DPP aendelea kushikilia dhamana ya mwanafunzi DIT
Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam
MKURUGENZI wa Mashitaka (DPP), ameeleza kwamba sababu zake za kuzuia dhamana kwa anayetuhumiwa kutoa taarifa za uongo kuwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi, Jenerali Davis Mwamnyange amelishwa sumu, bado zinaendelea.
Mtuhumiwa huyo ni mwanafunzi wa Chuo cha Teknolojia Dar es Salaam (DIT), Benedict Ngonyani
Wakili wa Serikali Mwandamizi, Theophil Mutakyawa, alidai hayo jana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Respicius Mwijage.
Aliyasema...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo18 Dec
DPP apinga dhamana ya raia 3 wa China
MKURUGENZI wa Mashitaka (DPP) amewasilisha hati ya kupinga ombi la dhamana ya raia watatu wa China, wanaokabiliwa na kesi ya kukutwa na meno ya tembo yenye thamani ya Sh bilioni 5.4.
9 years ago
Mwananchi17 Nov
DPP apinga mtuhumiwa kesi ya Mwamunyange kupewa dhamana
11 years ago
Habarileo02 May
Watendaji DPP Z’bar wataka dhamana ifutwe kwa wabakaji
WANASHERIA kutoka Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka Zanzibar (DPP) wametaka Serikali kufuta dhamana kwa watuhumiwa wa makosa ya ubakaji kwa lengo la kupunguza matukio hayo ambayo yamekuwa yakidhalilisha watoto ikiwemo wanawake na wanaume.
9 years ago
Habarileo15 Oct
UNFPA yataka mtoto wa kike kushikilia ndoto
MWAKILISHI Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia idadi ya watu UNFPA, Dk Natalia Kanem amewataka wasichana kushikilia ndoto zao pamoja na changamoto zinazojitokeza.
11 years ago
CloudsFM04 Jul
POLISI AMRUBUNI MWANAFUNZI KUFANYA NAYE MPENZI,AMWACHA CHUMBANI KWAKE,NYUMBA YAKE YAUNGUA MOTO,MWANAFUNZI AFARIKI DUNIA
Wananchi wa Mlangali, Ludewa wakiwa wamekizingira kituo cha polisi Mlangali mara baada ya kuipeleka maiti ya mtoto aliyeteketea kwa moto katika kituo hicho.
KIONGOZI wa mbio za mwenge Kitaifa awatuliza wananchi wa Mlangali wilaya ya Ludewa ambao baadhi yao waliandamana kituo cha polisi kushinikiza kutolewa kwa askari polisi aliyedaiwa kusababisha kifo cha mtoto ili auwawe.
Kiongozi huyo aliwaomba wananchi wa Mlangali kutokubali kujihusisha na vitendo vya uvunjifu wa amani ikiwa ni pamoja na...
11 years ago
Habarileo04 Jun
Wanafunzi DIT waandamana
WANAFUNZI wa Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam (DIT) leo wameandamana kwenda Wizara ya Sayansi na Teknolojia wakidai hawajaridhishwa na uamuzi wa uongozi wa chuo kuwazuia wanafunzi 684 kufanya mtihani.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-pVBkN4olK3I/Xs0MtmQLpsI/AAAAAAALrlw/q7mpN909BakQMGkfa1ODz96ZSGXLGJjXgCLcBGAsYHQ/s72-c/0b502287-8818-40c2-9fad-9f309e618b92.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima26 Jan
Serikali yaahidi kuboresha miundombinu DIT
MAKAMU wa Rais, Dk. Mohamed Gharib Bilal, amesema serikali itaendelea kuboresha miundombinu ya Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam (DIT) kutokana na taasisi hiyo kutoa mchnago muhimu kwa taifa. Mbali...
10 years ago
IPPmedia18 Apr
DIT, TMA to use ICT in weather management.
IPPmedia
IPPmedia
The Dar es Salaam Institute of Technology (DIT) and Tanzania Meteorological Agency (TMA) signed Memorandum of Understanding (MoU) to improve East Africa's Weather Information Management by Application of Suitable Information Communication ...
DIT, TMA sign deal to improve records collection, preservationDaily News
all 3