Japan yatoa Sh27 bilioni kusaidia kupunguza foleni Dar
Serikali ya Japan imetoa kiasi cha Sh27 bn kwa Tanzania ili kufanikisha ujenzi wa barabara za juu (Fly-Over) katika eneo la Ubungo, jijini Dar es Salaam.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-A4SE0SHIxow/U6Aidn5X7XI/AAAAAAAFrNs/VyibP6tRO6A/s72-c/unnamed+(39).jpg)
TANZANIA YAPATA BILIONI 24.1 TOKA JAPAN KUSAIDIA BAJETI YA SERIKALI
10 years ago
Mwananchi10 Jul
Bandari ya Tanga sasa kupunguza foleni Dar
10 years ago
Mtanzania04 Feb
Serikali yatakiwa na mpango kupunguza foleni Dar
Na Mwandishi Wetu, Dodoma
SERIKALI imeshauriwa kuwa na mpango wa miaka 50 hadi 100 utakaosaidia kutatua msongamano wa magari katika Jiji la Dar es Salaam.
Ushauri huo, umetolewa bungeni jana na Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa katika taarifa yake ya utekelezaji wa shughuli za kamati hiyo katika kipindi cha kuanzia Januari 2014 hadi Januari 2015.
Akisoma taarifa hiyo, mjumbe wa kamati hiyo, Athuman Mfutakamba, alisema usanifu huo unatakiwa kuangalia ongezeko...
9 years ago
Dewji Blog15 Dec
UNCDF yatoa bilioni 2.4/- kusaidia miradi 6 ya miundombinu
Naibu Katibu Mkuu Tamisemi, Kagyabukama E.Kiliba akisoma hotuba yake wakati wa kukabidhi hundi kwa mashirika binafsi na ya umma kwa ajili ya kuendeleza miradi ya maendeleo.
Naibu Katibu Mkuu Tamisemi, Kagyabukama E.Kiliba (katikati) akimkabidhi hundi bilioni moja...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-3VBFmmSqIbU/VDr2r_pvjVI/AAAAAAAGpoU/kazx_JHtPiw/s72-c/unnamed%2B(18).jpg)
BENKI YA KIARABU YA MAENDELEO YA UCHUMI YA AFRIKA ( BADEA)YATOA DOLA ZA KIMAREKANI MILIONI 12.0 (SHILINGI BILIONI 20.1) KUSAIDIA MAENDELEO KATIKA WILAYA YA SAME NA MWANGA
10 years ago
VijimamboBENKI YA KIARABU YA MAENDELEO YA UCHUMI YA AFRIKA ( BADEA)YATOA DOLA ZA KIMAREKANI MILIONI 12.0 SAWA NA FEDHA ZA KITANZANIA SHILINGI BILIONI 20.1 KUSAIDIA MAENDELEO KATIKA WILAYA YA SAME NA MWANGA
11 years ago
Mwananchi14 Mar
Roboti kupunguza foleni D’ Salaam
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-S6PeOSyl5WA/XmXIJ0uds_I/AAAAAAALiJY/FLAcFS0Oi7YCeqa21bPDg-y0nQAkFwcJwCLcBGAsYHQ/s72-c/d00a83dc-c2ab-49ef-99f4-a3ec467bd88f.jpg)
BARABARA YA MCHEPUO KUPUNGUZA KERO YA FOLENI – KIYEGEYA
![](https://1.bp.blogspot.com/-S6PeOSyl5WA/XmXIJ0uds_I/AAAAAAALiJY/FLAcFS0Oi7YCeqa21bPDg-y0nQAkFwcJwCLcBGAsYHQ/s640/d00a83dc-c2ab-49ef-99f4-a3ec467bd88f.jpg)
Kazi za ujenzi wa barabara ya mchepuo katika eneo la Kiyegeya, Wilaya ya kilosa, mkoani Morogoro zikiendelea. Ujenzi wa barabara hiyo upo katika hatua za mwisho na tayari magari makubwa na madogo yameshaanzakuruhusiwa kupita.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/eade9df7-c28a-4e38-aa13-e113b779285b.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-SI6pcB6kqUA/XmTcb_fg75I/AAAAAAALh58/8ReXqzeH9p8A7sY_V3T5QnnNVBW3HfxSQCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
BARABARA YA MCHEPUO KUPUNGUZA KERO YA FOLENI - KIYEGEYA
Hayo yamesemwa na Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isack Kamwelwe, wakati akisimamia hatua za ujenzi wa barabara hiyo ya mchepuo ambapo pamoja na mambo mengine amesema hadi sasa zaidi ya malori 60 yameshavuka katika barabara...