Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UANDIKISHWAJI: Usugu wa vidole kwa BVR watatuliwa

>Tatizo la watu wenye vidole sugu ambao awali vilishindwa kusomwa na mashine zinazotumika kuandikisha wapigakura za Biometrick Voters Registration (BVR) limepatiwa ufumbuzi na wataalamu wa mashine hizo walioambatana na tume katika mji huu kwa ajili ya kazi hiyo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Mashine ya BVR sasa haina tatizo hata kwa wenye vidole vyenye sugu — NEC

unnamed

Mbunge  wa  jimbo la  Ludewa, Mh. Deo Filikunjombe (kushoto) akiweka sahihi  katika mashine ya kielektroniki za Biometric Voters Registration (BVR),wakati akijiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura juzi katika kituo cha shule ya msingi Ludewa mjini, wa pili kulia anayeshuhudia ni kamishina wa tume ya Taifa ya uchaguzi (NEC), Prof. Amone Chaligha.

Na MatukiodaimaBlog, Ludewa

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imesema mchakato wa uandikishaji wa Daftari la Kudumu la Wapigakura ...

 

10 years ago

Habarileo

BVR hazisomi vidole wenye kazi ngumu

Mashine za Mfumo wa Waandikishaji wa Wapiga Kura (BVR)WANANCHI wanaofanya kazi ngumu kwa kutumia mikono ambao alama zao za vidole zimesagika wamekuwa hawatambuliwi na mashine za Mfumo wa Waandikishaji wa Wapiga Kura (BVR).

 

10 years ago

Vijimambo

NEC YAKUTANA NA UONGOZI WA MKOA WA DAR ES SALAAM KUTATHIMINI ZOEZI ZIMA LA UANDIKISHWAJI BVR

 Tume ya Taifa ya Uchaguzi imekutana na viongozi waandamizi wa Mkoa wa Dar es Salaam wakiongozwa na mkuu wa mkoa huo, wakuu wa wilaya zote na wakurugenzi wa manispaa zote kutathimini hali ya zoezi zima la uandikishwaji mkoa wa Dar es salaam.
 Pamoja na changamoto zilizoainishwa ikiwemo rasimali Fedha yalijadiliwa kwakina,Tume imetoa wito kwa uongozi wa Dar es salaam kuhakikisha matatizo yaliyoainishwa yanatatuliwa katika siku zilizobaki ikiwemo uhaba wa watumishi vituoni suala la rushwa,na...

 

10 years ago

CloudsFM

ASKARI POLISI AMKATA VIDOLE VINNE MFANYAKAZI WAKE KWA PANGA AKIMTUHUMU KWA KUMWIBIA DEKI YA VIDEO.

JESHI la Polisi mkoani Mwanza linamshikilia askari wake WP Fatuma wa Kituo cha Polisi Igogo wilayani Nyamagana kwa kosa la kumjeruhi mtumishi wake wa ndani kwa mkumkata vidole vyake vinne vya mkono wa kulia kwa panga, akimtuhumu kumwibia Deki ya Video nyumbani kwake.Tukio hilo la kujeruhiwa kijana Steven Magessa (18), lilitokea Oktoba 20 mwaka huu katika kijiji cha Magange Mugumu wilayani Serengeti mkoani Mara nyumbani kwao kijana huyo aliyekuwa amekimbilia huko baada ya kudaiwa kumwibia...

 

10 years ago

Michuzi

MGOGORO WA TAMONGSCO WATATULIWA

Kaimu Mwenyekiti wa umoja wa wamiliki wa shule na vyuo binafsi(TAMONGSCO),Bw.Leonard Mao(Kushoto) akifafanua jambo kwa waandishi wa habari(hawapo pichani) juu ya maamuzi ya Serikali kutatua mgogoro wa TAMONGCO,kulia ni Kaimu Mwenyekiti wa umoja huo,Bw.Mrinde K.Mnzava.             Na Bakari Issa,Dar es Salaam.
Uongozi wa shirikisho la wamiliki na mameneja wa shule na vyuo visivyo vya serikali(TAMONGSCO)  lililokuwa katika mgogoro na kikundi cha waliokuwa viongozi wa kitaifa(National Office...

 

5 years ago

Michuzi

TCRA yapata manufaa katika usajili wa Laini za Simu kwa Alama za Vidole.

 Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Mhandisi James Kilaba akizungumza katika Siku ya Walaji ambayo huadhimishwa kila Machi 15 Duniani ya kila mwaka.Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano  wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Fredrick Ntobi akitoa maelezo kuhusiana na maadhinisho ya Siku ya Walaji ambayo huadhimishwa kila Machi 15 ya Kila Mwaka Mkutano uliofanyika makao makuu ya TCRA jijini Dar es Salaam.
Na Chalila Kibuda, Globu ya JamiiMAMLAKA ya Mawasiliano nchini(TCRA)...

 

10 years ago

BBCSwahili

Usugu wa vimelea vya Malaria kutafitiwa

wanasayansi wanatafiti namna vimelea vya ugonjwa wa malaria jinsi vinavyoendelea kuwa sugu kwa dawa zilizokuwa zinatibu ugonjwa

 

11 years ago

Mwananchi

Usugu wa dawa ni hatari kuliko Ukimwi

>Umejikata kwa bati mguuni, lakini unaonekana kutojali ukijua kuwa  ni jeraha dogo tu ambalo huhitaji matibabu rasmi ili upone.

 

5 years ago

Michuzi

SHILATU ARIDHISHWA NA UANDIKISHWAJI WAPIGA KURA

Na Mwandishi wetu Mihambwe

Zoezi la uandikishwaji na uboreshwaji wa Wapiga kura kwenye daftari la kudumu la Wapiga kura limeenda vyema kwa amani na utulivu.

Hayo yamejidhihirisha kwenye ziara aliyoifanya Afisa Tarafa Mihambwe Emmanuel Shilatu alipotembelea na kukagua vituo mbalimbali vya uandikishaji ambapo alijionea amani na utulivu ikitawala huku Watu wengi wenye sifa wakijitokeza kuandikisha na wengine kufanya maboresho ya taarifa zao.

"Huu ni mzunguko wa awamu ya pili ya uandikishaji ambapo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani