TANESCO yatakiwa kuboresha miundombinu
Waziri wa nishati na madini Profesa Sospeter Muhongo amesema ni vigumu shirika la umeme nchini TANESCO kuondokana na madeni kama litashindwa kuboresha mikataba linayoingia na wawekezaji katika uboreshaji wa miundombinu ya Shirika hilo.
Mapema jana katika ofisi za kituo cha kuzalisha umeme cha Nyakato jijini Mwanza profesa Sospitar Muhongo alikutana na viongozi wa shirika la TANESCO kujadili namna bora ya kuondokana ana adha ya katizo la umeme kwa wakazi wa kanda ya Ziwa.
Taarifa za...
StarTV
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima13 Feb
Bil. 78/- kuboresha miundombinu Chalinze
SERIKALI inatarajia kutumia sh bilioni 78.4 kuboresha miundombinu ya maji katika mji wa Chalinze na vitongoji vyake kupitia mradi wa maji Wami-Chalinze. Hayo yalibainishwa na Meneja wa Mamlaka ya Maji...
10 years ago
Mwananchi13 May
Sh600 bilioni kuboresha miundombinu D’Salaam
11 years ago
Tanzania Daima26 Jan
Serikali yaahidi kuboresha miundombinu DIT
MAKAMU wa Rais, Dk. Mohamed Gharib Bilal, amesema serikali itaendelea kuboresha miundombinu ya Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam (DIT) kutokana na taasisi hiyo kutoa mchnago muhimu kwa taifa. Mbali...
5 years ago
MichuziWANANCHI LUDEWA WAIOMBA SERIKALI KUBORESHA MIUNDOMBINU YA BARABARA
10 years ago
MichuziTanzania kuboresha Miundombinu yake ili kuongeza kasi ya Uwekezaji
10 years ago
Michuzi10 years ago
Vijimambo20 Feb
TANESCO YAZUNGUMZIA MABORESHO YA MIRADI YA MIUNDOMBINU YA EMEME NCHINI
10 years ago
Uhuru NewspaperTANESCO kuboresha uhusiano na wateja
NA MOHAMMED ISSASHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO), limeanzisha utaratibu wa kukutana na wateja wake kwa lengo la kujenga uhusiano mzuri baina ya shirika na wateja hao. Kaimu Naibu Mkurugenzi Mtendaji, Usambazaji Huduma kwa Wateja wa TANESCO, Sophia Mjema, alisema utaratibu huo utaboresha uhusiano baina ya shirika na wateja pamoja na kuzipatia ufumbuzi changamoto zinazojitokeza. Alisema wameanza kukutana na wateja wakubwa na badae watakutana na wateja wa kati na wadogo ili kuongeza ufanisi...
5 years ago
MichuziWANANCHI KIJIJI CHA IGAWA WAMPONGEZA RAIS MAGUFULI KUBORESHA MIUNDOMBINU YA BARABARA
Na Mwandishi Wetu,MAELEZO-DAR ES SALAAM
WANANCHI wa Kijiji cha Igawa, Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali Mkoani Mbeya wamempongeza Rais Dkt. John Magufuli kwa kuboresha miundombinu ya barabara hatua inayolenga kufungua fursa za kiuchumi na ukuaji wa miji katika maeneo mbalimbali nchini. Wakizungumza katika mahojiano maalum na Idara ya Habari (MAELEZO) hivi karibuni Kijijini hapo, wananchi hao walisema udhubutu uliofanywa na Serikali ya Awamu ya Tano katika kutekeleza miradi mikubwa ya...