UNCDF yatoa bilioni 2.4/- kusaidia miradi 6 ya miundombinu
Mkurugenzi wa Mfuko wa Mtaji wa Maendeleo wa Umoja wa Mataifa, (UNCDF) nchini Tanzania, Peter Malika akizungumza na wageni waalikwa wakati wa makabidhiano ya misaada kwa miradi ya maendeleo iliyodhaminiwa na UNCDF Tanzania.
Naibu Katibu Mkuu Tamisemi, Kagyabukama E.Kiliba akisoma hotuba yake wakati wa kukabidhi hundi kwa mashirika binafsi na ya umma kwa ajili ya kuendeleza miradi ya maendeleo.
Naibu Katibu Mkuu Tamisemi, Kagyabukama E.Kiliba (katikati) akimkabidhi hundi bilioni moja...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog23 Oct
Sweden yatoa bil. 42/- kusaidia miradi UN
Balozi wa Sweden nchini Tanzania Mh. Lennarth Hjelmaker akizungumza na waandishi wa habari kwenye hafla ya kutiliana saini makubaliano kati ya nchi ya yake na Umoja wa Mataifa ambapo wametoa fedha kusaidia miradi ya Umoja wa Mataifa kwenye ofisi za ubalozi wa Sweden jijini Dar es Salaam jana. Kushoto ni Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez.(Picha na Zainul Mzige MOblog).
Na Mwandishi...
10 years ago
Dewji Blog13 Dec
TBL yatoa sh. mil 18 za kusaidia ukarabati wa miundombinu iliyoharibika soko la Machinga Ilala, Dar
Mkurugenzi wa Uhusiano na Sheria wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Steve Kilindo (kulia) akimkabidhi hundi yenye thamani ya sh. mil. 18.9, kwa Mkurugenzi wa Kampuni ya Gotam General Traders, Winner Taluka (wa pili kushoto) kwa ajili ya kusaidia ukarabati wa miundombinu ya maji iliyoharibika baada ya Soko la Mchikichini Ilala kuteketea kwa moto. Wanaoshuhudia hafla hiyo iliyofanyika Dar es Salaam jana, kutoka kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa soko hilo, Rehema Matali, Mjumbe wa Kamati ya...
10 years ago
Mwananchi18 Mar
Japan yatoa Sh27 bilioni kusaidia kupunguza foleni Dar
10 years ago
Dewji Blog17 Sep
#UNTZ: UNCDF kuendelea kusaidia kujenga uwezo wa kifedha kuhudumia maendeleo
Kaimu Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) ambaye pia ni Naibu Katibu Mkuu kataka Wizara hiyo Dkt. Deogratius Mtasiwa, akizungumza kwenye mkutano wa watendaji waandamizi wa serikali kutoka katika Ofisi ya WaziriMkuu – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) pamoja na waandishi wa habari kuhusiana na Programu ya Utafutaji Fedha Nchini kwa maendeleo ya wananchi (Global Local Finance Initiative (LFI) ambayo ilianza katika awamu ya...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-3VBFmmSqIbU/VDr2r_pvjVI/AAAAAAAGpoU/kazx_JHtPiw/s72-c/unnamed%2B(18).jpg)
BENKI YA KIARABU YA MAENDELEO YA UCHUMI YA AFRIKA ( BADEA)YATOA DOLA ZA KIMAREKANI MILIONI 12.0 (SHILINGI BILIONI 20.1) KUSAIDIA MAENDELEO KATIKA WILAYA YA SAME NA MWANGA
9 years ago
Habarileo17 Dec
UNCDF yatoa kianzio ujenzi kituo cha mabasi Kibaha
HALMASHAURI ya Mji wa Kibaha mkoani Pwani imepewa Sh bilioni 1.7 kutoka Mfuko wa Maendeleo ya Mtaji wa Umoja wa Mataifa (UNCDF) kama kianzio cha mtaji kwa miradi yake miwili ya kituo cha mabasi cha kisasa na soko.
10 years ago
VijimamboBENKI YA KIARABU YA MAENDELEO YA UCHUMI YA AFRIKA ( BADEA)YATOA DOLA ZA KIMAREKANI MILIONI 12.0 SAWA NA FEDHA ZA KITANZANIA SHILINGI BILIONI 20.1 KUSAIDIA MAENDELEO KATIKA WILAYA YA SAME NA MWANGA
10 years ago
Mwananchi13 May
Sh600 bilioni kuboresha miundombinu D’Salaam
10 years ago
Vijimambo20 Feb
TANESCO YAZUNGUMZIA MABORESHO YA MIRADI YA MIUNDOMBINU YA EMEME NCHINI
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/1fC6uHodeQ2joKCQ3z6ibzkDG2pbQxEiIeQSZ3rOtpFKEDrTGj7xNQmVt34Rlo5yvd5ORhOQgTrR-By82v6eg5wARYsQoASxBtsVZnL9n-75YcDBq3EwtpXkTsBZ16efVA5FWtQUh6QNGF8RyV_zjhHLY6ZQr6CfQVimtfboebM5r1NHX0a2iolAUQ4uArKUvvxDZMmGDP1gkgIAlKEGEeSsI2Bsxz5JhhNNBSfuaDwi4v3Vo_BHwq6BiepW-OrUb5mAMQayv0qRCvDjW4FqzgIcdet8J1VYo65OtYNO-eHITEarNiYN5fxTDZbAqgyYlD08Pzux4GDSDBc=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F4.bp.blogspot.com%2F-jsLhTnd0iRE%2FVOXgThH5Z4I%2FAAAAAAAAnaI%2F90yZ3GmDa6g%2Fs1600%2FT12.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/TsEoTaTDitZKCE2y-PsKXoYHNA6PqkzxbHM1mIJugZte_c1Ic-ZfxDc6TMcEw4o3AkbY-MNy3VDJrH--_YIuJJ9AbXukcXEFAV4j6MsXKYZAq_1yVyYmSWfAvpF2VI5nG9jARmWFsOIIydH9AAqNrieLtT3ZbDcerX_nSYNPWBJn8TRaKuu4w3Nhhm5M-VD8pZduqeGkIRorWetV_ZN1UyrSYbIByhyXYGICkrszkEhbsC_oPscaa8xDlGI-Tkc8BdqHad09RGUilHr2DY_6sjo1kb5C0ngmcyfNr_fxXgBthMi9FArfSNqIu-to5kk0K6I9CiEd8dt2sY5z1Hgs=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F3.bp.blogspot.com%2F-9-J2dDuAGW4%2FVOXgGyHitGI%2FAAAAAAAAnZg%2F6DkCztsFUZk%2Fs1600%2FPRO%27S.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)