UANDIKISHWAJI: Usugu wa vidole kwa BVR watatuliwa
>Tatizo la watu wenye vidole sugu ambao awali vilishindwa kusomwa na mashine zinazotumika kuandikisha wapigakura za Biometrick Voters Registration (BVR) limepatiwa ufumbuzi na wataalamu wa mashine hizo walioambatana na tume katika mji huu kwa ajili ya kazi hiyo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog18 Mar
Mashine ya BVR sasa haina tatizo hata kwa wenye vidole vyenye sugu — NEC
Mbunge wa jimbo la Ludewa, Mh. Deo Filikunjombe (kushoto) akiweka sahihi katika mashine ya kielektroniki za Biometric Voters Registration (BVR),wakati akijiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura juzi katika kituo cha shule ya msingi Ludewa mjini, wa pili kulia anayeshuhudia ni kamishina wa tume ya Taifa ya uchaguzi (NEC), Prof. Amone Chaligha.
Na MatukiodaimaBlog, Ludewa
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imesema mchakato wa uandikishaji wa Daftari la Kudumu la Wapigakura ...
10 years ago
Habarileo12 May
BVR hazisomi vidole wenye kazi ngumu
WANANCHI wanaofanya kazi ngumu kwa kutumia mikono ambao alama zao za vidole zimesagika wamekuwa hawatambuliwi na mashine za Mfumo wa Waandikishaji wa Wapiga Kura (BVR).
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-UEkwUCV3D10/Vbjg2UETaLI/AAAAAAAABLM/jMU7BilsIuE/s72-c/tume3.jpeg)
NEC YAKUTANA NA UONGOZI WA MKOA WA DAR ES SALAAM KUTATHIMINI ZOEZI ZIMA LA UANDIKISHWAJI BVR
![](http://4.bp.blogspot.com/-UEkwUCV3D10/Vbjg2UETaLI/AAAAAAAABLM/jMU7BilsIuE/s640/tume3.jpeg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-_hJliOxE69Y/Vbjg2tttTqI/AAAAAAAABLU/yzkxay8yh24/s640/tume4.jpeg)
10 years ago
CloudsFM31 Oct
ASKARI POLISI AMKATA VIDOLE VINNE MFANYAKAZI WAKE KWA PANGA AKIMTUHUMU KWA KUMWIBIA DEKI YA VIDEO.
JESHI la Polisi mkoani Mwanza linamshikilia askari wake WP Fatuma wa Kituo cha Polisi Igogo wilayani Nyamagana kwa kosa la kumjeruhi mtumishi wake wa ndani kwa mkumkata vidole vyake vinne vya mkono wa kulia kwa panga, akimtuhumu kumwibia Deki ya Video nyumbani kwake.
Tukio hilo la kujeruhiwa kijana Steven Magessa (18), lilitokea Oktoba 20 mwaka huu katika kijiji cha Magange Mugumu wilayani Serengeti mkoani Mara nyumbani kwao kijana huyo aliyekuwa amekimbilia huko baada ya kudaiwa kumwibia...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Ju-MqKBTav8/VJBNdRSsCHI/AAAAAAAG3k8/X2yjQkFKv0g/s72-c/unnamed.jpg)
MGOGORO WA TAMONGSCO WATATULIWA
![](http://1.bp.blogspot.com/-Ju-MqKBTav8/VJBNdRSsCHI/AAAAAAAG3k8/X2yjQkFKv0g/s1600/unnamed.jpg)
Uongozi wa shirikisho la wamiliki na mameneja wa shule na vyuo visivyo vya serikali(TAMONGSCO) lililokuwa katika mgogoro na kikundi cha waliokuwa viongozi wa kitaifa(National Office...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ZC5JInj-FNk/XmzDRUw5rWI/AAAAAAALjY8/ioB6yZtliogO8Eq2Goj7qFc0xe_mwNVFACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-14%2Bat%2B2.22.01%2BPM.jpeg)
TCRA yapata manufaa katika usajili wa Laini za Simu kwa Alama za Vidole.
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZC5JInj-FNk/XmzDRUw5rWI/AAAAAAALjY8/ioB6yZtliogO8Eq2Goj7qFc0xe_mwNVFACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-14%2Bat%2B2.22.01%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-vhZcr9bLb_w/XmzDRJAgHwI/AAAAAAALjY4/OJeV0LN5NCAH-SjBcHVzHHQq5_pHDxsFQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-14%2Bat%2B2.25.01%2BPM.jpeg)
Na Chalila Kibuda, Globu ya JamiiMAMLAKA ya Mawasiliano nchini(TCRA)...
10 years ago
BBCSwahili20 Jan
Usugu wa vimelea vya Malaria kutafitiwa
11 years ago
Mwananchi09 May
Usugu wa dawa ni hatari kuliko Ukimwi
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-XMKZmfefsAU/XrAyzfk05JI/AAAAAAALpF8/zFi1Amkp-fIMPSrfN0P3ql-HQ4I6mpwPQCLcBGAsYHQ/s72-c/84d45d21-044f-44a4-990d-abaf474ab998.jpg)
SHILATU ARIDHISHWA NA UANDIKISHWAJI WAPIGA KURA
Zoezi la uandikishwaji na uboreshwaji wa Wapiga kura kwenye daftari la kudumu la Wapiga kura limeenda vyema kwa amani na utulivu.
Hayo yamejidhihirisha kwenye ziara aliyoifanya Afisa Tarafa Mihambwe Emmanuel Shilatu alipotembelea na kukagua vituo mbalimbali vya uandikishaji ambapo alijionea amani na utulivu ikitawala huku Watu wengi wenye sifa wakijitokeza kuandikisha na wengine kufanya maboresho ya taarifa zao.
"Huu ni mzunguko wa awamu ya pili ya uandikishaji ambapo...