Serikali yatakiwa na mpango kupunguza foleni Dar
Na Mwandishi Wetu, Dodoma
SERIKALI imeshauriwa kuwa na mpango wa miaka 50 hadi 100 utakaosaidia kutatua msongamano wa magari katika Jiji la Dar es Salaam.
Ushauri huo, umetolewa bungeni jana na Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa katika taarifa yake ya utekelezaji wa shughuli za kamati hiyo katika kipindi cha kuanzia Januari 2014 hadi Januari 2015.
Akisoma taarifa hiyo, mjumbe wa kamati hiyo, Athuman Mfutakamba, alisema usanifu huo unatakiwa kuangalia ongezeko...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi10 Jul
Bandari ya Tanga sasa kupunguza foleni Dar
10 years ago
Mwananchi18 Mar
Japan yatoa Sh27 bilioni kusaidia kupunguza foleni Dar
10 years ago
Mwananchi15 Oct
Maswi: Serikali haina mpango wa kupunguza wafanyakazi Tanesco
10 years ago
GPLSEMINA YA MPANGO WA KUPUNGUZA VIFO VYA AJALI YAFANYIKA JIJINI DAR
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-QqkjK4iQfxk/XplztwsuSwI/AAAAAAAC3QM/vOGqXQ3HseArtoHgidGtJFDM9IiWH0KEwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
SERIKALI KUANDAA MPANGO KAZI WA KITAIFA WA KUPUNGUZA MAAMBUKIZI YA ZEBAKI KWA WACHIMBAJI WADOGO WA DHAHABU (2020-205)
![](https://1.bp.blogspot.com/-QqkjK4iQfxk/XplztwsuSwI/AAAAAAAC3QM/vOGqXQ3HseArtoHgidGtJFDM9IiWH0KEwCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Hayo yamesemwa jana April 16 Bungeni jijini Dodoma na Waziri Wa Nchi Ofisi Ya Makamu Wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. Mussa Azzan Zungu wakati akiwasilisha hotuba Kuhusu Makadirio Ya Mapato Na Matumizi Kwa Mwaka 2020/21 . Waziri Zungu amebainisha kuwa Mpango-Kazi huo unalenga kupunguza matumizi...
10 years ago
VijimamboSEMINA YA MPANGO WA KUPUNGUZA VIFO VYA AJALI YAFANYIKA JIJINI DAR ES SALAAM
11 years ago
Mwananchi11 Mar
Serikali ina dhamira ya kumaliza foleni Dar?
11 years ago
Mwananchi14 Mar
Roboti kupunguza foleni D’ Salaam
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-S6PeOSyl5WA/XmXIJ0uds_I/AAAAAAALiJY/FLAcFS0Oi7YCeqa21bPDg-y0nQAkFwcJwCLcBGAsYHQ/s72-c/d00a83dc-c2ab-49ef-99f4-a3ec467bd88f.jpg)
BARABARA YA MCHEPUO KUPUNGUZA KERO YA FOLENI – KIYEGEYA
![](https://1.bp.blogspot.com/-S6PeOSyl5WA/XmXIJ0uds_I/AAAAAAALiJY/FLAcFS0Oi7YCeqa21bPDg-y0nQAkFwcJwCLcBGAsYHQ/s640/d00a83dc-c2ab-49ef-99f4-a3ec467bd88f.jpg)
Kazi za ujenzi wa barabara ya mchepuo katika eneo la Kiyegeya, Wilaya ya kilosa, mkoani Morogoro zikiendelea. Ujenzi wa barabara hiyo upo katika hatua za mwisho na tayari magari makubwa na madogo yameshaanzakuruhusiwa kupita.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/eade9df7-c28a-4e38-aa13-e113b779285b.jpg)
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10