RAIS KIKWETE AAGA RASMI IDARA YA MAHAKAMA, YAMPA TUZO KWA MAKUBWA ALIYOFANYA KATIKA MIAKA 10
![](http://3.bp.blogspot.com/-oIc1FkhhKqM/VcNDkx4qvDI/AAAAAAAHuho/q9QQ46Vs_E0/s72-c/m1.jpg)
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipokea tuzo maalumu kutokana na mambo makubwa liyoifanyia idara hiyo kutoka kwa Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe Mohamed Chande Othman katika ukumbi wa Mahakama Kuu jijini Dar es salaam leo Agosti 6, 2015 katika sherehe fupi iliyoandaliwa na Mahakama na wadau wa Sheria kumuaga rasmi Mhe Kikwete kama Rais wa nchi. PICHA ZOTE NA IKULU
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipokea tuzo maalumu kutoka kwa Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe Mohamed Chande Othman katika ukumbi wa Mahakama Kuu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-oIc1FkhhKqM/VcNDkx4qvDI/AAAAAAAHuho/q9QQ46Vs_E0/s640/m1.jpg)
RAIS KIKWETE AAGA RASMI IDARA YA MAHAKAMA, YAMPA TUZO
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-iHFCgvXPAIM/VcMaLRSmuPI/AAAAAAAHueY/qrhYG-gKWzk/s72-c/ArSkdPCR_VD2enKGankGAlit1BGV1qoUUZlQfioxmQTU.jpg)
Rais Kikwete aaga rasmi Mahakama leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-iHFCgvXPAIM/VcMaLRSmuPI/AAAAAAAHueY/qrhYG-gKWzk/s640/ArSkdPCR_VD2enKGankGAlit1BGV1qoUUZlQfioxmQTU.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-AL9ohm2rtX8/VcMaLreclxI/AAAAAAAHueI/qn2gcGJw03A/s640/AtiukIqacVV0uf-SoLiKan86jonXedjvSPlzVDp4VudJ.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/_Ri1iAhT19c/default.jpg)
RAIS KIKWETE AAGA RASMI UMOJA WA AFRIKA, ATUMIA KISWAHILI KATIKA HOTUBA YAKE YA MWISHO
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amesema kuwa siasa ya nchi za nje na misingi mikuu ya kuongoza mahusiano ya Tanzania na nchi za kigeni hayatabadilika hata baada ya yeye kuondoka madarakani mwanzoni mwa Novemba, mwaka huu, 2015.
Aidha, Rais Kikwete amewahakikishia viongozi wa nchi wanachama wa Umoja wa Afrika (AU) kuwa yeye anaondoka madarakani lakini Tanzania waliyoizoea na kuijua itabakia pale pale na...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/TOtRZUFB3JA/default.jpg)
5 years ago
MichuziMKURUGENZI KAGURUMJULI AWEKA HISTORIA KINONDONI KUKAMILISHA MIRADI YA TAKRIBAN BILIONI 242.8 KWA KIPINDI CHA MIAKA MITANO, ALAT YAMPA TUZO.
Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni imeweka historia katika suala la utekelezaji wa miradi ya maendeleo na ile ya kimkakati kwa kipindi cha miaka mitano iliyogharimu takribani shilingi bilioni 242.8 fedha zilizotokana na vyanzo vya mapato ya ndani, Serikali kuu na wadau wengine wa maendeleo.
Taarifa hii imetolewa wakati wa uwasilishaji wa taarifa za utekelezaji wa shughuli za Serikali kwa kipindi cha miaka mitano katika kikao cha mwisho cha Baraza la Madiwani kilichofanyika leo katika...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-GN-49MkWW-o/VQtVMkGKn7I/AAAAAAAAIFg/sEN5ZpO1jD0/s72-c/IMG_2090.jpg)
Rais Kikwete kuwa mgeni rasmi TUZO YA JAMII
![](http://2.bp.blogspot.com/-GN-49MkWW-o/VQtVMkGKn7I/AAAAAAAAIFg/sEN5ZpO1jD0/s640/IMG_2090.jpg)
Kwa mujibu wa Afisa Habari wa tuzo hizo Gadiel Urioh, tuzo hizo zitatolewa kwenye ukumbi wa Julius Nyerere Convention Center jijini Dar Es Salaam.
