TANESCO sasa haina cha kusingizia
SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO) limeruhusiwa kupandisha bei ya umeme kwa wateja wake kuanzia Januari mwakani. Hiyo sio taarifa nzuri sana kwa watumiaji wa nishati hiyo kwani inazidisha ugumu wa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi15 Oct
Maswi: Serikali haina mpango wa kupunguza wafanyakazi Tanesco
10 years ago
Dewji Blog18 Mar
Mashine ya BVR sasa haina tatizo hata kwa wenye vidole vyenye sugu — NEC
Mbunge wa jimbo la Ludewa, Mh. Deo Filikunjombe (kushoto) akiweka sahihi katika mashine ya kielektroniki za Biometric Voters Registration (BVR),wakati akijiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura juzi katika kituo cha shule ya msingi Ludewa mjini, wa pili kulia anayeshuhudia ni kamishina wa tume ya Taifa ya uchaguzi (NEC), Prof. Amone Chaligha.
Na MatukiodaimaBlog, Ludewa
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imesema mchakato wa uandikishaji wa Daftari la Kudumu la Wapigakura ...
10 years ago
Vijimambo05 Jan
IPTL,Tanesco sasa wagongana angani

10 years ago
Uhuru Newspaper
TANESCO sasa mambo shwari Luku

10 years ago
Habarileo04 Feb
‘Tanesco haiwezi kushusha bei kwa sasa’
KUSHUKA kwa bei ya mafuta katika soko la dunia hakujawapa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) unafuu wa kuwafanya washushe bei ya umeme.
10 years ago
Mwananchi05 Oct
Tanesco: Mgawo wa umeme kwa sasa hauzuiliki
11 years ago
Mtanzania13 Aug
Tanzania haina kipimo cha Ebola

Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid
Aziza Masoud na Geofrey Jacka, Dar es Salaam
SERIKALI imesema haina vipimo vya kutambua ugonjwa wa Ebola.
Kutokana na hali hiyo imesema ikiwa atatokea mgonjwa mwenye virusi vya ugonjwa huo watalazimika kupeleka damu ya mgonjwa jijini Nairobi nchini Kenya ambako kuna maabara inayoweza kutambua virusi hivyo.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid, alisema kutokana na...
10 years ago
Mzalendo Zanzibar18 Oct
HUMPHREY POLEPOLE: AIPIGIA KAMPENI CCM KWA KUSINGIZIA RASIMU YA WARIOBA
Natumai humajambo ndugu Watanzania Wa Tanganyika na Zanzibar. Na assalamu alaikhum ndugu wote Waislamu muliopo ndani na Nje ya Visiwa vyetu adhimu. Ama kwakuanza makala yangu hii nimeweza kufuatilia Humphrey Polepole. Kijana ambae alikuwa Makini kuitetea […]
The post HUMPHREY POLEPOLE: AIPIGIA KAMPENI CCM KWA KUSINGIZIA RASIMU YA WARIOBA appeared first on Mzalendo.net.
11 years ago
Habarileo11 Aug
Tanesco yatambulisha kifaa cha umeme
SHIRIKA la Ugavi wa Umeme (Tanesco) mkoani hapa limetambulisha kifaa kipya ambacho ni mbadala wa kutandaza nyaya za umeme kwa maandalizi ya kupata umeme wa shirika hilo kwa wafugaji wa kuku pamoja na wananchi wanaojenga chumba kimoja ama viwili.