Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mashine ya BVR sasa haina tatizo hata kwa wenye vidole vyenye sugu — NEC

unnamed

Mbunge  wa  jimbo la  Ludewa, Mh. Deo Filikunjombe (kushoto) akiweka sahihi  katika mashine ya kielektroniki za Biometric Voters Registration (BVR),wakati akijiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura juzi katika kituo cha shule ya msingi Ludewa mjini, wa pili kulia anayeshuhudia ni kamishina wa tume ya Taifa ya uchaguzi (NEC), Prof. Amone Chaligha.

Na MatukiodaimaBlog, Ludewa

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imesema mchakato wa uandikishaji wa Daftari la Kudumu la Wapigakura ...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

BVR hazisomi vidole wenye kazi ngumu

Mashine za Mfumo wa Waandikishaji wa Wapiga Kura (BVR)WANANCHI wanaofanya kazi ngumu kwa kutumia mikono ambao alama zao za vidole zimesagika wamekuwa hawatambuliwi na mashine za Mfumo wa Waandikishaji wa Wapiga Kura (BVR).

 

11 years ago

Habarileo

NEC:Gharama mashine za BVR ndogo

GHARAMA za kununua mashine za kisasa zitakazotumika katika kuboresha Daftari la Kudumu la Wapiga Kura za Biometric Voters Registration (BVR) ni ndogo, ukilinganisha na bei aliyoitoa mzabuni wa kwanza kabla ya zabuni hiyo kufutwa na Mamalaka ya Rufaa za Manunuzi ya Umma (PPAA).

 

10 years ago

Mwananchi

UANDIKISHWAJI: Usugu wa vidole kwa BVR watatuliwa

>Tatizo la watu wenye vidole sugu ambao awali vilishindwa kusomwa na mashine zinazotumika kuandikisha wapigakura za Biometrick Voters Registration (BVR) limepatiwa ufumbuzi na wataalamu wa mashine hizo walioambatana na tume katika mji huu kwa ajili ya kazi hiyo.

 

10 years ago

Mwananchi

Uandikishaji BVR umemalizika, NEC sasa ijipange upya

Mchakato wa kujiandikisha katika Daftari la Kudumu la Wapigakura unamalizika leo jijini Dar es Salaam, baada ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuongeza muda kutokana na wananchi wengi waliotaka kujiandikisha kuendelea kufurika katika vituo mbalimbali jijini.

 

10 years ago

Dewji Blog

AUDIO: Jaji Lubuva akanusha vikali taarifa ya gazeti ‘Mkandarasi wa mashine za BVR amegoma kuleta mashine nchini’

jaji-lubuva

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu Damiani Lubuva akitoa kanusho kuhusiana na Mkandarasi wa BVR kugoma kuleta vifaa, achachamaa kutokana na habari iliyoandikwa na gazeti la Tanzania Daima.

 

11 years ago

Mwananchi

Ukosefu wa maadili tatizo sugu kwa vijana

>Maadili ni hatua muhimu ambayo humtambulisha binadamu ndani ya jamii yake. Katika hali ya kawaida maadili hujitokeza katika matendo, kwa vile ndicho kielelezo sahihi cha kupima maadili ya jamii fulani.

 

11 years ago

Dewji Blog

NEC yaanza uboreshaji wa Daftari la kudumu la wapiga kura kwa mfumo mpya wa (BVR)

jaji..3

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) hapa nchini Jaji Mstaafu Damian Lubuva (katikati) akizungumza na waandishi wa habari jana, kulia ni Katibu Tawala wa Mkoa wa Singida, Liana Hassan na kushoto ni Mkurugenzi wa Manispaa ya Singida Joseph Mchina.(PICHA ZOTE NA HILLARAY SHOO Mo Blog, SINGIDA).

MWENYKIT

Na Hillary Shoo, SINGIDA.

TUME ya Taifa ya Uchaguzi imeanza mchakato wa uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura,kwa kuwashirikisha kwa karibu waandishi wa habari hapa nchini.

Lengo la...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani