TRA yakutanisha Wadau kujadili Sheria Mpya ya Kodi ya ongezeko la Thamani ya mwaka 2014 kabla ya kuanza kutumika
![](http://4.bp.blogspot.com/-GviAnjENjFk/VVRqmRK1qCI/AAAAAAAHXPU/N5CkP_oYFO4/s72-c/1c.jpg)
Afisa Kodi Mwandamizi Kutoka Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TRA) Bw. Richard Mwafongo akiwasilishaji kwa Taarifa ya Sheria mpya ya Kodi ya ongezeko la Thamani ya mwaka 2014 ambapo alisema kuwa moja kati ya sababu ya kuandaa sheria hiyo ni kuongeza pato la taifa kupitia makusanyo mbalimbali wakati wa kikao kilichokutanisha wadau mbalimbali leo jijini Dar es salaam.
Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania Bw. Rished Bade akijibu hoja mbalimbali kuhusu Sheria Mpya ya Ongezeko la Thamani...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-qA9Kmog28Ys/VbtgzdrQicI/AAAAAAAAtiE/Z7FRRC-6nFQ/s72-c/1.jpg)
TRA YAWAPIGA MSASA CTI JUU YA SHERIA MPYA YA KODI YA ONGEZEKO LA THAMANI YA MWAKA 2014
![](http://2.bp.blogspot.com/-qA9Kmog28Ys/VbtgzdrQicI/AAAAAAAAtiE/Z7FRRC-6nFQ/s640/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-PzM5jTpPv2E/Vbtg074rkTI/AAAAAAAAtic/69G3CN58UAg/s640/2.jpg)
10 years ago
Dewji Blog11 Jul
Wadau wa sekta ya Bima nchini waaswa kushirikiana na TRA kutekeleza sheria mpya ya kodi
Naibu Kamishna wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Lusekelo Mwaseba akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kufungua semina ya wadau wa bima kuhusu sheria mpya ya kodi ya mwaka 2014 ambayo imeanza kutumika Julai Mosi mwaka huu.(Picha na Eleuteri Mangi- MAELEZO).
Na Eleuteri Mangi- MAELEZO
Wadau wa sekta ya Bima nchini wameaswa kushirikiana na Serikali kutekeleza sheria mpya ya kodi ya mwaka 2014 ili waweze kutoa huduma kwa jamii yenye tija kwa wakati na kulipa kodi stahiki.
Kauli...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-pzF7Ynm-PIg/VYpBoCVFEOI/AAAAAAAHjPQ/5MpT7dj5HY0/s72-c/1.jpg)
TRA yakutana na Baraza la Maaskofu Tanzania Kuijadili sheria mpya ya Kodi
![](http://1.bp.blogspot.com/-pzF7Ynm-PIg/VYpBoCVFEOI/AAAAAAAHjPQ/5MpT7dj5HY0/s640/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-78CJNchrjxA/VYpBpptBmPI/AAAAAAAHjPg/OqcGamXQNn4/s640/2b.jpg)
9 years ago
Dewji Blog15 Aug
ActionAid yakutanisha wadau kujadili malengo mapya ya milenia
![Wakili wa Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Honestus Michael Kulaya akiwasilisha mada katika semina iliyoandaliwa na taasisi ya Landesa.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/08/IMG_0478.jpg)
Wakili wa Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Honestus Michael Kulaya akiwasilisha mada katika semina iliyoandaliwa na taasisi ya Landesa.
Wakili wa Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Honestus Michael Kulaya (mbele) akiwasilisha mada katika semina iliyoandaliwa na taasisi ya Landesa.
![Mwakilishi wa taasisi ya Landesa na ActionAid akizungumza kufungua semina ya wadau mbalimbali kutoka asasi na mashirika ya kutetea jamii kwa ajili ya kujadili malengo mapya ya milenia 'Post 2015 Sustainable Development Agenda'.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/08/IMG_0465.jpg)
Mwakilishi wa taasisi ya Landesa na ActionAid akizungumza kufungua semina ya wadau mbalimbali kutoka asasi na mashirika ya kutetea jamii kwa ajili ya kujadili malengo mapya ya milenia...
10 years ago
MichuziTPDC yakutanisha wadau kujadili sekta ndogo ya Mafuta na Gesi, Bagamoyo
BOFYA HAPA KWA PICHA...
10 years ago
Dewji Blog13 Jul
TRA yadhamiria kufikia malengo katika ukusanyaji kodi kwa mwaka mpya wa fedha
Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Bw. Rished Bade akiwaeleza wajumbe wa Bodi ya Taifa ya wahasibu na wakaguzi kuhusu kuanza kutumika kwa sheria mpya ya Kodi ya ongezeko la thamani ya mwaka 2014 iliyoanza kutumika kuanzia Julai 1, 2015 na jinsi itakavyobadilisha baadhi ya mifumo ya kibiashara,wakati wa Semina ya pamoja Kati ya Mamlaka ya Mapato Tanzania na Bodi ya Taifa ya wahasibu na wakaguzi (NBAA) Jijini Dar es Salaam.
Mjumbe wa Bodi ya Taifa ya wahasibu na wakaguzi...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-mKOLQoTLCAc/VTDNn_XoUxI/AAAAAAAC3OU/_SmW_HWwDEc/s72-c/FR%2BPIX%2B1.jpg)
Benki ya Exim yatangaza ongezeko la asilimia 35 la faida ya kabla ya kodi
![](http://1.bp.blogspot.com/-mKOLQoTLCAc/VTDNn_XoUxI/AAAAAAAC3OU/_SmW_HWwDEc/s1600/FR%2BPIX%2B1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-F6AlFfFcICo/VTDNoA_IAjI/AAAAAAAC3Oc/uLE3nbBnbDo/s1600/FR%2BPIX%2B2%2B.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-lRXOY8TlRVY/VeTNKwVJ5LI/AAAAAAAH1a4/ZxoSpmwSA3M/s72-c/unnamed%2B%252821%2529.jpg)
HOTUBA YA MHESHIMIWA PROF. MAKAME M. MBARAWA (MB), WAZIRI WA MAWASILIANO, SAYANSI NA TEKNOLOJIA KWA WAANDISHI WA HABARI YA KUTANGAZA RASMI KUANZA KUTUMIKA KWA SHERIA YA MAKOSA YA MTANDAO NA YA MIAMALA YA KIELEKTRONIKI ZA MWAKA 2015 KWENYE UKUMBI WA MIKUTA
Mabibi na Mabwana,Napenda nichukue fursa hii kuwashukuru nyote hasa waandishi wa habari kwa kutenga muda wenu na kujumuika nasi kwa lengo la kutangaza rasmi kuanza kutumika kwa Sheria ya Makosa ya Mtandao, 2015 ambayo ilitangazwa kwenye gazeti la Serikali la tarehe 14/08/2015 na kupewa Na. 328. Pia Sheria ya Miamala ya Kielektroniki, 2015 ambayo ilitangazwa kwenye Gazeti la Serikali la tarehe hiyo hiyo na kupewa Na.329.
Ndugu Wananchi,Teknolojia ya Habari na...