TRA yawapa somo wachina kuhusu sheria za ukusanyaji kodi nchini
![](http://3.bp.blogspot.com/-uZ1tqRQRY_c/VTEfaCqwtuI/AAAAAAAHRrE/y2thjXRrYvk/s72-c/1.jpg)
Mkurugenzi wa JITENG Consultant Company Bw. Andrew Huwang akiongea jumuiya ya wafanyabiashara kutoka China waishio Tanzania kuhusu ushiriki wao katika masuala ya ukusanyaji kodi na kuendelea kuongeza ushirikiano kwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, wakati wa Semina iliyoandaliwa na Jumuiya ya wachina waishio Tanzania na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) iliyolenga kuwaeleimisha kuhusu ukusanyaji na sheria mbalimbali za Kodi Nchini leo Jijini Dar es Salaam, kushoto ni...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog11 Jul
Wadau wa sekta ya Bima nchini waaswa kushirikiana na TRA kutekeleza sheria mpya ya kodi
Naibu Kamishna wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Lusekelo Mwaseba akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kufungua semina ya wadau wa bima kuhusu sheria mpya ya kodi ya mwaka 2014 ambayo imeanza kutumika Julai Mosi mwaka huu.(Picha na Eleuteri Mangi- MAELEZO).
Na Eleuteri Mangi- MAELEZO
Wadau wa sekta ya Bima nchini wameaswa kushirikiana na Serikali kutekeleza sheria mpya ya kodi ya mwaka 2014 ili waweze kutoa huduma kwa jamii yenye tija kwa wakati na kulipa kodi stahiki.
Kauli...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-7vukd9u0aRI/VkMaKSFvL7I/AAAAAAAAmSU/z1qgafVFHwE/s72-c/tra.png)
TRA yajivunia kasi katika ukusanyaji kodi
![](http://3.bp.blogspot.com/-7vukd9u0aRI/VkMaKSFvL7I/AAAAAAAAmSU/z1qgafVFHwE/s640/tra.png)
Kwa mujibu wa Kamishna Mkuu wa TRA Rished Bade, mwezi Julai TRA ilikusanya kiasi cha shilingi bilioni 849,582.9 ambacho ni asilimia...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-97JBUxTnQSk/VSuTRXBxR_I/AAAAAAAC3EU/AB51KvUQEhs/s72-c/6.jpg)
TRA kutoa mafunzo ya ukusanyaji kodi wa washiriki 150
![](http://2.bp.blogspot.com/-97JBUxTnQSk/VSuTRXBxR_I/AAAAAAAC3EU/AB51KvUQEhs/s1600/6.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-FWtY9RP09kc/VSuTSCzTz5I/AAAAAAAC3Eg/FbHkNMHq2yg/s1600/7a.jpg)
10 years ago
Dewji Blog13 Jul
TRA yadhamiria kufikia malengo katika ukusanyaji kodi kwa mwaka mpya wa fedha
Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Bw. Rished Bade akiwaeleza wajumbe wa Bodi ya Taifa ya wahasibu na wakaguzi kuhusu kuanza kutumika kwa sheria mpya ya Kodi ya ongezeko la thamani ya mwaka 2014 iliyoanza kutumika kuanzia Julai 1, 2015 na jinsi itakavyobadilisha baadhi ya mifumo ya kibiashara,wakati wa Semina ya pamoja Kati ya Mamlaka ya Mapato Tanzania na Bodi ya Taifa ya wahasibu na wakaguzi (NBAA) Jijini Dar es Salaam.
Mjumbe wa Bodi ya Taifa ya wahasibu na wakaguzi...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-pzF7Ynm-PIg/VYpBoCVFEOI/AAAAAAAHjPQ/5MpT7dj5HY0/s72-c/1.jpg)
TRA yakutana na Baraza la Maaskofu Tanzania Kuijadili sheria mpya ya Kodi
![](http://1.bp.blogspot.com/-pzF7Ynm-PIg/VYpBoCVFEOI/AAAAAAAHjPQ/5MpT7dj5HY0/s640/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-78CJNchrjxA/VYpBpptBmPI/AAAAAAAHjPg/OqcGamXQNn4/s640/2b.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-qA9Kmog28Ys/VbtgzdrQicI/AAAAAAAAtiE/Z7FRRC-6nFQ/s72-c/1.jpg)
TRA YAWAPIGA MSASA CTI JUU YA SHERIA MPYA YA KODI YA ONGEZEKO LA THAMANI YA MWAKA 2014
![](http://2.bp.blogspot.com/-qA9Kmog28Ys/VbtgzdrQicI/AAAAAAAAtiE/Z7FRRC-6nFQ/s640/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-PzM5jTpPv2E/Vbtg074rkTI/AAAAAAAAtic/69G3CN58UAg/s640/2.jpg)
11 years ago
Mwananchi19 Mar
TRA Mbeya yakiri wingi wa kodi nchini
11 years ago
Michuzi12 Feb
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-GviAnjENjFk/VVRqmRK1qCI/AAAAAAAHXPU/N5CkP_oYFO4/s72-c/1c.jpg)
TRA yakutanisha Wadau kujadili Sheria Mpya ya Kodi ya ongezeko la Thamani ya mwaka 2014 kabla ya kuanza kutumika
![](http://4.bp.blogspot.com/-GviAnjENjFk/VVRqmRK1qCI/AAAAAAAHXPU/N5CkP_oYFO4/s640/1c.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-VOafxS7oyMQ/VVRqnKy9ggI/AAAAAAAHXPc/431dQXQdqC8/s640/2.jpg)