Maswi: Serikali haina mpango wa kupunguza wafanyakazi Tanesco
Serikali imesema haina mpango wa kupunguza wafanyakazi wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) chini ya mkakati wa kuboresha sekta ndogo ya umeme nchini na badala yake, imewataka waendelee kushirikiana kikamilifu kulitumikia shirika na wateja.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania04 Feb
Serikali yatakiwa na mpango kupunguza foleni Dar
Na Mwandishi Wetu, Dodoma
SERIKALI imeshauriwa kuwa na mpango wa miaka 50 hadi 100 utakaosaidia kutatua msongamano wa magari katika Jiji la Dar es Salaam.
Ushauri huo, umetolewa bungeni jana na Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa katika taarifa yake ya utekelezaji wa shughuli za kamati hiyo katika kipindi cha kuanzia Januari 2014 hadi Januari 2015.
Akisoma taarifa hiyo, mjumbe wa kamati hiyo, Athuman Mfutakamba, alisema usanifu huo unatakiwa kuangalia ongezeko...
10 years ago
Tanzania Daima16 Oct
Maswi awatoa hofu Tanesco
KATIBU Mkuu Wizara ya Nishatu na Madini, Eliakim Maswi amewatoa hofu ya kufukuzwa au kupunguzwa kwa wafanyakazi wa shirika la Tanesco kutokana na Serikali kuanzisha mkakati na mwelekeo wa kurekebisha...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-QqkjK4iQfxk/XplztwsuSwI/AAAAAAAC3QM/vOGqXQ3HseArtoHgidGtJFDM9IiWH0KEwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
SERIKALI KUANDAA MPANGO KAZI WA KITAIFA WA KUPUNGUZA MAAMBUKIZI YA ZEBAKI KWA WACHIMBAJI WADOGO WA DHAHABU (2020-205)
![](https://1.bp.blogspot.com/-QqkjK4iQfxk/XplztwsuSwI/AAAAAAAC3QM/vOGqXQ3HseArtoHgidGtJFDM9IiWH0KEwCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Hayo yamesemwa jana April 16 Bungeni jijini Dodoma na Waziri Wa Nchi Ofisi Ya Makamu Wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. Mussa Azzan Zungu wakati akiwasilisha hotuba Kuhusu Makadirio Ya Mapato Na Matumizi Kwa Mwaka 2020/21 . Waziri Zungu amebainisha kuwa Mpango-Kazi huo unalenga kupunguza matumizi...
11 years ago
Tanzania Daima24 Dec
TANESCO sasa haina cha kusingizia
SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO) limeruhusiwa kupandisha bei ya umeme kwa wateja wake kuanzia Januari mwakani. Hiyo sio taarifa nzuri sana kwa watumiaji wa nishati hiyo kwani inazidisha ugumu wa...
9 years ago
StarTV09 Nov
CUF yasema haina mpango wa kurejea uchaguzi
Uongozi wa baraza kuu la chama cha wananchi CUF limesema halina mpango wa kurejea uchaguzi mkuu uliofutwa na mwenyekiti wa Tume ya uchaguzi Zanzibar kwani kufutwa kwake hakukuzingatia katiba na sheria za uchaguzi.
Wamesema wanachosubiri ni kuheshimu katiba na maamuzi ya jumuiya za kimataifa kwa kukamilisha taratibu zilizobaki kwa tume na kumtangaza mshindi wa uchaguzi uliofanyika oktoba 25 mwaka huu.
Akizungumza na wanahabari visiwani Zanzibar mwenyekiti wa kamati ya uongozi wa CUF Twaha...
10 years ago
Mwananchi05 Oct
Tanesco kupunguza gharama za mafunzo
10 years ago
Mwananchi13 Feb
Ewura yaiagiza Tanesco kupunguza bei ya umeme
10 years ago
Vijimambo07 Feb
NAPE: CCM HAIWEZI NA WALA HAINA MPANGO WA KUPOTEZA HISTORIA YA MAHALA ILIPOZALIWA TANU
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F3.bp.blogspot.com%2F-XPCe2YK0BSs%2FVNYp3jgunxI%2FAAAAAAAAWxU%2FSlLwmqpvgvc%2Fs1600%2F01.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg. Nape Nnauye amesema CCM haiwezi na wala haina mpango wa kupoteza historia ya mahali ilipozaliwa TANU.
Ameyasema hayo wakati akizungumza na wahariri wa gazeti la JamboLeo siku ya Ijumaa tarehe 6 februari 2015 alipotembelea ofisini kwao katika ziara ya kutembelea vyombo mbalimbali vya habari nchini.
Alisema kumekuwa na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/--_VaU8UqoKc/XmjU9wRb6_I/AAAAAAALimY/ZoTO0nDm2VMm74mYRxdaNM27oLj1S71IwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-11%2Bat%2B3.01.26%2BPM.jpeg)
DKT. MPANGO AWASILISHA MAPENDEKEZO YA SERIKALI YA MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA
![](https://1.bp.blogspot.com/--_VaU8UqoKc/XmjU9wRb6_I/AAAAAAALimY/ZoTO0nDm2VMm74mYRxdaNM27oLj1S71IwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-11%2Bat%2B3.01.26%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-jAkAr7wfXfY/XmjU9_9OY6I/AAAAAAALimc/zDht3suCdvgN10Tv_mSWcemXFBULH2urwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-11%2Bat%2B3.02.42%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-tY_XPnHg2T4/XmjU9sbiDoI/AAAAAAALimU/wDVg1R-IpZUhslm1foyg-j_9DYV5R-ZCwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-11%2Bat%2B3.03.56%2BPM.jpeg)