Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mbeya yakwama tena kufikia BRN katika elimu

Mkoa wa Mbeya kwa mara ya pili umeshindwa kufikia asilimia 60 ya ufaulu wa darasa la saba iliyopangwa na Serikali katika kutekeleza Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN) baada ya kufaulisha kwa asilimia 46.4 wanafunzi wa darasa la saba mwaka huu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Tanzania yajivunia kufikia malengo ya milenia katika afya, elimu

DSC_0564

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, John Haule (kulia) akizungumza na waandishi wa habari kuhusu wiki ya Umoja wa Mataifa inayotarajiwa kuanza kuadhimishwa Ijumaa wiki hii (kushoto) ni Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez.

Na Mwandishi Wetu

KATIBU MKUU wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, John Haule amesema serikali ya Tanzania imefikia kwa...

 

11 years ago

Michuzi

MKUU WA MKOA WA RUKWA AFANYA ZIARA YA KUHAMASISHA MPANGO WA MATOKEO MAKUBWA SASA (BRN) KATIKA SEKTA YA ELIMU MKOANI HUMO

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Eng. Stella Manyanya akizungumza kwa hisia kubwa na wanafunzi wa shule ya Sekondari Itwelele iliyopo Manispaa ya Sumbawanga leo tarehe 15/07/2014 ikiwa ni siku ya pili ya ziara yake ya kuhamasisha mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN) kwa shule za Msingi na Sekondari Mkoani Rukwa. Katika ziara yake hii amepata fursa ya kuonana na wanafunzi na wadau wa elimu zikiwemo kamati za shule mbalimbali katika kata za Manispaa ya Sumbawanga na viongozi katika kujadili na kuweka...

 

11 years ago

Tanzania Daima

KUFIKIA MALENGO YA BRN NECTA yazindua vitabu vya uchambuzi wa ufaulu

AGOSTI 15 2013 Tanzania kupitia Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, ilizindua mpango wake wa utekelezaji wa Matokeo Makubwa Sasa(BRN) katika sekta ya elimu. Uzinduzi huo uliofanywa na Waziri...

 

10 years ago

Vijimambo

Kesi ya Mbasha Yakwama tena


Kesi ya ubakaji inayomkabili mwanamuziki wa nyimbo za injili ambaye ni mume wa Flora Mbasha kwenye mahakama ya hakimu mkazi Kisutu imesogezwa tena mbele kutokana na kutokuwepo kwa mwendesha mashtaka anayeisimamia kesi hiyo. Kesi hiyo ya Emmanuel Mbasha ilitakiwa kuendelea baada ya mashahidi kuwepo eneo la tukio kabla ya hakimu mkazi Flora Mjaya kuairisha mpaka Mei 29, 2015 kutokana na kutokuwepo kwa mwendesha mashtaka Nassoro Katuga.
Mashahidi wawili wameshatoa ushahidi huku mmojawapo akiwa ...

 

10 years ago

Habarileo

Kesi ya Ponda yakwama tena kusikilizwa

Shehe Ponda Issa PondaMAHAKAMA ya Hakimu Mkazi ya Mkoa wa Morogoro jana ilishindwa kuanza kusikiliza kesi ya Katibu wa Jumuiya ya Waislamu Tanzania, Shehe Ponda Issa Ponda kutokana na mgongano wa kiutawala na kukosekana kwa nakala ya hukumu ya rufaa iliyompa ushindi Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam.

 

11 years ago

Habarileo

Kesi ya Sheikh Ponda yakwama tena

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi ya Mkoa wa Morogoro kwa mara nyingine jana, imeshindwa kuanza kusikiliza kesi ya Katibu wa Taasisi na Jumuiya ya Waislamu Tanzania, Shehe Ponda Issa, kutokana na jadala la kesi hiyo, ambalo liko Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, kutorejeshwa mahakamani hapo.

 

11 years ago

Habarileo

Kesi ya kutorosha wanyama hai yakwama tena

KESI ya utoroshwaji wa wanyama hai zaidi ya 100 kwenda Doha, Qatar, inayowakabili washtakiwa wanne katika mahakama ya hakimu mkazi Moshi, imekwama tena baada ya mshtakiwa wa kwanza, Kamran Ahmed kutofika mahakamani hapo bila taarifa.

 

11 years ago

Mwananchi

Wafugaji Mbeya waazimia kujikita zaidi katika elimu

Sifa kuu ya wafugaji wa Tanzania ni kuendelea na utaratibu wa kufuga kwa kuhamahama. Kimsingi, wafugaji wengi nchini hawana makazi maalumu na mara nyingi makazi yao yamekuwa ni porini, mahala kusikokuwa na huduma nyingi za kijamii.

 

10 years ago

BBCSwahili

Haki elimu yakosoa BRN Tanzania

Mpango wa BRN ulioanzishwa na serikali ya Tanzania kwa ajili ya kuleta matokeo ya haraka,haujafanikiwa katika sekta ya elimu,

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani