bora Zanzibar Dkt.Mwinyihaji Makame Mwadini na Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto Mhe. Sophia Simba katika ukumbi wa Sandton Convention Centre Jijini Johannesburg,...
10 years ago
Vijimambo15 Jun
RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE KATIKA MKUTANO WA 25 WA KAWAIDA WA UMOJA WA AFRIKA JIJINI JOHANNESBURG
![2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/06/2121.jpg)
![3](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/06/399.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-iHFCgvXPAIM/VcMaLRSmuPI/AAAAAAAHueY/qrhYG-gKWzk/s72-c/ArSkdPCR_VD2enKGankGAlit1BGV1qoUUZlQfioxmQTU.jpg)
Rais Kikwete aaga rasmi Mahakama leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-iHFCgvXPAIM/VcMaLRSmuPI/AAAAAAAHueY/qrhYG-gKWzk/s640/ArSkdPCR_VD2enKGankGAlit1BGV1qoUUZlQfioxmQTU.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-AL9ohm2rtX8/VcMaLreclxI/AAAAAAAHueI/qn2gcGJw03A/s640/AtiukIqacVV0uf-SoLiKan86jonXedjvSPlzVDp4VudJ.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/dkW6FslMJ2A/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo02 Mar
HOTUBA YA RAIS KIKWETE YA MWISHO WA MWEZI FEBRUARY, 2015