Utaratibu mzima wa upigaji kura umefafanuliwa kwenye video na / ama taarifa kwa vyombo vya habari hapa chini
![](http://3.bp.blogspot.com/-BXEQa34Cdw0/VQtVMQwtdmI/AAAAAAAAIFY/iWUQiy6FYqE/s640/TAARIFA%2BKWA%2BVYOMBO%2BVYA%2BHABARI%2B(1)-page0001.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ktM1bdUAnv4/VQtVMrW-CNI/AAAAAAAAIFc/t3j4zanEPdY/s640/TAARIFA%2BKWA%2BVYOMBO%2BVYA%2BHABARI%2B(1)-page0002.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-FzoBrhudSMg/VQtVNAXY_sI/AAAAAAAAIFk/mJAC-ZoHn14/s640/TAARIFA%2BKWA%2BVYOMBO%2BVYA%2BHABARI%2B(1)-page0003.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-AG1aAGRcMHo/VQtVNX3mZ9I/AAAAAAAAIFo/jCn62-MUeZE/s640/TAARIFA%2BKWA%2BVYOMBO%2BVYA%2BHABARI%2B(1)-page0004.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-zwTVYv2PME0/VQtVNbW2g-I/AAAAAAAAIFw/02uywSGMzvE/s640/TAARIFA%2BKWA%2BVYOMBO%2BVYA%2BHABARI%2B(1)-page0005.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ex3dfsFRPLI/VQtVNrEQqRI/AAAAAAAAIF0/RqAJ3Txhm5s/s640/TAARIFA%2BKWA%2BVYOMBO%2BVYA%2BHABARI%2B(1)-page0006.jpg)
10 years ago
Habarileo07 Aug
Mahakama yatoa tuzo kwa Kikwete
IDARA ya Mahakama imetoa tuzo kwa Rais Jakaya Kikwete kwa kutambua mchango wake wa kukuza Demokrasia nchini, kuheshimu na kulinda Katiba na kuimarisha utawala bora na kuliongezea kasi gurudumu la utendaji haki.
10 years ago
Dewji Blog18 Jun
Rais Kikwete aondoka nchini kwa ziara rasmi ya Kiserikali ya siku nne katika Jamhuri ya India
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete yuko njiani kwenda India ambako atafanya ziara rasmi ya Kiserikali ya siku nne katika Jamhuri ya India kwa mwaliko wa Rais wa India, Mheshimiwa Pranab Mukherjee. Ziara hiyo, inaanza rasmi jioni ya Jumatano, Juni 17, 2015.
Wakati wa ziara yake, Rais Kikwete ambaye anafuatana na Mama Salma Kikwete, mbali na kukutana na Rais Mukherjee kwa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Ca958q181vk/VYCGYtHB8oI/AAAAAAAHgJI/V1Nf1p_PmbQ/s72-c/Untitled1.png)
RAIS KIKWETE AWAAPISHA RASMI MAJAJI WATEULE WAWILI WA MAHAKAMA YA RUFANI TANZANIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-Ca958q181vk/VYCGYtHB8oI/AAAAAAAHgJI/V1Nf1p_PmbQ/s640/Untitled1.png)
![](http://4.bp.blogspot.com/-kigIZMdolpQ/VYCGYp76AgI/AAAAAAAHgJM/hmXEpD-RSoU/s640/Untitled2.png)
![](http://1.bp.blogspot.com/-2oSX-yM_w2U/VYCGZEdUdsI/AAAAAAAHgJQ/3PB170Cz6YQ/s640/Untitled3.png)