Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SMZ yavuka malengo ya milenia

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar tayari imesema imefanikiwa kuyafikia Malengo ya Milenia ya kuimarisha na kusambaza huduma za Elimu hadi vijijini ambapo kwa sasa hakuna mwanafunzi anayetembea kilomita nne kutafuta elimu.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

EPZA yavuka malengo 2013

MAMLAKA ya Ukanda Maalumu wa Uwekezaji nchini (EPZA) imetangaza kuvuka malengo yake kwa mwaka 2013. Mafanikio hayo yalitangazwa jijini Dar es Salaam jana na Mkurugenzi Mkuu wa EPZA, Dk. Adelhelm...

 

10 years ago

BBCSwahili

Malengo ya Milenia:TZ

Tanzania imefanikiwa kutimiza lengo namba 4 la malengo ya maendeleo ya milenia.

 

11 years ago

Habarileo

SMZ yatekeleza mipango ya Milenia kwa 80%

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imesema imefanikiwa kutekeleza Malengo ya Milenia kwa asilimia 80 hadi ifikapo mwakani 2015 ikiwamo kupunguza vifo kwa watoto pamoja na uandikishaji wa wanafunzi kwa elimu ya msingi.

 

5 years ago

CCM Blog

HALMASHAURI YA NJOMBE YAVUKA TENA MALENGO UKUSANYAJI MAPATO


Na Amiri kilagalila,NjombeHALMASHAURI ya wilaya ya Njombe ambayo asilimia 70 ya mapato yake inayapata kutoka kwenye mazao ya miti , imefanikiwa kuvuka tena lengo la makusanyo ya mwaka 2019/2020 katika kipindi cha robo tatu ya mwaka kwa kukusanya asilimia 108 ya mapato.Ripoti hiyo ya makusanyo imetolewa katika kikao cha baraza na mwenyekiti wa halmashauri Valentino Hongoli na kutolewa ufafanunuzi na mkurugenzi Ally Juma ambaye anasema siri ya mafanikio makubwa katika makusanyo yametokana na...

 

11 years ago

Mwananchi

Wadau wakosoa Malengo ya Milenia

Baadhi ya wadau wa maendeleo wamekosoa ripoti ya Malengo ya Milenia iliyotolewa na mwakilishi wa Wizara ya Fedha katika mjadala ulioandaliwa na Taasisi ya Policy Forum jijini Dar es Salaam jana.

 

11 years ago

Mwananchi

Tanzania yajivunia utekelezaji malengo ya milenia

>Zikiwa zimebaki siku zaidi ya 500 kufikia   hitimisho la  utekelezaji wa  Malengo ya  Maendeleo ya Milenia (MDGs),   Tanzania  imebainisha  kuwa, mafanikio yake katika utekelezaji wa malengo hayo  kumetokana na  kujituma kwa  Serikali  ambako  kulivutia washirika wa maendeleo.

 

11 years ago

Mwananchi

Tanzania yashindwa kufikia malengo ya milenia

 Taasisi ya Utafiti wa Kiuchumi na Kijamii (ESRF) imesema wakati muda wa utekelezaji wa malengo ya milenia ukikaribia kufika mwisho ifikapo mwaka 2015, Tanzania bado ni maskini.

 

11 years ago

Habarileo

JK ataka Malengo ya Milenia kuendelea kutekelezwa

RAIS Jakaya Kikwete ameitaka Jumuiya ya Kimataifa kuhakikisha kuwa Malengo ya Milenia yanatekelezwa kwa ukamilifu hata baada ya kuisha muda uliowekwa wa kuyatimiza, kabla ya kuweka malengo mengine duniani.

 

11 years ago

Mwananchi

SIKU YA WANAWAKE: Malengo ya milenia yamefikiwa?

>“Chochea Mabadiliko Kuleta Usawa wa Kijinsia,” hii ni kaulimbiu ya Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani kwa Mwaka 2014. Hata hivyo, leo wakati wanawake duniani kote wakisherehekea siku hii muhimu kwao, ni mwaka mmoja mmoja umebakia ili kutimiza malengo ya milenia.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani