Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watendaji DPP Z’bar wataka dhamana ifutwe kwa wabakaji

WANASHERIA kutoka Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka Zanzibar (DPP) wametaka Serikali kufuta dhamana kwa watuhumiwa wa makosa ya ubakaji kwa lengo la kupunguza matukio hayo ambayo yamekuwa yakidhalilisha watoto ikiwemo wanawake na wanaume.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

SMZ kufuta dhamana kwa wabakaji

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema ipo katika mchakato wa kurekebisha sheria zake za mwenendo wa makosa ya jinai pamoja na kufuta dhamana kwa watuhumiwa wa makosa ya ubakaji.

Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Katiba na Sheria Abubakar Khamis Bakary .

Kauli hiyo imekuja kufuatia hoja ya Mwakilishi wa Viti Maalumu Wanawake kutoka CCM Mgeni Hassan Juma aliyoiwakilisha katika Baraza la Wawakilishi inayoitaka Serikali kudhibiti na kupambana na matukio ya udhalilishaji wa kijinsia na...

 

10 years ago

Mwananchi

Mansour aachiwa kwa dhamana Z’bar

Mahakama Kuu ya Zanzibar imemwachia kwa dhamana waziri wa zamani wa SMZ, Mansour Yusuph Himid ikisema hakuna kosa lisilokuwa na dhamana Zanzibar kwa mujibu wa sheria kwa kuwa si hatari kumiliki silaha, bali matumizi yake ndiyo hatari.

 

11 years ago

Habarileo

DPP apinga dhamana ya raia 3 wa China

MKURUGENZI wa Mashitaka (DPP) amewasilisha hati ya kupinga ombi la dhamana ya raia watatu wa China, wanaokabiliwa na kesi ya kukutwa na meno ya tembo yenye thamani ya Sh bilioni 5.4.

 

9 years ago

Mtanzania

DPP aendelea kushikilia dhamana ya mwanafunzi DIT

1Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam

MKURUGENZI wa Mashitaka  (DPP), ameeleza kwamba sababu zake za kuzuia dhamana kwa anayetuhumiwa kutoa taarifa za uongo kuwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi, Jenerali Davis Mwamnyange amelishwa sumu, bado zinaendelea.

Mtuhumiwa huyo ni mwanafunzi wa Chuo cha Teknolojia Dar es Salaam (DIT),  Benedict Ngonyani

Wakili wa Serikali Mwandamizi, Theophil Mutakyawa, alidai hayo jana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Respicius Mwijage.

Aliyasema...

 

9 years ago

Mwananchi

DPP apinga mtuhumiwa kesi ya Mwamunyange kupewa dhamana

Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP), amewasilisha kusudio la kukata rufaa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, akipinga uamuzi uliompa dhamana mwanafunzi wa Chuo cha Taasisi ya Teknolojia Tanzania (DIT), Benedict Ngonyani.

 

11 years ago

Habarileo

Wazazi Z'bar wataka bakora shuleni

BAADHI ya wazazi Zanzibar, wameitaka Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali, kurudisha matumizi ya bakora shuleni kwa ajili ya kuimarisha nidhamu kwa wanafunzi. Mzazi Mohamed Haji (60) ambaye ni mkazi wa Kijiji cha Bambi Wilaya ya Kati Unguja, alisema nidhamu ya wanafunzi, imepungua kwa sababu walimu wameacha kutumia adhabu za bakora shuleni.

 

11 years ago

BBCSwahili

Maisha jela kwa wabakaji Misri

Wananume saba wafungwa maisha jela na wengine 2 kupata kifungo cha miaka 20 au zaidi kila mmoja kwa kuwadhulumu kingono wanawake

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Kinana anawadalali Wazanzibari kwa wabakaji

Na Rashid Abdallah “Ndani ya miaka 14 , trilioni nne nukta 4 dola za Kimarekani zimetumika katika vita dhidi ya ugaidi, lakini mamia na maelfu ya watu wamekufa. Kati ya mwaka 2000 na 2014, vifo vinavyosababishwa […]

The post Kinana anawadalali Wazanzibari kwa wabakaji appeared first on Mzalendo.net.

 

9 years ago

Michuzi

WATENDAJI WA MASHIRIKA YA NDEGE WATAKA BARABARA YA KUELEKEA UWANJA WA NDEGE IPANULIWE

Watendaji wa mashirika ya ndege nchini wameiomba Serikali kupanua Barabara ya Nyerere ili kuwawezesha abiria wanaosafiri kwa ndege kuwahi usafiri kufuatia ongezeko lao kubwa na la ndege pia linalotarajiwa  kufuatia kuwepo kwa jengo jipya la abiria (TB III) linalotarajiwa kukamilika mwaka 2016.
Rai hiyo imetolewa jana na watendaji wa mashirika 19 ya ndege yanayoendesha shughuli zake katika Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNIA) walipozuru ujenzi TB III ikiwa  ni moja ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani