SHILATU ARIDHISHWA NA UANDIKISHWAJI WAPIGA KURA
![](https://1.bp.blogspot.com/-XMKZmfefsAU/XrAyzfk05JI/AAAAAAALpF8/zFi1Amkp-fIMPSrfN0P3ql-HQ4I6mpwPQCLcBGAsYHQ/s72-c/84d45d21-044f-44a4-990d-abaf474ab998.jpg)
Na Mwandishi wetu Mihambwe
Zoezi la uandikishwaji na uboreshwaji wa Wapiga kura kwenye daftari la kudumu la Wapiga kura limeenda vyema kwa amani na utulivu.
Hayo yamejidhihirisha kwenye ziara aliyoifanya Afisa Tarafa Mihambwe Emmanuel Shilatu alipotembelea na kukagua vituo mbalimbali vya uandikishaji ambapo alijionea amani na utulivu ikitawala huku Watu wengi wenye sifa wakijitokeza kuandikisha na wengine kufanya maboresho ya taarifa zao.
"Huu ni mzunguko wa awamu ya pili ya uandikishaji ambapo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV26 Feb
UKAWA wataka zoezi uandikishwaji wapiga kura kusitishwa.
Na Seda Elias,
Dar es salaam
Wakati tume ya uchaguzi ikiwa imeanza zoezi la uandikishaji wapiga kura kwa kutumia mfumo wa kieletroniki wa BVR, Umoja wa katiba ya wananchi, UKAWA, umemtaka Rais Jakaya Kikwete kutoa tamko la kusitisha zoezi hilo ili kusawazisha changamoto zinazojitokeza, ili na kuwezesha watanzania wengi kuandikishwa.
Ikiwa ni siku ya pili tu ya zoezi hilo, tayari kunatajwa baadhi ya changamoto ambazo ni pamoja na mashine za BVR kushindwa kuhimili hali ya joto, upungufu wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ztAriTe-YPE/XrEL5SD6cdI/AAAAAAALpKU/fJVZsU9ZZmAuT9T8_6VRFwt_v8IRYtMVQCLcBGAsYHQ/s72-c/1873026f-9ad1-417f-98c4-57a1186d4198.jpg)
SHILATU AHUISHA TAARIFA ZAKE KWENYE DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA
![](https://1.bp.blogspot.com/-ztAriTe-YPE/XrEL5SD6cdI/AAAAAAALpKU/fJVZsU9ZZmAuT9T8_6VRFwt_v8IRYtMVQCLcBGAsYHQ/s640/1873026f-9ad1-417f-98c4-57a1186d4198.jpg)
Afisa Tarafa Mihambwe, Emmanuel Shilatu akipigwa picha wakati wa kuhuisha taarifa zake kwenye daftari la Kudumu la Mpiga Kura Jana Mei 04, 2020.
5 years ago
MichuziWAPIGA KURA WAFIKIA MIL. 30 UBORESHAJI DAFTARI WAPIGA KURA NEC
5 years ago
CCM BlogWAPIGA KURA WAFIKIA MIL. 30 UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA NEC
9 years ago
Raia Mwema07 Nov
Jinsi wapiga kura wa vijijjini ‘walivyomwibia’ Lowassa kura
Hatimaye uchaguzi umemalizika!
Kitila Mkumbo
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-z5_qDF2YbFs/Vb-To7WPwYI/AAAAAAABTFM/9xAnsWBj2o0/s72-c/jerry.jpg)
wapiga kura wampongeza jerry silaa kwa kushinda katika kura za maoni jimbo la ukonga
![](http://4.bp.blogspot.com/-z5_qDF2YbFs/Vb-To7WPwYI/AAAAAAABTFM/9xAnsWBj2o0/s640/jerry.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-u5eLO9o9QZQ/Vb-To2dTbaI/AAAAAAABTFQ/Ym8hr02Xc08/s640/maxresdefault.jpg)
9 years ago
Mzalendo Zanzibar15 Oct
Mbowe Amjibu Rais Kikwete Kuhusu Idadi ya Wapiga Kura na Zuio la Wananchi Kulinda Kura Vituoni
Mwenyekiti wa Chadema, Mh Freeman Thursday, October 15, 2015 Mwenyekiti wa Chadema, mh Freeman Mbowe amemtaka Rais Kikwete kutovuruga amani ya nchi na badala yake amemtaka aondoke madarakani na kuiacha nchi ikiwa salama. Mbowe alitoa kauli […]
The post Mbowe Amjibu Rais Kikwete Kuhusu Idadi ya Wapiga Kura na Zuio la Wananchi Kulinda Kura Vituoni appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
BBCSwahili25 Oct
Wapiga kura Kariakoo kuhusu upigaji kura
10 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-BLRr-PN7BLM/VSGIuvM4ylI/AAAAAAADSF8/fCxHtZG4-JQ/s72-c/NEC(47).jpg)
TAARIFA KWA UMMA YA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI KUHUSU UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA NA KURA YA MAONI
![](https://1.bp.blogspot.com/-BLRr-PN7BLM/VSGIuvM4ylI/AAAAAAADSF8/fCxHtZG4-JQ/s1600/NEC(47).jpg)