Tanzania yajivunia utekelezaji malengo ya milenia
>Zikiwa zimebaki siku zaidi ya 500 kufikia  hitimisho la utekelezaji wa Malengo ya Maendeleo ya Milenia (MDGs),  Tanzania imebainisha kuwa, mafanikio yake katika utekelezaji wa malengo hayo kumetokana na kujituma kwa Serikali ambako kulivutia washirika wa maendeleo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog21 Oct
Tanzania yajivunia kufikia malengo ya milenia katika afya, elimu
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, John Haule (kulia) akizungumza na waandishi wa habari kuhusu wiki ya Umoja wa Mataifa inayotarajiwa kuanza kuadhimishwa Ijumaa wiki hii (kushoto) ni Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez.
Na Mwandishi Wetu
KATIBU MKUU wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, John Haule amesema serikali ya Tanzania imefikia kwa...
11 years ago
Mwananchi15 Jun
Tanzania yashindwa kufikia malengo ya milenia
11 years ago
Michuzi20 Feb
Tanzania yakaza mwendo kufanikisha malengo ya milenia
![Balozi-Mero](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/-WxKJ9gy-K9SQX7dus0lEirVKGXyOfQ47P-fhuLsldqlbwSSLfNR5lw2nbv9TxQplT3LiZjBjBrjPDpifx_4LSpiTVQo7k6aDeakaDdE8784Or-_5HnUnVTFhETwtX7zmBVAT4_SmyzZLnLanVtuLunKxG13=s0-d-e1-ft#http://www.unmultimedia.org/radio/kiswahili/wp-content/uploads/2014/02/Balozi-Mero-300x2141.jpg)
Wakati zikiwa zimesalia siku zisizozidi elfu moja kufikia kikomo cha utekelezaji wa malengo ya maendeleo ya milenia mwaka 2015 mwakilishi wa kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa mjini Geneva balozi Modest Jonathan Mero amesema sekta ya afya inahitaji msukumo zaidi katika kutekeleza malengo hayo. Katika mahojiano maalum na idhaa hii Balozi Mero ambaye hivi karibuni alikutana na Mkuu wa shirika la afya duniani Magreth Chan,...
9 years ago
Dewji Blog26 Sep
Tanzania kuongoza utekelezaji wa malengo mapya ya maendeleo duniani
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na ujumbe wa Tanzania kwenye mkutano wa 70 wa Umoja wa Maiataifa akiwa na Waziri wa Mambo ya Nje na ushurikiano wa Kimataifa Mhe Bernard Membe, Waziri wa Waziri wa Maendeleo ya Jamii,Jinsia na Watoto Mhe Sophia Simba, Waziri wa Fedha Zanzibar Mhe Yussuf Mzee na Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje, Balozi Liberata Mulamula.
-Imeteuliwa mongoni mwa nchi nane tu duniani kufanya kazi hiyo
-Rais Kikwete amesema kuwa Tanzania iko tayari kuifanya kazi hiyo
Tanzania ni...
10 years ago
BBCSwahili03 Jul
Malengo ya Milenia:TZ
11 years ago
Habarileo09 Jan
SMZ yavuka malengo ya milenia
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar tayari imesema imefanikiwa kuyafikia Malengo ya Milenia ya kuimarisha na kusambaza huduma za Elimu hadi vijijini ambapo kwa sasa hakuna mwanafunzi anayetembea kilomita nne kutafuta elimu.
11 years ago
Mwananchi26 Jul
Wadau wakosoa Malengo ya Milenia
11 years ago
Habarileo30 May
JK ataka Malengo ya Milenia kuendelea kutekelezwa
RAIS Jakaya Kikwete ameitaka Jumuiya ya Kimataifa kuhakikisha kuwa Malengo ya Milenia yanatekelezwa kwa ukamilifu hata baada ya kuisha muda uliowekwa wa kuyatimiza, kabla ya kuweka malengo mengine duniani.
10 years ago
Habarileo10 Oct
Ulemavu wa kutoona waathiri Malengo ya Milenia
SERIKALI imesema ulemavu wa kutokuona unaathiri juhudi zinazosaidia kufikiwa kwa Malengo ya Maendeleo ya Milenia likiwemo la kuondoa umasikini uliokithiri.