Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Serikali yaahidi kuboresha miundombinu DIT

MAKAMU wa Rais, Dk. Mohamed Gharib Bilal, amesema serikali itaendelea kuboresha miundombinu ya Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam (DIT) kutokana na taasisi hiyo kutoa mchnago muhimu kwa taifa. Mbali...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

WANANCHI LUDEWA WAIOMBA SERIKALI KUBORESHA MIUNDOMBINU YA BARABARA

Na Amiri Kilagalila,Njombe. Wananchi wa kitongoji cha Mking’ino kijiji cha Luvuyo kata ya Madope wilayani Ludewa mkoani Njombe wameiomba serikali kuboresha miundombinu ya barabara inayounganisha kijiji chao na vijiji  jirani ili kurahisisha upatikanaji wa huduma mbalimbali za kijamii. Wakazi hao akiwemo Erasto Mtega, Junitha Mbukwa na Stia Chaula wamesema asilimia kubwa ya wakazi wa eneo hilo ni wakulima wa mazao ya viazi mviringo na mahindi lakini changamoto ya ubovu wa barabara inawalazimu...

 

10 years ago

Michuzi

Benki ya Exim yaahidi kuunga mkono juhudi za serikali kuboresha hali ya magereza nchini

Wafanyakazi wa Benki ya Exim tawi la Mwanza na wawakilishi wa gereza la Butimba wakiwa katika picha ya pamoja, muda mfupi baada ya Benki hiyo kukabidhi vifaa vya usafi  kwa gereza la Butimba lililopo jijini Mwanza hivi karibuni. Mchango huo ni sehemu ya shughuli za kibenki za kijamii lakini pia ukilenga kusaidia wafungwa kubadili tabia.
Exim Bank imeahidi kuendelea kusaidia juhudi za serikali katika kuboresha hali ya magereza nchini, ikiwa ni sehemu ya shughuli zake za kibenki za kijamii....

 

5 years ago

Michuzi

WANAVIJIJI WAENDELEA KUSHIRIKIANA NA SERIKALI, PCI NA CRDB KUBORESHA MIUNDOMBINU YA SHULE ILIYOFUNGULIWA MWAKA 1956


Na Fedson Masawa-Jimbo la Musoma VijijiniMsaidizi wa Mbunge
WANAKIJIJI cha Kijiji cha Kiemba, Kata ya Ifulifu wameendelea kushirikiana na WADAU wa MAENDELEO kuboresha MIUNDOMBINU ya SHULE YA MSINGI MURUNYIGO iliyofunguliwa Mwaka 1956.
Hivi karibuni BENKI ya CRDB imechangia ukamilishaji wa ujenzi wa chumba kimoja cha DARASA kwenye Shule hiyo.
MWALIMU MKUU wa Shule hiyo, Mwl Grace Majinge amesema kwamba jumla ya WANAFUNZI Shuleni hapo ni 846, na mahitaji ya VYUMBA vya MADARASA ni 21, ...

 

5 years ago

Michuzi

RAIS MAGUFULI: SERIKALI ITAENDELEA KUIMARISHA NA KUBORESHA MIFUMO NA MIUNDOMBINU YA UTOAJI HUDUMA YA AFYA NCHINI


RAIS Dkt. John Magufuli amesema katika kipindi cha miaka minne ya utawala wake, Serikali imeweza kuajiri watumishi wapya 13479 wa sekta ya afya sambamba na kuimarisha na kuboresha miundombinu ya huduma za afya za ikiwemo ujenzi na ukarabati wa zahanati, vituo vya afya na hospitali za wilaya katika maeneo mbalimbali nchini.

Akizungumza leo Alhamisi (Februari 20, 2020) Jijini Dar es Salaam katika maadhimisho ya siku ya Madaktari Tanzania, Rais Magufuli alisema Serikali ya Awamu ya Tano...

 

11 years ago

Michuzi

SERIKALI KUENDELEA KUBORESHA MIUNDOMBINU YA MAJI, YAZINDUA MWONGOZO WA UTENDAJI KWA MAMLAKA ZA MAJI NCHINI

Naibu katibu Mkuu wa Wizara ya Maji Injinia Mbogo Mfutakamba (katikati) wakati wa akizindua chapisho la Kanuni na utaratibu wa kuzingatia kwa Mamlaka zinazohusika na usimamizi na usambazaji wa maji nchini wakati wa mkutano wa mwaka wa wataalaam na watendaji wa usimamizi wa sekta ya maji nchini. Naibu katibu Mkuu wa Wizara ya Maji Injinia Mbogo Mfutakamba (katikati) akiwaonesha wataalam na watendaji wa usimamizi wa sekta ya maji nchini chapisho la Kanuni na utaratibu wa kuzingatia kwa...

 

9 years ago

StarTV

TANESCO yatakiwa kuboresha miundombinu

Waziri wa nishati na madini Profesa Sospeter Muhongo amesema ni vigumu shirika la umeme nchini TANESCO kuondokana na madeni kama litashindwa kuboresha mikataba linayoingia na wawekezaji katika uboreshaji wa miundombinu ya Shirika hilo.

 Mapema jana katika ofisi za kituo cha kuzalisha umeme cha Nyakato jijini Mwanza profesa Sospitar Muhongo alikutana na viongozi wa shirika la TANESCO kujadili namna bora ya kuondokana ana adha ya katizo la umeme kwa wakazi wa kanda ya Ziwa.

Taarifa za...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bil. 78/- kuboresha miundombinu Chalinze

SERIKALI inatarajia kutumia sh bilioni 78.4 kuboresha miundombinu ya maji katika mji wa Chalinze na vitongoji vyake kupitia mradi wa maji Wami-Chalinze. Hayo yalibainishwa na Meneja wa Mamlaka ya Maji...

 

10 years ago

Mwananchi

Sh600 bilioni kuboresha miundombinu D’Salaam

>Jumla ya Sh600 bilioni zitatumika katika Mradi wa Kuendeleza Jiji la Dar es Salaam (DMDP),  katika mwaka wa fedha 2015/2016, ikiwamo kuboresha miundombinu ili kudhibiti mafuriko.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani