Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ActionAid yakutanisha wadau kujadili malengo mapya ya milenia

Wakili wa Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Honestus Michael Kulaya akiwasilisha mada katika semina iliyoandaliwa na taasisi ya Landesa.

Wakili wa Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Honestus Michael Kulaya akiwasilisha mada katika semina iliyoandaliwa na taasisi ya Landesa.

IMG_0486

 

Wakili wa Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Honestus Michael Kulaya (mbele) akiwasilisha mada katika semina iliyoandaliwa na taasisi ya Landesa.

Mwakilishi wa taasisi ya Landesa na ActionAid akizungumza kufungua semina ya wadau mbalimbali kutoka asasi na mashirika ya kutetea jamii kwa ajili ya kujadili malengo mapya ya milenia 'Post 2015 Sustainable Development Agenda'.

Mwakilishi wa taasisi ya Landesa na ActionAid akizungumza kufungua semina ya wadau mbalimbali kutoka asasi na mashirika ya kutetea jamii kwa ajili ya kujadili malengo mapya ya milenia...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Azaki zataka maandalizi Malengo mapya ya Milenia

Mwenyekiti wa SAHRINGON, Martina Kabisama ASASI za kiraia nchini (AZAKI) zimeiomba serikali kuongeza juhudi katika kuelimisha wananchi juu ya Malengo Endelevu ya Maendeleo (SDG’S), yanayotarajiwa kuanza kutekelezwa kuanzia mwaka 2016 hadi 2030.

 

11 years ago

Mwananchi

Wadau wakosoa Malengo ya Milenia

Baadhi ya wadau wa maendeleo wamekosoa ripoti ya Malengo ya Milenia iliyotolewa na mwakilishi wa Wizara ya Fedha katika mjadala ulioandaliwa na Taasisi ya Policy Forum jijini Dar es Salaam jana.

 

10 years ago

Michuzi

TPDC yakutanisha wadau kujadili sekta ndogo ya Mafuta na Gesi, Bagamoyo

Kamishna Msaidizi wa Gesi, Mhandisi, Nobert Kahyoza, akifungua semina ya TPDC kwa niaba ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini. Semina hiyo ililenga kutoa taarifa muhimu zinazo hitajika kwa wadau katika sekta ya mafuta na gesi kutoka sehemu mbali mbali zikiwemo wizara, taasisi na waandishi wa habari, semina hiyo iliyofanyika Bagamoyo. Wadau wa sekta ya mafuta na gesi walioshiriki semina wakifutilia kwa makini mtoa mada (hayupo pichani) katika semina hiyo Bagamoyo.
BOFYA HAPA KWA PICHA...

 

10 years ago

Michuzi

TRA yakutanisha Wadau kujadili Sheria Mpya ya Kodi ya ongezeko la Thamani ya mwaka 2014 kabla ya kuanza kutumika

Afisa Kodi Mwandamizi Kutoka Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TRA) Bw. Richard Mwafongo akiwasilishaji kwa Taarifa ya Sheria mpya ya Kodi ya ongezeko la Thamani ya mwaka 2014 ambapo alisema kuwa moja kati ya sababu ya kuandaa sheria hiyo ni kuongeza pato la taifa kupitia makusanyo mbalimbali wakati wa kikao kilichokutanisha wadau mbalimbali leo jijini Dar es salaam.Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania Bw. Rished Bade akijibu hoja mbalimbali kuhusu Sheria Mpya ya Ongezeko la Thamani...

 

9 years ago

Dewji Blog

UN kuandika Historia nyingine leo: Kujadili Agenda 2030 ya Malengo Mapya ya Maendeleo Endelevu (SDG’s)

unnamed (1)Katibu Mkuu  wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa,  Balozi  Liberata Mulamula akizungumza wakati wa mkutano ulioandaliwa  kwa pamoja  na  Wizara ya Ushirikiano wa Kiuchumi na Maendeleo ya Ujerumani na Mashirika  ya Kimataifa kama vile Mpango wa Chakula Duniani, Mkutano uliokuwa ukijadili changamoto za mabadiliko ya tabia nchi na uhusiano wake na usalama wa chakula,  lishe na afya. Mkutano huu ulifanyika  siku ya alhamis katika Uwakilishi wa Kudumu wa Ujeruman katika Umoja wa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Malengo ya Milenia:TZ

Tanzania imefanikiwa kutimiza lengo namba 4 la malengo ya maendeleo ya milenia.

 

11 years ago

Habarileo

SMZ yavuka malengo ya milenia

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar tayari imesema imefanikiwa kuyafikia Malengo ya Milenia ya kuimarisha na kusambaza huduma za Elimu hadi vijijini ambapo kwa sasa hakuna mwanafunzi anayetembea kilomita nne kutafuta elimu.

 

11 years ago

Mwananchi

Tanzania yajivunia utekelezaji malengo ya milenia

>Zikiwa zimebaki siku zaidi ya 500 kufikia   hitimisho la  utekelezaji wa  Malengo ya  Maendeleo ya Milenia (MDGs),   Tanzania  imebainisha  kuwa, mafanikio yake katika utekelezaji wa malengo hayo  kumetokana na  kujituma kwa  Serikali  ambako  kulivutia washirika wa maendeleo.

 

11 years ago

Mwananchi

Tanzania yashindwa kufikia malengo ya milenia

 Taasisi ya Utafiti wa Kiuchumi na Kijamii (ESRF) imesema wakati muda wa utekelezaji wa malengo ya milenia ukikaribia kufika mwisho ifikapo mwaka 2015, Tanzania bado ni maskini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani