HOTUBA YA RAIS KIKWETE YA MWISHO WA MWEZI FEBRUARY, 2015
Hotuba Ya RAIS Mwisho Wa Mwezi Februari, 2015
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLHOTUBA YA RAIS JAKAYA KIKWETE YA MWISHO WA MWEZI WA FEBRUARI, 2015
Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete . HOTUBA YA MWISHO WA MWEZI FEBRUARI, 2015, YA MHESHIMIWA DKT. JAKAYA MRISHO KIKWETE, RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, ILIYOTOLEWA TAREHE 1 MACHI, 2015  Utangulizi Ndugu Wananchi; Kama ilivyo ada tunamshukuru Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema kwa kutuwezesha kuzungumza kupitia utaratibu wetu huu mzuri wa hotuba za kila mwisho wa mwezi. Kwa mwisho… ...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/DpM5MtnykfA/default.jpg)
10 years ago
Dewji Blog02 Mar
Tazama hotuba ya Rais Jakaya Kikwete ya mwisho wa mwezi Februari, 2015
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia wananchi wa Tanzania kwenye hotuba zake za kila mwezi. Fuatilia hotuba nzima hapa chini.
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/dkW6FslMJ2A/default.jpg)
11 years ago
Dewji Blog03 Aug
11 years ago
Mwananchi03 Aug
Hotuba ya mwezi ya Rais Kikwete yakosolewa
>Siku moja baada ya Rais Jakaya Kikwete kutoa hotuba yake mwisho wa mwezi, watu mbalimbali wamesema Rais hawezi kukwepa lawama za kuvuruga mchakato wa katiba.
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/_Ri1iAhT19c/default.jpg)
RAIS KIKWETE AAGA RASMI UMOJA WA AFRIKA, ATUMIA KISWAHILI KATIKA HOTUBA YAKE YA MWISHO
Rais Kikwete: Sera ya Nje itabakia ile ile
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amesema kuwa siasa ya nchi za nje na misingi mikuu ya kuongoza mahusiano ya Tanzania na nchi za kigeni hayatabadilika hata baada ya yeye kuondoka madarakani mwanzoni mwa Novemba, mwaka huu, 2015.
Aidha, Rais Kikwete amewahakikishia viongozi wa nchi wanachama wa Umoja wa Afrika (AU) kuwa yeye anaondoka madarakani lakini Tanzania waliyoizoea na kuijua itabakia pale pale na...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amesema kuwa siasa ya nchi za nje na misingi mikuu ya kuongoza mahusiano ya Tanzania na nchi za kigeni hayatabadilika hata baada ya yeye kuondoka madarakani mwanzoni mwa Novemba, mwaka huu, 2015.
Aidha, Rais Kikwete amewahakikishia viongozi wa nchi wanachama wa Umoja wa Afrika (AU) kuwa yeye anaondoka madarakani lakini Tanzania waliyoizoea na kuijua itabakia pale pale na...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-cd1rbfjLSp4/VUUAv9UQh7I/AAAAAAAA8J8/QHIc0TNm4B8/s72-c/s2.jpg)
HOTUBA YA RAIS WA JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MH JAKAYA KIKWETE MEI MOSI 2015 - MWANZA
![](http://3.bp.blogspot.com/-cd1rbfjLSp4/VUUAv9UQh7I/AAAAAAAA8J8/QHIc0TNm4B8/s1600/s2.jpg)
Rais Jakaya Kikwete akiwa meza kuu na viongozi wengine wa serikali na TUCTA wakiimba wimbo wa Taifa wakati wa kilele cha sherehe za MEI MOSI uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza Ijumaa.
![](http://3.bp.blogspot.com/-P-8JfzYkzRk/VUUA2N9EVtI/AAAAAAAA8KQ/d5m_coRM1vE/s1600/s5.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-bJYwH6p5cSA/VUUA5ydymuI/AAAAAAAA8Ko/_douW5GG6jo/s1600/s6.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-63aOi8HMfu4/VUUA57g7-1I/AAAAAAAA8Kk/HiiV2ydgQDg/s1600/s7.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-nM0tz1AtLwc/VUUAvlZ2SXI/AAAAAAAA8J4/jVChLihmofA/s1600/s39.jpg)
Rais Jakaya Kikwete akimkabidhi mfano wa hundi mfanyakazi bora wa TANESCO Bw. Clement Mwakalosi wakati wa...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-qZ_taV7lQAc/VURfrlc_KXI/AAAAAAAAtDQ/HowY65av2gE/s72-c/shemeji.jpg)
Kikwete: "Nisingekuwa Rais Ningekuwa Msanii Mkali wa Bongo Fleva.".........HOTUBA Nzima ya Rais Kikwete Aliyoitoa Jana Mei Mosi Iko HAPA
![](http://2.bp.blogspot.com/-qZ_taV7lQAc/VURfrlc_KXI/AAAAAAAAtDQ/HowY65av2gE/s640/shemeji.jpg)
RAIS Dkt. Jakaya Kikwete, ametamba kuwa angakuwa msanii wa muziki wa kizazi kipya basi angelikuwa wa “BongoFleva” kutokana na kuwa na sauti nzuri yenye kumudu kuimba nyimbo kwa ufasaha zaidi.
Kauli hiyo aliitoa jana jijini Mwanza kwenye uwanja wa michezo wa CCM Kirumba wakati wa maadhimisho ya kilele cha sherehe za Mei mosi zilizofanyika Kitaifa jijini Mwanza kwa mwaka huu wa mwisho wa utawala wake.
Dkt. Kikwete aliimba wimbo wa Bendi ya OSS (Ochestra Safari Sound) wenye mashairi yasemayo...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania