Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SMZ kufuta dhamana kwa wabakaji

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema ipo katika mchakato wa kurekebisha sheria zake za mwenendo wa makosa ya jinai pamoja na kufuta dhamana kwa watuhumiwa wa makosa ya ubakaji.

Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Katiba na Sheria Abubakar Khamis Bakary .

Kauli hiyo imekuja kufuatia hoja ya Mwakilishi wa Viti Maalumu Wanawake kutoka CCM Mgeni Hassan Juma aliyoiwakilisha katika Baraza la Wawakilishi inayoitaka Serikali kudhibiti na kupambana na matukio ya udhalilishaji wa kijinsia na...

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Watendaji DPP Z’bar wataka dhamana ifutwe kwa wabakaji

WANASHERIA kutoka Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka Zanzibar (DPP) wametaka Serikali kufuta dhamana kwa watuhumiwa wa makosa ya ubakaji kwa lengo la kupunguza matukio hayo ambayo yamekuwa yakidhalilisha watoto ikiwemo wanawake na wanaume.

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Kinana anawadalali Wazanzibari kwa wabakaji

Na Rashid Abdallah “Ndani ya miaka 14 , trilioni nne nukta 4 dola za Kimarekani zimetumika katika vita dhidi ya ugaidi, lakini mamia na maelfu ya watu wamekufa. Kati ya mwaka 2000 na 2014, vifo vinavyosababishwa […]

The post Kinana anawadalali Wazanzibari kwa wabakaji appeared first on Mzalendo.net.

 

11 years ago

BBCSwahili

Maisha jela kwa wabakaji Misri

Wananume saba wafungwa maisha jela na wengine 2 kupata kifungo cha miaka 20 au zaidi kila mmoja kwa kuwadhulumu kingono wanawake

 

10 years ago

Mwananchi

Real kufuta uteja kwa Liverpool

Miamba ya Ulaya yenye mataji 15 kwa ujumla baina yao, i wanakutana kwenyeatika Uwanja wa Anfield kesho, wakati Liverpool wakitaka kuendeleza ubabe wao mbele ya Real Madrid kwenye mchezo huo wa Ligi ya Mabingwa Ulaya.

 

10 years ago

Habarileo

Serikali kufuta miliki za ardhi kwa vigogo

Waziri wa wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William LukuviWAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi amesema Serikali itafuta umiliki wa ardhi kwa vigogo waliojilimbikizia maeneo.

 

10 years ago

Dewji Blog

SMZ yajivunia kuimarika kwa barabara

621

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akizindua rasmi Bara bara ya pili ya Amani hadi Mtoni baada ya kukamilika awamu ya mwisho ikiwa ni shamra shamra za maadhimisho ya kutimia miaka 51 ya Mapinduzi ya Zanzibar. Kulia kwa Balozi Seif ni Waziri wa Miundombinu na Mawasiliano Zanzibar Mh. Juma Duni Haji na Naibu Wake Mh. Issa Ussi Gavu.

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alisema  kwamba Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imefanikiwa vyema  katika...

 

11 years ago

Habarileo

SMZ yatekeleza mipango ya Milenia kwa 80%

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imesema imefanikiwa kutekeleza Malengo ya Milenia kwa asilimia 80 hadi ifikapo mwakani 2015 ikiwamo kupunguza vifo kwa watoto pamoja na uandikishaji wa wanafunzi kwa elimu ya msingi.

 

9 years ago

Habarileo

IGP akanusha kufuta askari kwa madai ya vyeti feki

MKUU wa Polisi nchini Inspekta Jenerali (IGP) Ernest Mangu amekanusha kufutwa kazi kwa askari kadhaa wanaodaiwa kuwa na vyeti feki kama iliyosambazwa kwenye mitandao ya kijamii juzi na akasema Jeshi lake linamtafuta mtu ambaye amesambaza taarifa hizo alizoita za uzushi.

 

10 years ago

Mwananchi

Zao la ufuta limeanza kufuta umaskini kwa wakulima vijijini

Nimeingia katika Kijiji cha Erri, Tarafa ya Mbugwe Wilaya ya Babati, mkoani Manyara. Ni eneo ambalo uchumi wa wakazi wengi wanategemea kilimo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani