Tanzania yajivunia kufikia malengo ya milenia katika afya, elimu
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, John Haule (kulia) akizungumza na waandishi wa habari kuhusu wiki ya Umoja wa Mataifa inayotarajiwa kuanza kuadhimishwa Ijumaa wiki hii (kushoto) ni Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez.
Na Mwandishi Wetu
KATIBU MKUU wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, John Haule amesema serikali ya Tanzania imefikia kwa...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi12 Jul
Tanzania yajivunia utekelezaji malengo ya milenia
11 years ago
Mwananchi15 Jun
Tanzania yashindwa kufikia malengo ya milenia
10 years ago
BBCSwahili01 Jul
Je kwa nini Afrika imeshindwa kufikia Malengo ya milenia?
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Z8rG78kepCU/XmD7L-nR-oI/AAAAAAALhPo/YgVYzMnBFEoy9MiCMiGhUF9yCHzfiGdhgCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpeg)
JESHI LA MAGEREZA WAJIVUNIA KUFIKIA MALENGO YA MILENIA 90-90-90 DHIDI YA VVU
![](https://1.bp.blogspot.com/-Z8rG78kepCU/XmD7L-nR-oI/AAAAAAALhPo/YgVYzMnBFEoy9MiCMiGhUF9yCHzfiGdhgCLcBGAsYHQ/s640/1.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-VgYgj9XsWAQ/XmD7MqENbSI/AAAAAAALhPs/4aOtqqxT1UA7JURU94KjZL_QTdauUbOugCLcBGAsYHQ/s640/3.jpeg)
11 years ago
Michuzi20 Feb
Tanzania yakaza mwendo kufanikisha malengo ya milenia
![Balozi-Mero](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/-WxKJ9gy-K9SQX7dus0lEirVKGXyOfQ47P-fhuLsldqlbwSSLfNR5lw2nbv9TxQplT3LiZjBjBrjPDpifx_4LSpiTVQo7k6aDeakaDdE8784Or-_5HnUnVTFhETwtX7zmBVAT4_SmyzZLnLanVtuLunKxG13=s0-d-e1-ft#http://www.unmultimedia.org/radio/kiswahili/wp-content/uploads/2014/02/Balozi-Mero-300x2141.jpg)
Wakati zikiwa zimesalia siku zisizozidi elfu moja kufikia kikomo cha utekelezaji wa malengo ya maendeleo ya milenia mwaka 2015 mwakilishi wa kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa mjini Geneva balozi Modest Jonathan Mero amesema sekta ya afya inahitaji msukumo zaidi katika kutekeleza malengo hayo. Katika mahojiano maalum na idhaa hii Balozi Mero ambaye hivi karibuni alikutana na Mkuu wa shirika la afya duniani Magreth Chan,...
10 years ago
Dewji Blog13 Jul
TRA yadhamiria kufikia malengo katika ukusanyaji kodi kwa mwaka mpya wa fedha
Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Bw. Rished Bade akiwaeleza wajumbe wa Bodi ya Taifa ya wahasibu na wakaguzi kuhusu kuanza kutumika kwa sheria mpya ya Kodi ya ongezeko la thamani ya mwaka 2014 iliyoanza kutumika kuanzia Julai 1, 2015 na jinsi itakavyobadilisha baadhi ya mifumo ya kibiashara,wakati wa Semina ya pamoja Kati ya Mamlaka ya Mapato Tanzania na Bodi ya Taifa ya wahasibu na wakaguzi (NBAA) Jijini Dar es Salaam.
Mjumbe wa Bodi ya Taifa ya wahasibu na wakaguzi...
10 years ago
Dewji Blog12 Jan
WAMA yajivunia mafanikio katika sekta ya elimu
Mke wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Salma Kikwete.
Taasisi ya WAMA Foundation imefanikiwa kupanua fursa za elimu kwa mtoto wa kike kwa mwaka 2014.
Hayo yamesemwa na Mke wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Salma Kikwete wakati Akiongea na wenza wa mabalozi kutoka nchi mbalimbali katika ghafla fupi ya kuukaribisha mwaka mpya 2015 iliyofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam,
Mama Salma alisema kuwa baadhi ya mafanikio yaliyofikiwa na Taasisi ya WAMA ni kukamilika...
10 years ago
BBCSwahili03 Jul
Malengo ya Milenia:TZ
10 years ago
Mwananchi14 Dec
Mbeya yakwama tena kufikia BRN katika elimu