Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SMZ yatekeleza mipango ya Milenia kwa 80%

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imesema imefanikiwa kutekeleza Malengo ya Milenia kwa asilimia 80 hadi ifikapo mwakani 2015 ikiwamo kupunguza vifo kwa watoto pamoja na uandikishaji wa wanafunzi kwa elimu ya msingi.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

SMZ yavuka malengo ya milenia

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar tayari imesema imefanikiwa kuyafikia Malengo ya Milenia ya kuimarisha na kusambaza huduma za Elimu hadi vijijini ambapo kwa sasa hakuna mwanafunzi anayetembea kilomita nne kutafuta elimu.

 

9 years ago

Mwananchi

Sefue: Mipango hafifu chanzo cha kushindwa malengo ya milenia

Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue amesema serikali haijaweza kufanikiwa kwa kiwango kikubwa  malengo ya milenia ya mwaka 2000 ambayo kwa sasa yananamaliza muda wake  kwa sababu ya kukosa mipango thabiti ya jinsi ya kuyafanikisha.

 

9 years ago

Press

WAZIRI wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Mpango Ametoa Maagizo Kwa Tume ya Mipango

WAZIRI wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Mpango ameiagiza Tume ya Mipango kufanya utafiti kuhusu mapato ya Serikali na namna ya kuongeza wigo wa ukusanyaji mapato.

SONY DSC

SONY DSC

Baadhi ya wafanyakazi wa Tume ya Mipango wakimpokea Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Philip Mpango alipowatembelea kwa lengo la kuwaaga.

Amesema Tume ya Mipango kama chombo cha ushauri kwa Serikali kuhusu mipango na uchumi wa nchi, ni lazima ifanye utafiti juu ya ufanisi wa ukusanyaji wa mapato na kuongeza vyanzo wa kukusanya...

 

10 years ago

Habarileo

Tanzania yatekeleza maazimio ya elimu kwa wote

TANZANIA imekuwa ya mfano miongoni mwa nchi za kusini mwa Jangwa la Sahara katika kutekeleza maazimio ya Mpango wa Elimu kwa Wote (EFA).

 

9 years ago

Michuzi

TPDC YATEKELEZA DHANA YA UWAJIBIKAJI KWA JAMII MKOANI MTWATRA.

Mkurugenzi wa Undelezaji wa Mafuta na Gesi Asilia Dk. Wellngton Hudson (kushoto), akitoa mfano wa Hundi ya shilingi 15,000,000, kwa uongozi wa Mkoa wa Mtwara na Klabu ya Mpira wa Miguu ya Ndanda, kuanzia kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Bi. Halima Dendego, Mkurugenzi wa Klabu ya Ndanda Athuman Kambi na Katibu Tawala Mkoa wa Mtwara Alfred Cosmas Luanda.Mkurugenzi wa Undelezaji wa Mafuta na Gesi Asilia Dk. Wellngton Hudson (pili kushoto), akikabidhi mfano wa hundi ya shilingi 10,000,000 kwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Je kwa nini Afrika imeshindwa kufikia Malengo ya milenia?

Miaka 15 sasa tangu viongozi wa dunia walipoidhinisha malengo 8 ya Milenia bara la Afrika limeshindwa kuafikia malengo hayo

 

10 years ago

Habarileo

Afya wajivuna kufika lengo la Milenia kwa watoto

WAZIRI wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Seif Seleman Rashid amesema serikali imefikia Malengo ya Milenia ya kupunguza kupunguza vifo vya watoto chini ya umri wa miaka mitano kwa theluthi mbili kutoka mwaka 1995 hadi 2015.

 

10 years ago

Dewji Blog

SMZ yajivunia kuimarika kwa barabara

621

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akizindua rasmi Bara bara ya pili ya Amani hadi Mtoni baada ya kukamilika awamu ya mwisho ikiwa ni shamra shamra za maadhimisho ya kutimia miaka 51 ya Mapinduzi ya Zanzibar. Kulia kwa Balozi Seif ni Waziri wa Miundombinu na Mawasiliano Zanzibar Mh. Juma Duni Haji na Naibu Wake Mh. Issa Ussi Gavu.

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alisema  kwamba Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imefanikiwa vyema  katika...

 

11 years ago

Habarileo

SMZ kufuta dhamana kwa wabakaji

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema ipo katika mchakato wa kurekebisha sheria zake za mwenendo wa makosa ya jinai pamoja na kufuta dhamana kwa watuhumiwa wa makosa ya ubakaji.

Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Katiba na Sheria Abubakar Khamis Bakary .

Kauli hiyo imekuja kufuatia hoja ya Mwakilishi wa Viti Maalumu Wanawake kutoka CCM Mgeni Hassan Juma aliyoiwakilisha katika Baraza la Wawakilishi inayoitaka Serikali kudhibiti na kupambana na matukio ya udhalilishaji wa kijinsia na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani