Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TANESCO YAZUNGUMZIA MABORESHO YA MIRADI YA MIUNDOMBINU YA EMEME NCHINI

WAZIRI pia Mkuu wa Kazi wa Ubalozi huo katika Ubalozi wa Japan hapa Nchini, Kazuyoshi Matsunaga akifurahia jambo na Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO, Mhandisi Felchesm Mramba (kulia) wakati wa mkutano na waandishi wa kuzungumzia maendeleo ya miradi ya kuboresha na kukarabati miundombinu ya umeme hapa nchini. Mkutno huo ulifanyika Dar es Salaam leo. Pamoja nao ni ni Kaimu Niabu Mkurugenzi Mtendaji, Mhandisi Sophia mgonja.Meneja Mawasiliano wa TANESCO, Leila Mhaji akibadilishana mawazo na...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Ubalozi wa Japan wakutana na tanesco kuzungumzia uboreshaji na ukarabati wa miundombinu ya umeme hapa nchini

MKURUGENZI Mtendaji wa TANESCO, Mhandisi Felchesm Mramba akiongea na wadau wa maendeleo kutoka Japan wakati wa mkutano na waandishi wa kuzungumzia maendeleo ya miradi ya kuboresha na kukarabati miundombinu ya umeme hapa nchini. Mkutano huo ulifanyika Dar es Salaam.MKURUGENZI Mtendaji wa TANESCO, Mhandisi Felchesm Mramba akimtambulisha Kaimu Naibu Mkurugenzi Mtendaji, Mhandisi Sophia Mgonja kwa Mwakilishi Mkazi wa Shirika la JICA, Onishi Yasunora (kushoto) na Waziri pia mkuu wa Kazi wa...

 

10 years ago

Michuzi

Benki ya Dunia Kanda ya Afrika yaridhishwa na maboresho ya miundombinu ya bandari ya Dar es Salaam

 Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari (TPA), Bw. Awadh Massawe kulia akitoa maelezo ya maboresho yanayoendelea kufanyika katika Bandari ya Dar es Salaa kwa ujumbe wa Benki ya Dunia, ambao ulifanya ziara ya kujionea miradi ya maboresho inayoendelea kufanyika katika Bandari hiyo ambayo miongoni mwa miradi hiyo inafadhiliwa na benki hiyo ili kusaidia kuleta ufanisi wa utendaji kazi, wa pili kutoka kushoto nia Makamu wa Rais wa Benki ya Dunia Kanda ya Afrika,Bw. Makhtar Diop,...

 

10 years ago

Vijimambo

MAMLAKA YA VIWANJA VYA NDEGE TANZANIA (TAA) YAZUNGUMZIA MAFANIKIO NA MIRADI YAKE MBALIMBALI

 Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), Suleiman Suleiman, akizungumza na waandishi wa habari katika banda la mamlaka hiyo kwenye maonyesho ya wiki ya utumishi wa umma yanayoendelea viwanja vya Mnazi Mmoja Dar es Salaam leo asubuhi, kuhusu shughuli mbalimbali zinazofanywa na TAA pamoja na miradi yao. Mkurugenzi wa Rasilimali Watu na Utawala wa TAA, Laurent Mwigune (kulia), akizungumza na wanahabari kuhusu shughuli zinazofanywa na TAA.
 Kamanda Msaidizi wa Kikosi cha...

 

9 years ago

StarTV

TANESCO yatakiwa kuboresha miundombinu

Waziri wa nishati na madini Profesa Sospeter Muhongo amesema ni vigumu shirika la umeme nchini TANESCO kuondokana na madeni kama litashindwa kuboresha mikataba linayoingia na wawekezaji katika uboreshaji wa miundombinu ya Shirika hilo.

 Mapema jana katika ofisi za kituo cha kuzalisha umeme cha Nyakato jijini Mwanza profesa Sospitar Muhongo alikutana na viongozi wa shirika la TANESCO kujadili namna bora ya kuondokana ana adha ya katizo la umeme kwa wakazi wa kanda ya Ziwa.

Taarifa za...

 

9 years ago

Dewji Blog

UNCDF yatoa bilioni 2.4/- kusaidia miradi 6 ya miundombinu

Mkurugenzi wa Mfuko wa Mtaji wa Maendeleo wa Umoja wa Mataifa, (UNCDF) nchini Tanzania, Peter Malika akizungumza na wageni waalikwa wakati wa makabidhiano ya misaada kwa miradi ya maendeleo iliyodhaminiwa na UNCDF Tanzania.

Naibu Katibu Mkuu Tamisemi, Kagyabukama E.Kiliba akisoma hotuba yake wakati wa kukabidhi hundi kwa mashirika binafsi na ya umma kwa ajili ya kuendeleza miradi ya maendeleo.

Naibu Katibu Mkuu Tamisemi, Kagyabukama E.Kiliba (katikati) akimkabidhi hundi bilioni moja...

 

11 years ago

Mwananchi

Tanesco yakamilisha miradi 10 ya Jica

Shirika la Ugavi wa Umeme Tanzania (Tanesco), limekamilisha miradi kadhaa ya umeme kwenye maeneo mbalimbali nchini kwa kushirikiana na Shirika la Maendeleo la Japan (Jica).

 

10 years ago

Habarileo

Nimeiachia Tanesco miradi ya kuondoa umasikini-Muhongo

Aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter MuhongoALIYEKUWA Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, amesema pamoja na kujiuzulu, ameiachia Shirika la Umeme (Tanesco), miradi ya kuongeza uzalishaji umeme, ambao ni muhimu katika kuifanya nchi kuwa ya kipato cha kati miaka kumi ijayo.

 

10 years ago

Michuzi

kamati ya bunge ya serikali za mitaa na tawala za mikoa (Tamisemi) ytembelea miradi ya miundombinu dar es salaam

 Mwenyekiti wa kamati ya bunge ya serikali za mitaa na tawala za mikoa (Tamisemi) Mh. Hamis Kigwangala (kushoto) akisikiliza maelezo ya Meneja Mradi wa Mabasi yaendayo Haraka kutoka TANROADS Mhandisi Elibariki Mmari wakati kamati hiyo ilipofanya ziara ya kukagua maendeleo ya Mradi wa Mabasi yaendayo Haraka, (kulia) ni Mtendaji Mkuu wa DART Asteria Mlambo (wa pili) ni Mhandisi Athuman Mfutakamba mbunge wa jimbo la Igalua na mjumbe wa kamati hiyo.

 Mwenyekiti wa kamati ya bunge ya serikali za...

 

10 years ago

Dewji Blog

Taasisi ya Miradi na Maendeleo ya Miundombinu ya Wizara ya Fedha (UTT-PID) yashiriki Maonesho ya DAR PROPERTY 2015

IMG_6764Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Said Meck Sadick  (katikati),  akipata maelezo toka kwa  banda la UTT-PID juu ya Miradi wanayofanya katika mikoa mbalimbali nchini,  kulia ni Uli Mtebe Afisa Mwandamizi Mahusiano na Masoko wa Taasisi ya UTT-PID.   Mkuu wa Mkoa huyo alitembelea banda hilo leo  Mei 2, wakati wa ufunguzi wa maonyesho hayo ndani ya ukumbi wa Diamond Jubilee V.I.P Hall.

Na Mwandishi Wetu

Taasisi ya Miradi na Maendeleo ya Miundombinu iliyochini ya Wizara ya Fedha (UTT-PID) ipo kwenye...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani